donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maaamae hata sielewi
Ahahahaahaa...!! Unakuta mtu umesoma makitu makubwa kweli, lakini unaishi maisha yako kwa kutumia topic moja tu ya somo zima toka la kwanza hadi univercityHaya makitu yaliniumiza sana kichwa.. nashkuru leo ninaishi kwa hesabu za kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya sijawahi kutumia logarithms 🙆♂️
Still hata maisha yako mwenyewe hujayabadilishaZote nimezipangusa izo
Natembelea vieite...unaijua vieite wewe?Still hata maisha yako mwenyewe hujayabadilisha
😂😂😂😂😂😂
Hongera sana mkuu huwa huwa nayoona tu kwa mbaliNatembelea vieite...unaijua vieite wewe?
& Doppler effect.....Wale wanangu wa wave 1 na wave 2
Mlizimaliza zote [emoji1787][emoji1787]
Siku nyingine ukiliona ujue Mimi nimo😀😀Hongera sana mkuu huwa huwa nayoona tu kwa mbali