Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Leo kwenye ligi ya nchini iraq ku likuwa na mechi iliyowakutanisha ndugu kutoka nchi moja, nao ni Waziri Junior Shentembo, akiwa timu moja na Tuisila kisinda wote wanaichezea timu ya Al minaa Sc...
1 Reactions
2 Replies
519 Views
Kama mmepanga Mzize afunge mabao 6 kesho pale Amani Stadium andiken mmeumia, akifunga tu na Ahoua Hulu anaweka, iwe isiwe Ahoua anabeba kiatu.
1 Reactions
6 Replies
495 Views
Mimi nazipa nafasi tim hiz hapa MADRID,PSG,INTER,BAYERN,MAN CITY Japo kuwa DORTMUND Wamekuwa watu wa suprise
3 Reactions
37 Replies
1K Views
HALLOO... . Afisa habari na mawasiliano wa wa klabu ya Dodoma jiji Moses Mpunga amekiri kuwa mchezo wao dhidi ya Wananchi ni mgumu kwasabbu wanaenda kukutana na Yanga ambayo inahitaji alama tatu...
1 Reactions
22 Replies
956 Views
Mafanikio haya tunayoyaona Sasa nchini hayatokani na ujanja Wala akili za Karia, bali jitihada za wafanyabiashara walioamua kwenye mpira wetu na Rais wa nchi kupenda michezo. TFF ya Karia...
6 Reactions
30 Replies
1K Views
Huu uzi ni uzi wa kufunguka kuhusu mambo yanayohusu football ambayo umekuwa unajiuliza mwenyewe kichwani bila kupata majibu na umekuwa unaogopa au unaona aibu kuuliza wengine ili wasije kukuone...
0 Reactions
11 Replies
481 Views
Afisa habari na mawasilino wa Simba Sc Ahmed Ally kupitia ukurasa wake wa Instagram amewaomba wanasimba kufika katika uwanja wa KMC kuaagana. "Jumapili tukutane KMC tukaagane,tumekua na Msimu...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Mashabiki kadhaa wa klabu ya Real Madrid wameonesha nia ya kutomtaka mshambuliaji wa klabu hiyo raia wa Brazil vinicius junior, baada ya kumrushia maneno katika mtandao wa kijamii. Vinicius...
1 Reactions
6 Replies
583 Views
Kila alichofanya au anachofanya mwamba Karia kina baraka za Fifa, Katiba ya TFF ni copy n paste na katiba ya wenye mpira wao. Mpira ni mali ya nani? Wa kumtoa Karia ni Fifa only guys wake up
0 Reactions
4 Replies
425 Views
Heshima mbele wakuu, Katika thread hii tutapata kukumbushana kauli zilizowahi kutolewa na wanamichezo Duniani kote. Kila mtu kwa kumbukumbu yake anafulsa ya kubandika Quotes iliyowahi...
6 Reactions
499 Replies
49K Views
Nimekumbuka mbali sana leo My classmate Ally mayay alivyoandikwa na lile gazeti Japo ilikuwa kweli hawakumtendea haki Habari ile ilimtia simanzi,alishinda ndani analia tu,rafiki zake, John...
8 Reactions
40 Replies
2K Views
Asalaam Aleykum TUSIDANGANYANE hapa ama kuzungukazunguka, kwenye uongozi wetu wa mpira wa miguu nchini umejaaa figisu na tumeshaamza kuziona ila ukweli ni kwamba kama huna PESA huwezi kukalia...
2 Reactions
2 Replies
310 Views
Ukizitazama sifa za urais wa TFF kwa juu juu utaona mbona ni sifa nyepesi tu za kawaida.... Ni kweli, lakini sio rahisi kwa candidate mmoja ku-meet sifa zote kwa asilimia 100. Hebu zisomeni hapa...
4 Reactions
75 Replies
3K Views
Serikali ikianza kukwepa majukumu yake na kukimbilia vitu vya kisiasa visivyo na maana mtu masikini hugeuka kuwa kama mpira wa kona. Mwl Nyerere alishaonya kwenye moja ya hotuba zake za mwaka...
11 Reactions
32 Replies
2K Views
Onlyfans model fati Vasquez has threatened legal action over the threats she has received since being seen holidaying with Lamine yamal. Vasquez, who also a youtuber and fitness influencer was...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Usajili was Liverpool FC Hadi Sasa unatisha,nadhani msimu ujao tunabeba tena! Hadi Sasa , Georgio mamadashavili Toka valencia,Jeremie frinmpong Toka Leverkusen,florian wirts toka Leverkusen ,pia...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Yanga, Ally Mayay, leo Juni 20, 2025 amerudisha fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF). Mayay amegusia suala la baadhi ya wagombea...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
Uchaguzi wa TFF una viashiria vya rushwa kwenye upande wa kupata endorsements kutoka kwa wajumbe. Mwenye fedha nyingi anaweza kununua endorsements zote na wengine kukosa hata moja. Uchaguzi...
4 Reactions
19 Replies
967 Views
Viwanja vitaboreshwa vitawekwa nyasi za kisasa na sio kapeti, viti vitakua na namba, vitakuwa na mapaa, vyoo vitakua visafi, kutakua na VAR, vitakuwa visafi na hakutakua na mechi ya saa nane...
3 Reactions
68 Replies
2K Views
Salaam Members! Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeutangaza uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam, Tanzania kuwa mwenyeji wa mchezo wa ufunguzi wa Fainali za Mataifa Bingwa...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom