Wakati Tanzania kukiripotiwa matukio mbalimbali hasa ya ajali za moto, leo nimenasa tukio lingine majira ya saa 8:50 mchana (2:50PM) katika eneo la Iyunga karibu na kituo cha garimoshi cha TAZARA...
Kuna mambo ambayo kwa uwezo wa kawaida wa mwanadamu tunaweza kudhani hatuwezi kufanya na endapo tutathubutu lazima tutumie nguvu zisizo za kawaida za uchawi au kutegemea miujiza ya Mungu...
Kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya kitoweo wakati huu wa maandalizi ya sikukuu ya Idd el Fitri idadi ya mbuzi imeongezeka kwenye mnada wa mifugo hiyo Vingunguti, Dar es Salaam.
Nchi inaongozwa na MTAWALA na mambo yanafanyika bila malalmiko..hakuna cha WAPIGANAJI,WAPAMBANAJI,WAANDIKISHA WAPIGA KURA na MAKAMNDA wala cha VYAMA VINGI
na raia wanapata kila kitu
maybe this...
Hii hotokea Bongo kila mwaka nimeikuta kwenye Blog ya BBC
Aid worker Isla Gilmore snapped this in Tanzania. The goat race is an annual charity event, she said. "The goats don't really run -...
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Rais wa Libya, Muammar Gadafi (kulia) wakati wa maonyesho ya sanaa na ngoma alizowaandalia wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika (AU) baada ya kikao chao cha siku...
Nimekutana na picha moja mahali, sikuweza kupata jibu la haraka kwamba kulikuwa kuna nini hadi hiki kitu kikatokea. Vijana wengi nchini USA especially wale wanaopenda miondiko ya RAP wanapenda...