Dah!Diamond balaa yani kaibuka na tuzo tatu kwa mpigo.Ni hiz za kill music awards.Kachukua ya mchezaji bora wa kiume wa mwaka,mtunzi bora na video bora ya mwaka.
Huwa natamani hii katuni ingekuwa kweli lau tungepumua kutokana na utoro wa kijana wetu ukiachia mbali kuacha nyumba ikiwa chafu huku akifaidi na laazizi wake. Ila furaha yake ni mauti ya watu...
Hapo Sheria ni kwamba huruhusiwi kusomea gazeti mezani wala kusogelea meza kama hununui.... cheki mshikaji anavyokuchambulia headlines akiwa mita kadhaa....sijui kwenye macho amefunga...
U.S. President Barack Obama greets his ambassador to Colombia, Michael McKinley, as he arrives for the Americas Summit at the airport in Cartagena, April 13, 2012. Heads of state meet at the...
Mpaka Tume ya kurekebisha katiba imalize kazi katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu Professa Baregu atakuwa amefuta chozi la kutupiwa virago vyake pale UDSM na hii serikali..........maana mlo wa...