Mnaotafuta Kocha kuna huyo Romuald Rakotondrabe pale Madagascar ✍️👊 Mwalimu sana huyu!
Nabi Nessredine pia hana kazi kwa sasa✅
Jose Riveiro naye hakijaeleweka saaana ✅
Miloud Hamdi atafukuzwa...
Kombe la Ngao ya Jamii limekuwa na maana kubwa kwa nchi yetu, si tu kama pazia la kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu, bali pia kama sehemu ya kurudisha kwa jamii kupitia mapato ya viingilio.
Lakini...
Kocha mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, ameondoka rasmi ndani ya kikosi hicho baada ya kuripotiwa kutimkia Morocco kujiunga na Raja Casablanca.
Taarifa zinaeleza kuwa Davids, ambaye awali aliwahi...
"Leo tunatangaza kwa furaha kubwa ushirikiano rasmi kati ya MO na Klabu ya Coastal Union kwa msimu wa 2025/2026!
Kwa MO, kauli mbiu yetu imekuwa daima: Tunagusa Maisha Yako.
Na leo, dhamira hiyo...
Sikuwaelewa Simba kwa Fadlu David. Record mbovu mno aakiwa kocha mkuu. Anakuja kupewa timu kwa record za akiwa asistance kocha.
Kila timu ikienda mapumziko inarudi ikiwa mbovu kuliko awali...
Boston, Marekani
MBIO ZA MARATHON BOSTON 2023 - APRIL 17, 2023
GABRIEL GEAY AMALIZA MBIO ZA BOSTON MARATHON 2023 NCHINI MAREKANI NA KUSHIKA NAFASI YA PILI , KONGOLE KWA GABRIEL GEAY !
Evans...
Hapa kuna orodha ya baadhi ya wachezaji wa soka maarufu ambao wamewarithi vipaji vyao kutoka kwa wazazi wao:
1.
Baba: Wilfried Mbappé, alikuwa mchezaji wa soka na pia alikuwa kocha wa vijana...
Huku Maloid kule Jonathan Sowah..
Klabu ya Simba leo itakuwa dimbani kucheza na klabu ya Gaborone ya Botswana katika michuano ya Klabu Bingwa barani Afrika, hatua ya awali. Mechi hiyo itafanyika...
Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 yanayotarajiwa kufanyika nchini Morocco kuanzia tarehe 21 Desemba 2025 hadi 18 Januari 2026, yamefungua rasmi milango ya volunteering program...
Wakuu muda huu Berlin marathon inafanyika huko Germany na Tanzania ikiwakilishwa na Gabriel Geay Mwenye rekodi Bora ya masaa 2:03:00 katika 42km full marathon..
Tutegemee medali!!
Naona Kwa...
Katibu Tawala mkoa wa Tabora Dkt John Mboya amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan, ameagiza klabu ya inayoshiriki ligi kuu soka Tanzania Bara TRA UTD SC...
Klabu ya Simba Queens imekamilisha usajili wa mshambuliaji Senaf Wakuma (25) kutoka CBE Woman ya Ethiopia
Mshambuliaji Senaf Wakuma ndio amefunga usajili wa Simba Queens kuelekea msimu ujao wa...
Mstari wa tatu wa Simba SC unapoangaliwa, mara nyingi unapokea macho na vishawishi kutoka mashabiki na wachezaji wenza. Hapa ndipo tunapokutana na wachezaji watatu wa kipekee: MPANZU, AHOUA na...
Mtanzania Alphonce Felix Simbu ameshika nafasi ya kwanza na kushinda Medali ya Dhahabu katika mbio za Marathoni Kilometa 42.195 upande wa Wanaume katika mashindano ya Dunia ya World Athletics...
1. YANGA: Sisi tusiojua soka ila ni mashabiki, tuanaona yanga wana wachezaji wazuri, wasiwasi kwa kocha. Je wachambuzi na mnaojua mpira huyu kocha atawavusha YANGA kweli?
2. SIMBA: Sisi tusiojua...
Najua Yanga wengi walikuwa na kikosi chao kichwani.
Mara kocha mpya kaja na selection yake ambayo haikutegemewa.
Edmund John
Aziz Andambwile
Leo wamecheza vizuri wote lakini bado hatujawaona...
Sasa Tanzania ndani ya nchi yetu tumepata top top Defensive Midifielders, vijana wenye nguvu kweli kweli, mmoja Akitokea Simba Sports Club kwa jina Akijulikana kama Yusuph Kagoma Mvunja Kuni, na...
Ubalozi wa Tanzania - Tokyo, umepokea wanariadha wa Tanzania, Sgt. Alphonce Felix Simbu, Mshindi wa Dunia wa Mbio Ndefu (Marathon) katika Mashindano ya Dunia 2025 yaliyofanyika Tokyo, Japan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.