Naona hata huku kwetu ndio ofisi kama hizi zimeanza, Yaani ukifika hapo au maeneo hayo kama wewe ni mgeni usome bango hilo katika picha.
Kuuliza sh. 500
Kupelekwa sh. 1000
Kukaa sh. 100
Jina lake linatumiwa kuwababaisha Watanzania
• Linatumiwa kujilinda dhidi ya hasira za umma
• Ni kwa madai ya kuendeleza amani na utulivu
TAREHE 14 Oktoba mwaka huu unatimia...
Wakati Tanzania kukiripotiwa matukio mbalimbali hasa ya ajali za moto, leo nimenasa tukio lingine majira ya saa 8:50 mchana (2:50PM) katika eneo la Iyunga karibu na kituo cha garimoshi cha TAZARA...
Kuna mambo ambayo kwa uwezo wa kawaida wa mwanadamu tunaweza kudhani hatuwezi kufanya na endapo tutathubutu lazima tutumie nguvu zisizo za kawaida za uchawi au kutegemea miujiza ya Mungu...
Kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya kitoweo wakati huu wa maandalizi ya sikukuu ya Idd el Fitri idadi ya mbuzi imeongezeka kwenye mnada wa mifugo hiyo Vingunguti, Dar es Salaam.
Nchi inaongozwa na MTAWALA na mambo yanafanyika bila malalmiko..hakuna cha WAPIGANAJI,WAPAMBANAJI,WAANDIKISHA WAPIGA KURA na MAKAMNDA wala cha VYAMA VINGI
na raia wanapata kila kitu
maybe this...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.