Gwiji wa England na Liverpool, John Barnes, ametangazwa kuwa amefilisika baada ya kampuni yake ya vyombo vya habari kuingia katika deni la Pauni Milioni 1.5 (Tsh Bilioni 4.9).
Imebainika Jumanne...
Hili nawaambia mfahamu hizi teams si za Wananchi ni za Serikali. Kile kitendo cha Mashabiki wa Simba kujifanya wao ngangari kilimuudhi sana mhusika. Na alisema "haya tutaona"
Hakuna kitu...
Habari wanajukwaa na mashabiki wenzangu wa young Africans sports, natumai mko poa.
Binafsi kwa muda wa misimu kama mitatu hapa nyuma nimekua sifurahishwi na mwenendo wa raisi wa young Africans...
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetangaza kuwa Uchaguzi Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) utafanyika Novemba 29, 2025, jijini Dar es Salaam.
Nafasi...
Zawadi ya nyumba aliyopewa Alphonce Simbu na Rais Samia Suluhu Hassan imeibua mjadala mpana, ambapo kwa upande mmoja inatafsiriwa kama ishara ya kutambua na kuthamini mchango wake katika...
Coach Romain Folz ameshindwa kupata first 11 yake nadhani kichwa kinamuuma na anakosa usingizi
Kwa utaalam wangu kwakuwa Nina foundation course ya coaching nitamsaidia
Goal keeper
1 Diara...
Klabu ya Ligi Kuu ya TABORA UNITED imeuzwa rasmi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na itajulikana kama TRA UNITED SPORTS CLUB.
Timu itakuwa bado chini ya Manager wa TRA Mkoa wa Tabora mpaka...
Luanda, Angola
Septemba 28, 2025
Tanzania imesonga mbele kwa jumla ya mabao 7-0 dhidi ya Angola.
Baada ya kushinda 4-0 katika mechi ya kwanza, Tanzania ilipata ushindi wa 3-0 katika mechi...
Wakuu, mnazikumbuka zile ahadi 10 alizotoa mzabuni wa jezi za Simba SC, Jay Rutty? Ni ipi tayari imekamilishwa na zipi bado hazijatekelezwa? si kwa ubaya tunakumbushana usije ukaisha msimu hakuna...
Alphonce Felix Simbu ni mwanariadha wa kimataifa kutoka Tanzania, amechukua medali ya fedha kwa kushika nafasi ya pili kwa muda wa saa mbili, dakika tano na sekunde nne ( 2:05:04) kwenye...
Wakuu.
I salute you kinsmen.
Huyu kijana ni uwezo wake mkubwa ndio ngumu kuuelezea
Alianza kuwa lulu tangu alipokuwa Tabora na sasa ni TRA inaitwa.
Leo yupo team kubwa yanga na dakika chache...
Haya wakulugwa uwanja wa Mkapa umeipiga serikali pesa zote hizo ila bado aonekani kama umefanyiwa ukarabati wa bei hiyo.
Hatujapigwa kweli na wajanja wa mjini waliko kwenye mifumo...
Oluwasegun, bingwa wa zamani wa kitaifa na Afrika Magharibi katika daraja lake la uzani, alipoteza fahamu katika raundi ya tatu ya pambano lake la Ligi ya Ndondi ya Kulipwa ya Ghana dhidi ya...
Hatimaye plan ya Nabi kumleta Kaze ndani ya Kaizer Chiefs imetimia. Unaweza kusema colabo yao ndani ya Yanga katika misimu miwili yenye mafanikio imeifanya Kaizer nao kuwapa nafasi ya kufanya kazi...
Rais wa chama cha soka hapa Tanzania (TFF), Wallace Karia siku za karibuni amesikika akitoa matamshi yenye utata kwa kusema kwa kipindi kirefu akiwa Rais wa TFF, yeye na TFF kwa ujumla wake kwa...
Niliweka mkeka mkubwa sana kuwa Simba itshinda kwa magoli zaidi ya matano hasa kwa vile nilijuwa usajiri wa fountain gate una walakini
Dah nimepoteza kila kitu naomba michango yenu kunisaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.