Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!

On JF:

What amazing creativity and the maintenance involved! Bonyeza hapa utaona hiyo Garden...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii hotokea Bongo kila mwaka nimeikuta kwenye Blog ya BBC Aid worker Isla Gilmore snapped this in Tanzania. The goat race is an annual charity event, she said. "The goats don't really run -...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Deviant Guards Embarrass US Embassy in Afghanistan...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Rais wa Libya, Muammar Gadafi (kulia) wakati wa maonyesho ya sanaa na ngoma alizowaandalia wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika (AU) baada ya kikao chao cha siku...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Katika pitapita zangu nimekutana na huu mti na una matunda. Kuna mtu awezaye kunitajia jina la huu mti? Na matunda yake?
0 Reactions
16 Replies
11K Views
Nimekutana na picha moja mahali, sikuweza kupata jibu la haraka kwamba kulikuwa kuna nini hadi hiki kitu kikatokea. Vijana wengi nchini USA especially wale wanaopenda miondiko ya RAP wanapenda...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akimfungisha ndoa Abdalla Hassan Mitawi, mfanyakazi wa kituo cha Televishein Zanzibar aliyemuoa mtoto wake Mwanaharusi Shein, ambaye ni Ofisa Uhusiano wa Benki...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
<table style="margin-left: 10.5pt; width: 97.98%;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="3" width="97%"><tbody><tr><td style="padding: 0.75pt; width: 40.04%;" valign="top" width="40%"> </td> <td...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Miss Estonia 2009, Miss Venezuela 2009, Miss Ukraine 2009, and Miss Paraguay 2009, pose at Atlantis on Paradise Island in preparation for Miss Universe 2009 pageant in the Bahamas.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Hivi kwa nini jamaa wa kibongo wanapenda kuoa wanawake wa kimombasa? halafu wakishaoa na wenyewe wana adopt accent za jamaa wa kule? halafu kwa nini wanawake wa Kimombasa wanpenda kuolewa na...
0 Reactions
57 Replies
21K Views
Mbunge wa Viti Maalum Al-Shymaa Kwegiar akiwa na washiriki wa Miss Totoz Fatuma Issa (7) ameibuka kidedea katika shindano la kumpata Malkia wa Watoto, Miss Totoz Temeke 2009 katika Ukumbi wa...
0 Reactions
60 Replies
11K Views
Sunday, October 19, 2008 Managing Director Job: East Africa Tea Trade Association (EATTA) <SCRIPT type=text/javascript><!--google_ad_client = "pub-2694107175617766";google_ad_host =...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
http://*************************/2009/08/east-african-tea-trade-association.html
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani napenda kujua hili ni jeshi gani Tanzania........ Je hawa walikuwa kazini au walikuwa wame-pose kwa ajili ya picha. Toa maoni yako tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Matatizo ya shirika la reli wasafiri kila mara wanalala Station hadi lini Check hii Mmoja wa abiria waliokwama katika Stesheni ya Dar es Salaam, Bw. Shadrack Mwami akijibizana na Kamanda...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Tafadhali tukumbushane watu maarufu duniani. Yeyote unayemuona kuwa ni maarufu au alikuwa maarufu kwa mtazamo wako , tupatie picha yake. Kama ukipenda, taja umaarufu wake.
0 Reactions
34 Replies
9K Views
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Je hawa watu walikuwa wana-smile kwa ajili ya kamera au wameridhika na maisha waliyonayo.............toa maoni. Maoni yangu: Naamini watanzania wanaridhika na kile walichonacho ingawa gap ya...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Back
Top Bottom