Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Mnaotafuta Kocha kuna huyo Romuald Rakotondrabe pale Madagascar ✍️👊 Mwalimu sana huyu! Nabi Nessredine pia hana kazi kwa sasa✅ Jose Riveiro naye hakijaeleweka saaana ✅ Miloud Hamdi atafukuzwa...
4 Reactions
13 Replies
812 Views
Kombe la Ngao ya Jamii limekuwa na maana kubwa kwa nchi yetu, si tu kama pazia la kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu, bali pia kama sehemu ya kurudisha kwa jamii kupitia mapato ya viingilio. Lakini...
1 Reactions
4 Replies
299 Views
Kocha mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, ameondoka rasmi ndani ya kikosi hicho baada ya kuripotiwa kutimkia Morocco kujiunga na Raja Casablanca. Taarifa zinaeleza kuwa Davids, ambaye awali aliwahi...
6 Reactions
20 Replies
3K Views
wJ9xEV WanaJF mnaocheza fantasy ya UEFA champions league jiungeni humo kila mtu aoneshe umahuri wake wa kupanga kikosi
2 Reactions
2 Replies
290 Views
"Leo tunatangaza kwa furaha kubwa ushirikiano rasmi kati ya MO na Klabu ya Coastal Union kwa msimu wa 2025/2026! Kwa MO, kauli mbiu yetu imekuwa daima: Tunagusa Maisha Yako. Na leo, dhamira hiyo...
1 Reactions
10 Replies
711 Views
Sikuwaelewa Simba kwa Fadlu David. Record mbovu mno aakiwa kocha mkuu. Anakuja kupewa timu kwa record za akiwa asistance kocha. Kila timu ikienda mapumziko inarudi ikiwa mbovu kuliko awali...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Boston, Marekani MBIO ZA MARATHON BOSTON 2023 - APRIL 17, 2023 GABRIEL GEAY AMALIZA MBIO ZA BOSTON MARATHON 2023 NCHINI MAREKANI NA KUSHIKA NAFASI YA PILI , KONGOLE KWA GABRIEL GEAY ! Evans...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Hapa kuna orodha ya baadhi ya wachezaji wa soka maarufu ambao wamewarithi vipaji vyao kutoka kwa wazazi wao: 1. Baba: Wilfried Mbappé, alikuwa mchezaji wa soka na pia alikuwa kocha wa vijana...
1 Reactions
9 Replies
669 Views
Huku Maloid kule Jonathan Sowah.. Klabu ya Simba leo itakuwa dimbani kucheza na klabu ya Gaborone ya Botswana katika michuano ya Klabu Bingwa barani Afrika, hatua ya awali. Mechi hiyo itafanyika...
7 Reactions
89 Replies
5K Views
Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 yanayotarajiwa kufanyika nchini Morocco kuanzia tarehe 21 Desemba 2025 hadi 18 Januari 2026, yamefungua rasmi milango ya volunteering program...
2 Reactions
8 Replies
361 Views
Nitaenda na formation ya 4-4-2 Donnaruma Hakimi Bastoni Saliba Mendes Yamal pedri vitinha vinicious Kane Mbappe
3 Reactions
3 Replies
225 Views
Wakuu muda huu Berlin marathon inafanyika huko Germany na Tanzania ikiwakilishwa na Gabriel Geay Mwenye rekodi Bora ya masaa 2:03:00 katika 42km full marathon.. Tutegemee medali!! Naona Kwa...
5 Reactions
24 Replies
813 Views
Katibu Tawala mkoa wa Tabora Dkt John Mboya amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan, ameagiza klabu ya inayoshiriki ligi kuu soka Tanzania Bara TRA UTD SC...
5 Reactions
13 Replies
678 Views
Klabu ya Simba Queens imekamilisha usajili wa mshambuliaji Senaf Wakuma (25) kutoka CBE Woman ya Ethiopia Mshambuliaji Senaf Wakuma ndio amefunga usajili wa Simba Queens kuelekea msimu ujao wa...
1 Reactions
7 Replies
580 Views
Mstari wa tatu wa Simba SC unapoangaliwa, mara nyingi unapokea macho na vishawishi kutoka mashabiki na wachezaji wenza. Hapa ndipo tunapokutana na wachezaji watatu wa kipekee: MPANZU, AHOUA na...
2 Reactions
9 Replies
677 Views
Mtanzania Alphonce Felix Simbu ameshika nafasi ya kwanza na kushinda Medali ya Dhahabu katika mbio za Marathoni Kilometa 42.195 upande wa Wanaume katika mashindano ya Dunia ya World Athletics...
13 Reactions
47 Replies
2K Views
1. YANGA: Sisi tusiojua soka ila ni mashabiki, tuanaona yanga wana wachezaji wazuri, wasiwasi kwa kocha. Je wachambuzi na mnaojua mpira huyu kocha atawavusha YANGA kweli? 2. SIMBA: Sisi tusiojua...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Najua Yanga wengi walikuwa na kikosi chao kichwani. Mara kocha mpya kaja na selection yake ambayo haikutegemewa. Edmund John Aziz Andambwile Leo wamecheza vizuri wote lakini bado hatujawaona...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Sasa Tanzania ndani ya nchi yetu tumepata top top Defensive Midifielders, vijana wenye nguvu kweli kweli, mmoja Akitokea Simba Sports Club kwa jina Akijulikana kama Yusuph Kagoma Mvunja Kuni, na...
3 Reactions
10 Replies
588 Views
Ubalozi wa Tanzania - Tokyo, umepokea wanariadha wa Tanzania, Sgt. Alphonce Felix Simbu, Mshindi wa Dunia wa Mbio Ndefu (Marathon) katika Mashindano ya Dunia 2025 yaliyofanyika Tokyo, Japan...
2 Reactions
6 Replies
410 Views
Back
Top Bottom