Asili ya jina la Afrika na jina halisi la bara letu

marcoveratti

JF-Expert Member
Sep 21, 2017
967
1,693
Hatupaswi kuendelea kuita bara letu AFRICA na kuanza kuita jina lake halisi la ALKEBU-LAN, kama jinsi ma babu zetu walivyo kua wakiliita hapo awali, ALKEBU-LAN lenye maana ya "ASILI YA UHAI DUNIANI"

Jina la Africa halina maana yoyote wala hali akisi jambk lolote kutoka kwenye lugha zetu za asili.

Kuna baadhi ya simulizi zina sema asili ya jina hili la Africa limetokana na jina la mzungu alie fika Africa mwanzoni mwa karne ya 8 alieitwa Leo Africanus

Dola yenye nguvu wakati huo ya Roma walitaka kuharibu muunganiko iliopo kati ya waafrika na utamaduni wao kwa kubadiri majina ya koo, nchi na kubadiri jina la bara zima ilikua ni moja ya mbinu walio itumia,
Jina lilibadirishwa baada ya vita ya ghafla kati ya Roma ikiongozwa na Publius Cornelius Scipio dhidi Carthage,.
Waroma walipo mkamata Carthage wali badili jina na kuliita bara letu Africa

Baadhi ya simulizi zisizo rasmi zinasema kua msafiri huyo alie itwa Leo Afrianus alitaka bara la Africa liitwe Africa neno kutoka lugha ya kigiriki "a-phike"

Pia kuna wanao amini kua neno, "Africa" limetoka kwenye neno la Kilatini "aprica" lenye maana ya jua kali.

Kutokana vyanzo vifuatavyo vya Kenematic Histori of Africa, The definition of Alkebulan vinasema kua "Jina halali la bara la Africa ni Alkebulan, Alkebu-lan " chanzo cha uhai ulimwenguni au Bustani ya Eden

Alkebulan ni neno kongwe zaidi kutumika kama jina la bara la Africa na lenye asili ya lugha ya hindigenous Lugha iliotumika na wa Moor, Wanubi, Wanumidi, waKhart na wa Ethiopia

Kwa watu wa magharibi hasa Waroma walio liita bara hili afrika ilimaanisha "The land Afer " kwa tafasiri isio rasmi ambapo wao walianzia Africa Carthage ambayo ni Tunisia ya sasa kua nchi hii ilikuja baadae baada ya uumbaji na ni ya mwisho kuumbwa.

Asili ya neno hili la na maana yake kiingerza cha kale kutoka Uingereza ni "dust" yani uchafu
Neno Afri lililo anzishwa Afrika
-the Phoenician `far, the dust; yaani taka taka au uchafu
– maana nyingine iliyo tolewa kwenye kiingireza cha america ya kusini ni (mahali bila baridi).

Mwana historia Leo Africanus (1495-1554) anazungumzia asili ya neno la kigiriki phrike(φρικε, lenye maana ya Baridi na kutisha), ambapo ukiweka "a" yenye maana ya kukanusha basi neno hilo linakua nchi bila baridi na ya kutisha

Licha ya kua hoja yake haikutililiwa maanani baada ya utofauti wa kimatamshi kati ya ph na f kumefanya wana zuoni kutupilia mbali hoja yake hiyo..

Kwahiyo jina la asili la bara la Afrika ni lipi?

Kama nilivyosema hapo awali mwanzo kabisa liliitwa "Alkebulan". Neno "Alkebulan" lenye maana chanzo cha uhai kwa mwanadamu au Bustani ya Edeni

Pia ikumbukwe kua kabla ya neno "Alkebulan" kutolewa na kuanza kutumia Africa kuna hilo lilitumika zaidi Afrika ya kaskazini

Mwishoni mwa karne ya 17 jina la Afrika lilikua jina jipya masikioni mwa watu, jina walilo leta wazungu sababu wakati huo wazungu walipo safiri kwenye maeneo tofauti walipenda kutumia majina ya kilatini kuliko majina ya lugha nyingine

Maeneo mengi yaliitwa Afruca(pamoja na Africa lenye) na lilitumika tu kwenye baadh ya maeneo madogo madogo ya Africa ila jina la sili na kongwe zaidi ni ALKEBULAN.
 
Afrika ina majina mengi kabla ya ujio wa haya majina ya kitumwa waliyopandikiza wageni ili kutisahaulisha asili yetu.

Wanajua asili inanguvu kubwa ndiomaana hata tukijiunga na dini zao wanatubatiza ama kutusilimisha kwa majina ya wageni(alien/white people) ili tusahau alisi zetu na utu wetu tubaki kuwa wanadamu wa hovyo badala ya kuwa watu i mean utu na ubinadamu ni vitu viwil tofaut, japo wao wanaforce tuamini ni kitu kimoja.

Kuna majina ya kale ambayo babu zetu waliyatumia kama utambulisho na ndiomaana walikuwa na nguvu kubwa za akili na roho kuweza hata kuunda mijengeo mikubwa pyramid pia kuunda technolojia nzito ambazo kwa sasa hatuwezi tena kuzifanya maana tushajiharibu utu wetu kwa kujinajisi kupitia michanganyo na hawa wanadamu(watu weupe).

Ukweli mchungu,
 
Kuna mambo haya maana yeyote katika dunia ya Sasa hivi kwa mfano jina likibadilishwa lita leta mageuzi gani ya kijamii, kiuchumi,kisiasa na kisayansi pamoja na Teknolojia?

Tuseme Afrika ndo bustani ya Edeni ilikuwepo so what?
Tayar ulishaharibiwa akili hivyo hujui tena umuhimu wa utambulisho na historia nzima, kama hakuna umuhimu wa majina ya asili kawaulize wakoloni wa kiislam kwanini ukisilimu mpka karne hii watakubadiri jina?

Kawaulize viongoz wako wa kidini ni nini dhumuni la ubatizo?

Ukishajua edeni ilikuwa afrika na kujua kuwa hata sanduku la agano la kweli lilikuwa afrika na lilifichwa afrika basi utaamka na kufuatilia ukweli, na ukweli ni kwamba ile nguvu ukiipata basi hakuna pua ya mtu yeyote dunian itaweza kukugusa, kinguvu mpaka kiuchumi.

Mnajifanya wajuaji wakat hamna mjualo, wazungu kubadiri majina hawakuwa wajinga, bali kuwazuga wapumbavu kama wew.

Leo hii wamekuwa wakimiminika maelfu ya wageni ngozi nyeupe wapelelezi kwa vigezo vya utalii kumbe wanatafta masalia ya kale ambayo mengi yalihusishwa na Nguvu za mtu wa kale(muafrika), pia mabaki ambayo yalikuwa na ramani nzima za gunduzi za kitechnolojia ktk nakala za mawe, ngozi, na mapangoni, yote haya wanachukua huku na kurudisha kwao, utasikia kuna gunduzi fulani wamefanya kumbe behind the scene wameiba huku kwa kucopy makala za babu zetu.

Kibaya zaidi mpka viongozi wetu wa nchi wana akili chafu kama yako kwa kuuza resoure zetu kwa wageni bila kujua wanaiharibu afrika.

Hapo kongo unazani kwann vita havikomi?

Bado una safari ndefu ya kuujuwa ukweli, rudi kanyonye
 
Tayar ulishaharibiwa akili hivyo hujui tena umuhimu wa utambulisho na historia nzima, kama hakuna umuhimu wa majina ya asili kawaulize wakoloni wa kiislam kwanini ukisilimu mpka karne hii watakubadiri jina?

Kawaulize viongoz wako wa kidini ni nini dhumuni la ubatizo?

Ukishajua edeni ilikuwa afrika na kujua kuwa hata sanduku la agano la kweli lilikuwa afrika na lilifichwa afrika basi utaamka na kufuatilia ukweli, na ukweli ni kwamba ile nguvu ukiipata basi hakuna pua ya mtu yeyote dunian itaweza kukugusa, kinguvu mpaka kiuchumi.

Mnajifanya wajuaji wakat hamna mjualo, wazungu kubadiri majina hawakuwa wajinga, bali kuwazuga wapumbavu kama wew.

Leo hii wamekuwa wakimiminika maelfu ya wageni ngozi nyeupe wapelelezi kwa vigezo vya utalii kumbe wanatafta masalia ya kale ambayo mengi yalihusishwa na Nguvu za mtu wa kale(muafrika), pia mabaki ambayo yalikuwa na ramani nzima za gunduzi za kitechnolojia ktk nakala za mawe, ngozi, na mapangoni, yote haya wanachukua huku na kurudisha kwao, utasikia kuna gunduzi fulani wamefanya kumbe behind the scene wameiba huku kwa kucopy makala za babu zetu.

Kibaya zaidi mpka viongozi wetu wa nchi wana akili chafu kama yako kwa kuuza resoure zetu kwa wageni bila kujua wanaiharibu afrika.

Hapo kongo unazani kwann vita havikomi?

Bado una safari ndefu ya kuujuwa ukweli, rudi kanyonye
Na Kuna ishu niliona mahali ,kuwa Kuna historical data ambazo Zina milikiwa na watu wa Ethiopia Kama sijakosea wao Wana history ambayo iko clean na Haina madoa Kama hii tunayoijua sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom