marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 967
- 1,693
Hatupaswi kuendelea kuita bara letu AFRICA na kuanza kuita jina lake halisi la ALKEBU-LAN, kama jinsi ma babu zetu walivyo kua wakiliita hapo awali, ALKEBU-LAN lenye maana ya "ASILI YA UHAI DUNIANI"
Jina la Africa halina maana yoyote wala hali akisi jambk lolote kutoka kwenye lugha zetu za asili.
Kuna baadhi ya simulizi zina sema asili ya jina hili la Africa limetokana na jina la mzungu alie fika Africa mwanzoni mwa karne ya 8 alieitwa Leo Africanus
Dola yenye nguvu wakati huo ya Roma walitaka kuharibu muunganiko iliopo kati ya waafrika na utamaduni wao kwa kubadiri majina ya koo, nchi na kubadiri jina la bara zima ilikua ni moja ya mbinu walio itumia,
Jina lilibadirishwa baada ya vita ya ghafla kati ya Roma ikiongozwa na Publius Cornelius Scipio dhidi Carthage,.
Waroma walipo mkamata Carthage wali badili jina na kuliita bara letu Africa
Baadhi ya simulizi zisizo rasmi zinasema kua msafiri huyo alie itwa Leo Afrianus alitaka bara la Africa liitwe Africa neno kutoka lugha ya kigiriki "a-phike"
Pia kuna wanao amini kua neno, "Africa" limetoka kwenye neno la Kilatini "aprica" lenye maana ya jua kali.
Kutokana vyanzo vifuatavyo vya Kenematic Histori of Africa, The definition of Alkebulan vinasema kua "Jina halali la bara la Africa ni Alkebulan, Alkebu-lan " chanzo cha uhai ulimwenguni au Bustani ya Eden
Alkebulan ni neno kongwe zaidi kutumika kama jina la bara la Africa na lenye asili ya lugha ya hindigenous Lugha iliotumika na wa Moor, Wanubi, Wanumidi, waKhart na wa Ethiopia
Kwa watu wa magharibi hasa Waroma walio liita bara hili afrika ilimaanisha "The land Afer " kwa tafasiri isio rasmi ambapo wao walianzia Africa Carthage ambayo ni Tunisia ya sasa kua nchi hii ilikuja baadae baada ya uumbaji na ni ya mwisho kuumbwa.
Asili ya neno hili la na maana yake kiingerza cha kale kutoka Uingereza ni "dust" yani uchafu
Neno Afri lililo anzishwa Afrika
-the Phoenician `far, the dust; yaani taka taka au uchafu
– maana nyingine iliyo tolewa kwenye kiingireza cha america ya kusini ni (mahali bila baridi).
Mwana historia Leo Africanus (1495-1554) anazungumzia asili ya neno la kigiriki phrike(φρικε, lenye maana ya Baridi na kutisha), ambapo ukiweka "a" yenye maana ya kukanusha basi neno hilo linakua nchi bila baridi na ya kutisha
Licha ya kua hoja yake haikutililiwa maanani baada ya utofauti wa kimatamshi kati ya ph na f kumefanya wana zuoni kutupilia mbali hoja yake hiyo..
Kwahiyo jina la asili la bara la Afrika ni lipi?
Kama nilivyosema hapo awali mwanzo kabisa liliitwa "Alkebulan". Neno "Alkebulan" lenye maana chanzo cha uhai kwa mwanadamu au Bustani ya Edeni
Pia ikumbukwe kua kabla ya neno "Alkebulan" kutolewa na kuanza kutumia Africa kuna hilo lilitumika zaidi Afrika ya kaskazini
Mwishoni mwa karne ya 17 jina la Afrika lilikua jina jipya masikioni mwa watu, jina walilo leta wazungu sababu wakati huo wazungu walipo safiri kwenye maeneo tofauti walipenda kutumia majina ya kilatini kuliko majina ya lugha nyingine
Maeneo mengi yaliitwa Afruca(pamoja na Africa lenye) na lilitumika tu kwenye baadh ya maeneo madogo madogo ya Africa ila jina la sili na kongwe zaidi ni ALKEBULAN.
Jina la Africa halina maana yoyote wala hali akisi jambk lolote kutoka kwenye lugha zetu za asili.
Kuna baadhi ya simulizi zina sema asili ya jina hili la Africa limetokana na jina la mzungu alie fika Africa mwanzoni mwa karne ya 8 alieitwa Leo Africanus
Dola yenye nguvu wakati huo ya Roma walitaka kuharibu muunganiko iliopo kati ya waafrika na utamaduni wao kwa kubadiri majina ya koo, nchi na kubadiri jina la bara zima ilikua ni moja ya mbinu walio itumia,
Jina lilibadirishwa baada ya vita ya ghafla kati ya Roma ikiongozwa na Publius Cornelius Scipio dhidi Carthage,.
Waroma walipo mkamata Carthage wali badili jina na kuliita bara letu Africa
Baadhi ya simulizi zisizo rasmi zinasema kua msafiri huyo alie itwa Leo Afrianus alitaka bara la Africa liitwe Africa neno kutoka lugha ya kigiriki "a-phike"
Pia kuna wanao amini kua neno, "Africa" limetoka kwenye neno la Kilatini "aprica" lenye maana ya jua kali.
Kutokana vyanzo vifuatavyo vya Kenematic Histori of Africa, The definition of Alkebulan vinasema kua "Jina halali la bara la Africa ni Alkebulan, Alkebu-lan " chanzo cha uhai ulimwenguni au Bustani ya Eden
Alkebulan ni neno kongwe zaidi kutumika kama jina la bara la Africa na lenye asili ya lugha ya hindigenous Lugha iliotumika na wa Moor, Wanubi, Wanumidi, waKhart na wa Ethiopia
Kwa watu wa magharibi hasa Waroma walio liita bara hili afrika ilimaanisha "The land Afer " kwa tafasiri isio rasmi ambapo wao walianzia Africa Carthage ambayo ni Tunisia ya sasa kua nchi hii ilikuja baadae baada ya uumbaji na ni ya mwisho kuumbwa.
Asili ya neno hili la na maana yake kiingerza cha kale kutoka Uingereza ni "dust" yani uchafu
Neno Afri lililo anzishwa Afrika
-the Phoenician `far, the dust; yaani taka taka au uchafu
– maana nyingine iliyo tolewa kwenye kiingireza cha america ya kusini ni (mahali bila baridi).
Mwana historia Leo Africanus (1495-1554) anazungumzia asili ya neno la kigiriki phrike(φρικε, lenye maana ya Baridi na kutisha), ambapo ukiweka "a" yenye maana ya kukanusha basi neno hilo linakua nchi bila baridi na ya kutisha
Licha ya kua hoja yake haikutililiwa maanani baada ya utofauti wa kimatamshi kati ya ph na f kumefanya wana zuoni kutupilia mbali hoja yake hiyo..
Kwahiyo jina la asili la bara la Afrika ni lipi?
Kama nilivyosema hapo awali mwanzo kabisa liliitwa "Alkebulan". Neno "Alkebulan" lenye maana chanzo cha uhai kwa mwanadamu au Bustani ya Edeni
Pia ikumbukwe kua kabla ya neno "Alkebulan" kutolewa na kuanza kutumia Africa kuna hilo lilitumika zaidi Afrika ya kaskazini
Mwishoni mwa karne ya 17 jina la Afrika lilikua jina jipya masikioni mwa watu, jina walilo leta wazungu sababu wakati huo wazungu walipo safiri kwenye maeneo tofauti walipenda kutumia majina ya kilatini kuliko majina ya lugha nyingine
Maeneo mengi yaliitwa Afruca(pamoja na Africa lenye) na lilitumika tu kwenye baadh ya maeneo madogo madogo ya Africa ila jina la sili na kongwe zaidi ni ALKEBULAN.