KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Hii staili ya kuomba wakiwa hivi wakatoliki wameanza lini? Au mkuu umechanganya madesa..
wapendwa,
hapo mashemasi wanapewa daraja takatifu la upadre! tukio lililo katika formalities za ibada za upadrisho na sio lazima iwe ndio "ucha Mungu". ucha Mungu uko moyoni mwa mtu na sio kwenye kanzu nyeupe na kulala kifudifudi kwenye zuria linalometameta mbele ya maaskofu! hiyo ni ishara ya unyenyekevu na inakuwa na maana zaidi kama unyenyekevu huo uko mioyoni mwao, na sio hapo mbele ya kamera pekee.
mbarikiwe sana wapendwa,
Glory to God!
Hapo wanakua wanamnyeneykea nani hasa mungu na huyo jamaa mbele mwenye kikofia chekundu?kama jibu ni mungu basi huo ni ucha mungu...!wapendwa,
hapo mashemasi wanapewa daraja takatifu la upadre! tukio lililo katika formalities za ibada za upadrisho na sio lazima iwe ndio "ucha Mungu". ucha Mungu uko moyoni mwa mtu na sio kwenye kanzu nyeupe na kulala kifudifudi kwenye zuria linalometameta mbele ya maaskofu! hiyo ni ishara ya unyenyekevu na inakuwa na maana zaidi kama unyenyekevu huo uko mioyoni mwao, na sio hapo mbele ya kamera pekee.
mbarikiwe sana wapendwa,
Glory to God!
wapendwa,
hapo mashemasi wanapewa daraja takatifu la upadre! tukio lililo katika formalities za ibada za upadrisho na sio lazima iwe ndio "ucha Mungu". ucha Mungu uko moyoni mwa mtu na sio kwenye kanzu nyeupe na kulala kifudifudi kwenye zuria linalometameta mbele ya maaskofu! hiyo ni ishara ya unyenyekevu na inakuwa na maana zaidi kama unyenyekevu huo uko mioyoni mwao, na sio hapo mbele ya kamera pekee.
mbarikiwe sana wapendwa,
Glory to God!
Ina maana hata kadinali pengo alipitia hatua hii ya kugala gala chini?
Hapo Rejeo sio wanaomba
Wanapewa Daraja fulani ( Upadri au u askofu)
Desa Lipo Sawa
Wizi mtupu,mbona wengine tunasikia wana watoto na wengine wanajihusisha na biashara za mihadarati huku wengine wakitupika kama dekio la kuwasafisha mafisadi kwa malipo maalumNa maranyingi hapo wakifanya mchezo katika imani wengine hufariki hapo hapo..na hua hawalali usingizi..ni mwendo wa sala tu..noumerr
Wizi mtupu,mbona wengine tunasikia wana watoto na wengine wanajihusisha na biashara za mihadarati huku wengine wakitupika kama dekio la kuwasafisha mafisadi kwa malipo maalum
Ajikwezaye atadhiliwa, ajidhilye atakwezwaNimeupenda ucha mungu wa aina hii toka kwa waumini wa kikatoliki....ama hakika kumcha mungu ni chanzo cha maarifa...................
[h=3][/h]