fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,659
- 9,220
Huyu mjita ana vituko,kwanza ni mwalimu wa shule ya msingi,na kwa chini mama mama maa ni hatari balaaaaa,pia ni mwalimu wa kiswahili na msemaji wa jkt
Uzi tayari.Huyu mjita ana vituko,kwanza ni mwalimu wa shule ya msingi,na kwa chini mama mama maa ni hatari balaaaaa,pia ni mwalimu wa kiswahili na msemaji wa jkt
kwani uzi unatakiwa uwe na sifa zipi?Hujaona watu wanaweka uzi kuhusu kujamba! unashangaa uzi wa masau bwire?Uzi tayari.
ha haYandika ati
Masau Bhwile itali masau bwire
Mjita itali mjita.
Yego,anye inyandika yao yanjimya go,siga labha nasoka mwisabhwa chije chijisobhole kisi.
Isije tu ikawa umekuja kujianzishia uzi. Maana hakuna cha ajabu hapa zaidi tu ya kujipakulia minyama.Huyu mjita ana vituko,kwanza ni mwalimu wa shule ya msingi,na kwa chini mama mama maa ni hatari balaaaaa,pia ni mwalimu wa kiswahili na msemaji wa jkt
hoja inapowekwa mezani,kika mtu husema yake na hiyo ndio demokrasia ilivyo,lakini ukichunguza mantiki ya hoja utagundua kuna kitu kimefichika ndani yakeIsije tu ikawa umekuja kujianzishia uzi. Maana hakuna cha ajabu hapa zaidi tu ya kujipakulia minyama.
picha bila kibali chake siwezi kuipost hapaPicha iko wapi mkuu kwa sisi tusiomjua?