View attachment 51832
Hapo Sheria ni kwamba huruhusiwi kusomea gazeti mezani wala kusogelea meza kama hununui.... cheki mshikaji anavyokuchambulia headlines akiwa mita kadhaa....sijui kwenye macho amefunga darubini...akifika kijiweni anahadithia utadhani alinunua gazeti...akili ni nywele!!