Huu ni Uzi wa Picha za utani, za kuchekesha, kuburudisha na kufundisha kutokana na utani wa makabila mbalimbali.
Wasukuma tunataka haki yetu ya msingi ya kutambulika kama kabila photogenic zaidi...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, John Heche amefika Mkoani Mwanza kukiwakilisha chama chake kwenye Ibada Maalum ya kuwaombea Wahanga wa ajali iliyonyofoa uhai wa Watu 14 , wakiwemo Waandishi wa...
Ikumbukwe kwamba ile kesi ya Ugaidi dhidi ya Mwamba Freeman Mbowe na wenzake watatu inaendelea leo , ambako uamuzi mdogo wa mapingamizi utatolewa , Tayari Mtukufu Jaji Amekwishaanza kusoma uamuzi...
Hadithi yenye funzo kubwa! Nani anaikumbuka?filimbi ya kwanza ilikuwa kuwafukuza panyafilimbi ya pili ilikuwa ya kulipa kisasi kwakuwapoteza watoto
timiza ahadi yako na kamwe usidhulumu cha mtu
Usiombe mvua inyeshe na una nappy 5, wakati huo omo haipatikani sabuni olikua Foma kutoka Tanga. Nappy hazikuwa rahisi kwani zilipatikana kwa matendo kutoka Zambia, Kenya, Congo na walioishi...
Mibuyu ni miti inayoota huko Dodoma, ile kauli ilisema “Nimesikia huko Dodoma kwa akina Kassim….”. Mbuyu wa kwanza umeshang’olewa.
Fuvu linaangalia lakini sasa halina kauli. Kwakifupi tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.