Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Salaam Members! Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeutangaza uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam, Tanzania kuwa mwenyeji wa mchezo wa ufunguzi wa Fainali za Mataifa Bingwa...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
BODI ya Ligi ya Tanzania (TPLB) imemteua Mwenyekiti wa klabu ya Azam FC, Nassor Idrissa ‘Father’ kukaimu nafasi ya Mwenyekiti wa TPLB ambayo imekuwa wazi kufuatia kujiuzulu kwa aliyekuwa...
0 Reactions
7 Replies
755 Views
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Wallace Karia amesema Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) wanampenda Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassani kutokana na juhudi zake...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi amekuja mbele kuudanganya Umma kuwa tuchukue fomu wakati wanajua Endorsement zote zimeshachukuliwa, Yani tunaochukua fomu tunatoa swadaka, mimi sitakubali kutoa...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Waislamu ndiyo wenye hatimiliki wa mpira wa Tanzania? Mbona wakristo ni wachache kwenye vile vyombo vinavyoongoza mpira kwenye nchi hii kwa maana TFF aisee na hizi timu mbili za kariakoo Simba na...
6 Reactions
76 Replies
3K Views
Nyota wa zamani wa Yanga Sc na timu ya Taifa,Taifa Stars, Ally Mayay Tembele ametangaza nia ya kushiriki uchaguzi mkuu wa TFF mwaka huu kama mgombea nafasi ya Urais wa Shirikisho hilo unaotarajiwa...
8 Reactions
41 Replies
3K Views
Nadhani watu wamechoka kuona zege tu pale kwa Mkapa. Tutafute namna ya kuufanya uwanja uonekane tofauti. Wataalamu walio decorate Amahoro Stadium ya Rwanda wapo, nje inakuwa na mfumo wa kupendeza...
0 Reactions
2 Replies
340 Views
We are getting the first game 7 in the NBA finals since 2016 after the Indiana pacers beat Oklahoma city thunder 108-91 and force game 7.
1 Reactions
1 Replies
241 Views
Lionel Messi inspired inter miami to a 2-1 comeback victory over porto at the club world cup with a signature stunning free kick. Meanwhile a win for palmeiras earlier on Thursday left both sides...
1 Reactions
1 Replies
428 Views
Hii mada nilikuwa nataka niielezee kwa upana ila nadhani kwa ufupi itajitosheleza. Timu za Simba na Yanga zimebeba mioyo ya asilimia kubwa ya Watanzania. Wote tunajua inayosemekana ni historia...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Mchezo wa Dabi nchini Libya kati ya Al-Ahli Tripol dhidi ya Al-Ittihad ulisimama katika dakika ya 39 baada ya Mashabiki wa Al-Ahli kuvamia uwanja kupinga goli la kutangulia la Al Ittihad. Mwamuzi...
2 Reactions
5 Replies
593 Views
Habari.... 1. Sakata la Derby Mechi ya watani wa jadi (Yanga na Simba) imekuwa na mvutano mkubwa. Yanga wamepinga maamuzi ya Bodi ya Ligi (TPLB) na TFF, wakidai kuna upendeleo na hujuma...
0 Reactions
8 Replies
909 Views
Chelsea winger could face four years ban after testing positive for performance enhancing substance meldonium. The Ukrainian forward could be suspended for as long as four years under FA rules...
1 Reactions
5 Replies
373 Views
Kipa namba Moja wa Arsenal David Raya na Mpenzi wake wapo Nchini kwa sasa wakifurahia mapumziko yao baada ya Msimu kutamatika Ligi Kuu ya England. Sasa inaonekana Mastar wengi wanavutiwa na kuja...
5 Reactions
5 Replies
637 Views
Habari.... Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, pamoja na kanuni za uchaguzi zinazotambuliwa na FIFA, mtu yeyote anayetaka kugombea urais wa TFF lazima awe na: 1. Uzoefu wa Uongozi Mgombea anatakiwa...
1 Reactions
2 Replies
909 Views
[emoji3549] Mzee wa VAR @mchomemapovu ametoa utofauti wa goli Tano za Leo kati ya Simba SC na Yanga SC walizozipata kwenye mechi za raundi ya 29. Shabiki maarufu wa Simba ameshare tofauti za...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Mchezaji wa Ken Gold Obrey Chirwa amesema kuwa kama Simba SC watacheza kama ambavyo wamecheza na Ken Gold kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga basi watafungwa lakini wakibadilika watapata...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu ===== Itakuwaje kama itagundulika kuwa chanzo cha migogoro ndani ya TFF ni serikali tutakwepa kufungiwa? FIFA imeitaarifu rasmi TFF kuwa inatuma maafisa wake kufanya Uchunguzi kufuatia...
10 Reactions
133 Replies
6K Views
Kwa desturi za waafrika, watanzania na Karia, Kila nafasi ni ajira kamili, hivyo hatuna utamaduni wa kujiuzulu hata kama watu waseme nini. Hata Hawa hawakujiuzulu kwasababu wameboronga. Uwezekano...
0 Reactions
0 Replies
435 Views
Hii ni kwa sababu ameharibu soka la Nchi na kuliingiza kwenye siasa. Hakukuwa na sababu zozote zile za kupeleka mechi za Timu za Tanganyika kule Zanzibar, Kisoka Zanzibar inajitegemea na inazo...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
Back
Top Bottom