Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Gwiji wa England na Liverpool, John Barnes, ametangazwa kuwa amefilisika baada ya kampuni yake ya vyombo vya habari kuingia katika deni la Pauni Milioni 1.5 (Tsh Bilioni 4.9). Imebainika Jumanne...
3 Reactions
5 Replies
407 Views
Hili nawaambia mfahamu hizi teams si za Wananchi ni za Serikali. Kile kitendo cha Mashabiki wa Simba kujifanya wao ngangari kilimuudhi sana mhusika. Na alisema "haya tutaona" Hakuna kitu...
-5 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa na mashabiki wenzangu wa young Africans sports, natumai mko poa. Binafsi kwa muda wa misimu kama mitatu hapa nyuma nimekua sifurahishwi na mwenendo wa raisi wa young Africans...
9 Reactions
57 Replies
2K Views
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetangaza kuwa Uchaguzi Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) utafanyika Novemba 29, 2025, jijini Dar es Salaam. Nafasi...
0 Reactions
1 Replies
278 Views
Zawadi ya nyumba aliyopewa Alphonce Simbu na Rais Samia Suluhu Hassan imeibua mjadala mpana, ambapo kwa upande mmoja inatafsiriwa kama ishara ya kutambua na kuthamini mchango wake katika...
4 Reactions
16 Replies
726 Views
Coach Romain Folz ameshindwa kupata first 11 yake nadhani kichwa kinamuuma na anakosa usingizi Kwa utaalam wangu kwakuwa Nina foundation course ya coaching nitamsaidia Goal keeper 1 Diara...
7 Reactions
17 Replies
842 Views
Klabu ya Ligi Kuu ya TABORA UNITED imeuzwa rasmi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na itajulikana kama TRA UNITED SPORTS CLUB. Timu itakuwa bado chini ya Manager wa TRA Mkoa wa Tabora mpaka...
3 Reactions
49 Replies
2K Views
Luanda, Angola Septemba 28, 2025 Tanzania imesonga mbele kwa jumla ya mabao 7-0 dhidi ya Angola. Baada ya kushinda 4-0 katika mechi ya kwanza, Tanzania ilipata ushindi wa 3-0 katika mechi...
2 Reactions
2 Replies
316 Views
Wakuu, mnazikumbuka zile ahadi 10 alizotoa mzabuni wa jezi za Simba SC, Jay Rutty? Ni ipi tayari imekamilishwa na zipi bado hazijatekelezwa? si kwa ubaya tunakumbushana usije ukaisha msimu hakuna...
1 Reactions
10 Replies
467 Views
Alphonce Felix Simbu ni mwanariadha wa kimataifa kutoka Tanzania, amechukua medali ya fedha kwa kushika nafasi ya pili kwa muda wa saa mbili, dakika tano na sekunde nne ( 2:05:04) kwenye...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Benjamin Whitaker nainjoi Sana pambano zake.
0 Reactions
1 Replies
142 Views
Wakuu. I salute you kinsmen. Huyu kijana ni uwezo wake mkubwa ndio ngumu kuuelezea Alianza kuwa lulu tangu alipokuwa Tabora na sasa ni TRA inaitwa. Leo yupo team kubwa yanga na dakika chache...
1 Reactions
4 Replies
259 Views
Haya wakulugwa uwanja wa Mkapa umeipiga serikali pesa zote hizo ila bado aonekani kama umefanyiwa ukarabati wa bei hiyo. Hatujapigwa kweli na wajanja wa mjini waliko kwenye mifumo...
1 Reactions
12 Replies
937 Views
Oluwasegun, bingwa wa zamani wa kitaifa na Afrika Magharibi katika daraja lake la uzani, alipoteza fahamu katika raundi ya tatu ya pambano lake la Ligi ya Ndondi ya Kulipwa ya Ghana dhidi ya...
1 Reactions
5 Replies
585 Views
Mnyama Leo atashuka dimbani kumenyana na fountain Gate. Majira ya saa 1 usiku #All the best Simba SC 🦁 Ubaya ubwela season 2
4 Reactions
54 Replies
2K Views
Hatimaye plan ya Nabi kumleta Kaze ndani ya Kaizer Chiefs imetimia. Unaweza kusema colabo yao ndani ya Yanga katika misimu miwili yenye mafanikio imeifanya Kaizer nao kuwapa nafasi ya kufanya kazi...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Rais wa chama cha soka hapa Tanzania (TFF), Wallace Karia siku za karibuni amesikika akitoa matamshi yenye utata kwa kusema kwa kipindi kirefu akiwa Rais wa TFF, yeye na TFF kwa ujumla wake kwa...
3 Reactions
13 Replies
967 Views
NEXT MATCH : Simba Vs Gaborone United CAF champion League Starting Xl ya Simba SC Mchezo muhimu All the best Simba SC 🦁 #nguvu moja.
8 Reactions
151 Replies
6K Views
Niliweka mkeka mkubwa sana kuwa Simba itshinda kwa magoli zaidi ya matano hasa kwa vile nilijuwa usajiri wa fountain gate una walakini Dah nimepoteza kila kitu naomba michango yenu kunisaidia...
9 Reactions
38 Replies
2K Views
Back
Top Bottom