Kivuli cha Kifo: Elimu ya kuogofya kwa Maisha ya mwanadamu

puker

JF-Expert Member
Nov 22, 2018
940
1,847
Habari za muda huu wana Jf. Nimuda kidogo sijaandika chochote katika jukwaa hili zaidi ya kuwa msomaji na Mchangiaji mabandiko mbali mbali.

Mungu ni mwema ametupa nafasi ya kuona mwaka mwingine.

Tahadhali kwa nitakachokiandika hapa, hakina mahusiano na imani za kishirikina wala imani ya kidini kutoka upande wowote...zaidi ni vitu vinanitokea mithili ya ndoto ili hali inakuwa kama darasa kwangu na pengine kwa jamii nzima.

Silazimishi yoyote kuamini hili maana haupo ushahidi wa moja kwa moja zaidi ni mimi na nafsi yangu ndio imenifanya leo kuitoa siri hii nzito kuweka hapa jukwaani pengine inaweza kuwa msaada kwa watu wengine.

Mnamo tarehe 20 Jan 2022, majira ya saa 10 jioni, nilipata ajali mbaya sana ya pikipiki...nilikuwa naendesha mwenyewe nikiwa kwenye majukumu yangu ya kawaida.

Kiukweli ile ajali nilisababishiwa na coster ya abiria iliyokuwa inamkwepa n'gombe aliekuwa akikatiza barabarani ghafla. Hvy dereva wa coster akaacha njia nakuja kunivaa mimi.

Niseme wazi Mungu bado ananipenda kwa namna nilivyotoka mzima kwenye ile ajali kiukweli niliona kifo kinakuja mbele yangu kabla ya kunikalipia kikapotea. Kiufupi ndani ya dakika chache kama sio sekunde niliona giza Nene sana mithili ya kipofu (Sijawah kuwa mpofu ila hii ni nadharia tu) ghafla nikawa sisikii chochote toka nje ni kama mtu aliepooza na kiziwi ilibaki akilitu ya kunijulisha nini kinaendelea katika hali ya ghafla nikaanza kuona mwanga unakuja na kuongezeka ndipo nilipofungua macho na kuona rundo la watu wakiwa wamenizunguka nimelala kando ya barabara nikiwa nimepata majeraha kadhaa zaidi maumivu makali yalikuwa kwenye maeneo ya nyonga.

Nipo mkoa wa mwanza kwa miezi kadhaa sasa, nipo na kazi maalumu naifanya huku. Kama kuna mtu alipita kwenye page ya flora nitetee nafikiri ni kwenye Tiktok aliposti video ya n'gombe aliekuwa anatembea barabarani huku akiwa apishi magari...basi ng'ombe huyohuyo ndie alienisababishia mimi ajali maeneo ya National jirani na kituo cha polisi cha nyakato.

Namshukuru Mungu nilipelekwa hospital nikapata huduma na naendelea kuimarika siku hadi siku.

Kutokana na changamoto nilizowahi pitia huko nyuma ikiwemo na kile kisa cha jini nilichowah weka hapa jukwaani, imenifanya kuwa karìbu sana na Mungu....maombi yamekuwa mstari wa mbele katika maisha yangu kwa sasa.

Sasa usiku wa siku inayofuata baada ya ajali ambayo ilikuwa ni ijumaa...nikiwa katikati ya maombi mazidi ya kumshukuru Mungu kuniokoa na ile ajali mara ghafla nilipitiwa na usingi mzito ambao sikuweza kuhitisha maombi yale...jambo hili ndio limenufanya nirudi hapa leo.

Kiukweli nilikuwa nazungumza na mtu nisie muona ila jinsia atakuwa ni mwanaume kwa maana sauti yake ilikuwa ya kiume.

Ni kama alikuwa pembeni ya kitanda changu lakini nguvu za kufungua macho kumuangalia sikua nazo wakati huo ila nilikuwa namsikia vizuri anachoongea.

Ndugu zangu sio vifo vyote ni kudra za M/Mungu vingine ni hila za sisi binadamu. Kiufupi yule n'gombe sio wa kawaida kama watu wainavyo ni watu wanahitaji kafala zao hivyo ng'ombe ni kama sababu.. kilichotokea kwangu ni vita katika ulimwengu wa roho kati ya ushirikina na nguvu za Mungu.

Yote hayo niliambiwa na huyo mtu nisie muona sura, sasa kikubwa zaidi aliendelea kunieleza kama kifo kimemkuta mtu kwa ahadi za Mungu huwa kina dalili siku kadhaa kabla hakija tokea ambapo yeye alitafsiri kama kivuli cha kifo.

Ndugu zangu naomba nikomee hapa nutaendelea asubuhi maana issue ni ndefu kidogo...ila mkae mkijua kila mwanadamu anao uwezo wa kujua majira ya ukomo wa maisha yao (Kifo) Sio kwa siku halisi lkn ni kama unavyoona utoto/ujana/utuuzima na uzee.

Yapo mambo kadhaa ukiyafanya waweza kuona ukomo wa kivuli chako. Hivyo kama maisha yako yataishi ujanani itakuwa hivyo na haitobadilika hali kadhali na hayo makundi mengine ya rika.

Inahitaji kuwa jasiri katika hilo, hii ni zaidi ya majibu ya HIV, ni wachache sana hupata bahati ya kujua siri hii ila ndio uhalisia ulivyo.

Nikirudi nitaeleza vingi kuhusu hii issue na haikuwa ndoto ya siku moja maombi ndio yalikuwa ni kama call ya kumuita huyo bwana nisie mjua hata kwa kumuona zaidi ya kusikia sauti.

Natanguliza shukrani
 
Habari za muda huu wana Jf. Nimuda kidogo sijaandika chochote katika jukwaa hili zaidi ya kuwa msomaji na Mchangiaji mabandiko mbali mbali.

Mungu ni mwema ametupa nafasi ya kuona mwaka mwingine.

Tahadhali kwa nitakachokiandika hapa, hakina mahusiano na imani za kishirikina wala imani ya kidini kutoka upande wowote...zaidi ni vitu vinanitokea mithili ya ndoto ili hali inakuwa kama darasa kwangu na pengine kwa jamii nzima.

Silazimishi yoyote kuamini hili maana haupo ushahidi wa moja kwa moja zaidi ni mimi na nafsi yangu ndio imenifanya leo kuitoa siri hii nzito kuweka hapa jukwaani pengine inaweza kuwa msaada kwa watu wengine.

Mnamo tarehe 20 Jan 2022, majira ya saa 10 jioni, nilipata ajali mbaya sana ya pikipiki...nilikuwa naendesha mwenyewe nikiwa kwenye majukumu yangu ya kawaida.

Kiukweli ile ajali nilisababishiwa na coster ya abiria iliyokuwa inamkwepa n'gombe aliekuwa akikatiza barabarani ghafla. Hvy dereva wa coster akaacha njia nakuja kunivaa mimi.

Niseme wazi Mungu bado ananipenda kwa namna nilivyotoka mzima kwenye ile ajali kiukweli niliona kifo kinakuja mbele yangu kabla ya kunikalipia kikapotea. Kiufupi ndani ya dakika chache kama sio sekunde niliona giza Nene sana mithili ya kipofu (Sijawah kuwa mpofu ila hii ni nadharia tu) ghafla nikawa sisikii chochote toka nje ni kama mtu aliepooza na kiziwi ilibaki akilitu ya kunijulisha nini kinaendelea katika hali ya ghafla nikaanza kuona mwanga unakuja na kuongezeka ndipo nilipofungua macho na kuona rundo la watu wakiwa wamenizunguka nimelala kando ya barabara nikiwa nimepata majeraha kadhaa zaidi maumivu makali yalikuwa kwenye maeneo ya nyonga.

Nipo mkoa wa mwanza kwa miezi kadhaa sasa, nipo na kazi maalumu naifanya huku. Kama kuna mtu alipita kwenye page ya flora nitetee nafikiri ni kwenye Tiktok aliposti video ya n'gombe aliekuwa anatembea barabarani huku akiwa apishi magari...basi ng'ombe huyohuyo ndie alienisababishia mimi ajali maeneo ya National jirani na kituo cha polisi cha nyakato.

Namshukuru Mungu nilipelekwa hospital nikapata huduma na naendelea kuimarika siku hadi siku.

Kutokana na changamoto nilizowahi pitia huko nyuma ikiwemo na kile kisa cha jini nilichowah weka hapa jukwaani, imenifanya kuwa karìbu sana na Mungu....maombi yamekuwa mstari wa mbele katika maisha yangu kwa sasa.

Sasa usiku wa siku inayofuata baada ya ajali ambayo ilikuwa ni ijumaa...nikiwa katikati ya maombi mazidi ya kumshukuru Mungu kuniokoa na ile ajali mara ghafla nilipitiwa na usingi mzito ambao sikuweza kuhitisha maombi yale...jambo hili ndio limenufanya nirudi hapa leo.

Kiukweli nilikuwa nazungumza na mtu nisie muona ila jinsia atakuwa ni mwanaume kwa maana sauti yake ilikuwa ya kiume.

Ni kama alikuwa pembeni ya kitanda changu lakini nguvu za kufungua macho kumuangalia sikua nazo wakati huo ila nilikuwa namsikia vizuri anachoongea.

Ndugu zangu sio vifo vyote ni kudra za M/Mungu vingine ni hila za sisi binadamu. Kiufupi yule n'gombe sio wa kawaida kama watu wainavyo ni watu wanahitaji kafala zao hivyo ng'ombe ni kama sababu.. kilichotokea kwangu ni vita katika ulimwengu wa roho kati ya ushirikina na nguvu za Mungu.

Yote hayo niliambiwa na huyo mtu nisie muona sura, sasa kikubwa zaidi aliendelea kunieleza kama kifo kimemkuta mtu kwa ahadi za Mungu huwa kina dalili siku kadhaa kabla hakija tokea ambapo yeye alitafsiri kama kivuli cha kifo.

Ndugu zangu naomba nikomee hapa nutaendelea asubuhi maana issue ni ndefu kidogo...ila mkae mkijua kila mwanadamu anao uwezo wa kujua majira ya ukomo wa maisha yao (Kifo) Sio kwa siku halisi lkn ni kama unavyoona utoto/ujana/utuuzima na uzee.

Yapo mambo kadhaa ukiyafanya waweza kuona ukomo wa kivuli chako. Hivyo kama maisha yako yataishi ujanani itakuwa hivyo na haitobadilika hali kadhali na hayo makundi mengine ya rika.

Inahitaji kuwa jasiri katika hilo, hii ni zaidi ya majibu ya HIV, ni wachache sana hupata bahati ya kujua siri hii ila ndio uhalisia ulivyo.

Nikirudi nitaeleza vingi kuhusu hii issue na haikuwa ndoto ya siku moja maombi ndio yalikuwa ni kama call ya kumuita huyo bwana nisie mjua hata kwa kumuona zaidi ya kusikia sauti.

Natanguliza shukrani
nenda kwa mwana saikoroji
 
Habari za muda huu wapendwa. Poleni kwa kusubiri. Ila nitajitahidi kadri inavyowezekana kuendelea kuwapa nafasi ya kufahamu mkasa huu...ingawaje naandika haya nikiwa kitandani naendelea na matibabu hivyo maumivu hasa ya nyonga ni kikwazo sana kuna wakati nalazimika kulala tu, pasipo kushughulisha mwili ili kuepuka maumivu makali zaidi nikipata kaunafuu ndio najitahidi kuandika hapa jukwaani hivyo tuendelee kuvumiliana ndugu zangu.

Inaendelea.......Ok kwanza ifahamike kwamba naandika haya nikiwa na akili zangu timamu, sina tatizo lolote la kisaikolojia kama baadhi ya watu wanavyodhani. Haya mambo ya spiritual sio rahisi sana watu wengi kuamini...labda pengine liwe limewahi kukukuta au unawezo na uelewa zaidi wa mambo haya hivyo sishangai kuona mirejesho ya aina hiyo.

Ifahamike ili uwe binadamu kamilifu lazima uwe umeundwa na vitu vifuatavyo.
1. Mwili
2.Nafsi
3. Roho

Sasa naomba tuachane na haya mambo mawili ya mwili na roho hapa tuzungumzie zaidi NAFSI. Hii ndio wewe hivyo vingine ni vazi ulilovikwa kuwa wewe. Na ndio mana kuna watu wanaishi duniani lakini walishakufa miaka mingi iliyopita maana NAFSI zao zilishachukuliwa muda mrefu na ndio jambo hasa hufanywa na wachawi, hayupo mwanadamu anae weza kuchukua roho ya mtu pasipo Mungu mwenyewe.

Na ndio mana biblia inaandika "Nalikujua angali upo tumboni mwa mama yako " Tafsiri yake mwanadamu unaishi kwa kufanya ukamilisho wa yale Mungu amepanga juu yako, hivyo kwa Mungu tulisha ishi tayari kabla hata ya kuzaliwa hivyo ukomo na historia za maisha yetu zipo mikononi mwake.

Jambo lingine ni Damu. Hiki ni kiunganishi /uwakilisho mkubwa sana unaotafsiri uhai wa maisha yako. Na ndio mana mchawi akipata sampuli ya damu yako hata uwe marekani na yeye yupo Tanzania anaweza kukufanya chochote kama hauko imara katika ulinzi wa kiroho. Hivyo basi kwa tafsiri fupi Damu ni kitambulisho cha uhai wako.

Jambo lingine ni Jina uliloitwa na wazazi wako, Jina ni roho inayoishi. Mara tu baada ya wewe kuzaliwa na kupewa jina fulani....likisha kaa nafsini mwako linakuwa ni roho kamili na ipo katika utendaji. Na ndio mana ukisikia jina lako likitajwa mahala popote linakupa usikivu wa ndani. Utaacha kufanya chochote kwa muda huo ili kujua dhumuni la kuitwa jina lako.

Hivyo pale ni mawasiliano ya nafsi..na ndio mana Mchawi akikuita usiku na ukaitika anaweza kukuchukua na ukatembea angali umefumba macho mpaka kufika eneo alilokusudia maana jina ni roho kamilifu. Na ndio mana ukiridhishwa jina kuna uwezekano mkubwa wa kufanana kimatendo na aliye fanana jina na wewe...ni rahisi hata laana zake kuhamia kwako.

Sasa kama umefatilia vizuri hapo nimezungumza vitu vitatu muhimu ambavyo ni:-
1.Nafsi
2.Damu
3. Jina

Vitu hivi ndio vitu pekee unavyoweza kuvitumia kufahamu ukomo wa maisha yako ya hapa duniani. Kwa tafsiri nyingine kuona mwisho wa kivuli cha maisha yako hapa duniani.

Ndugu zangu...kwa leo naomba niishie hapo nikirudia nitaeleza ni kwa namna gani unaweza tumia vitu hivyo vitatu kufahamu siri hii nzito

Itaendelea.......

Natanguliza shukrani
 
Nime 'subscribe' tayari kwenye uzi wako. Natumaini utaendelea kushusha madini. Nitatoa maoni yangu ukifikia tamati.
 
Hizi mambo za nitaendelea huwa namdharau sana mleta mada. Kwanini usiandike yote then uje u post mara moja.
 
Aiseee umeishia pazuri nakungoja Nisha subscribe
Habari za muda huu wapendwa. Poleni kwa kusubiri. Ila nitajitahidi kadri inavyowezekana kuendelea kuwapa nafasi ya kufahamu mkasa huu...ingawaje naandika haya nikiwa kitandani naendelea na matibabu hivyo maumivu hasa ya nyonga ni kikwazo sana kuna wakati nalazimika kulala tu, pasipo kushughulisha mwili ili kuepuka maumivu makali zaidi nikipata kaunafuu ndio najitahidi kuandika hapa jukwaani hivyo tuendelee kuvumiliana ndugu zangu.

Inaendelea.......Ok kwanza ifahamike kwamba naandika haya nikiwa na akili zangu timamu, sina tatizo lolote la kisaikolojia kama baadhi ya watu wanavyodhani. Haya mambo ya spiritual sio rahisi sana watu wengi kuamini...labda pengine liwe limewahi kukukuta au unawezo na uelewa zaidi wa mambo haya hivyo sishangai kuona mirejesho ya aina hiyo.

Ifahamike ili uwe binadamu kamilifu lazima uwe umeundwa na vitu vifuatavyo.
1. Mwili
2.Nafsi
3. Roho

Sasa naomba tuachane na haya mambo mawili ya mwili na roho hapa tuzungumzie zaidi NAFSI. Hii ndio wewe hivyo vingine ni vazi ulilovikwa kuwa wewe. Na ndio mana kuna watu wanaishi duniani lakini walishakufa miaka mingi iliyopita maana NAFSI zao zilishachukuliwa muda mrefu na ndio jambo hasa hufanywa na wachawi, hayupo mwanadamu anae weza kuchukua roho ya mtu pasipo Mungu mwenyewe.

Na ndio mana biblia inaandika "Nalikujua angali upo tumboni mwa mama yako " Tafsiri yake mwanadamu unaishi kwa kufanya ukamilisho wa yale Mungu amepanga juu yako, hivyo kwa Mungu tulisha ishi tayari kabla hata ya kuzaliwa hivyo ukomo na historia za maisha yetu zipo mikononi mwake.

Jambo lingine ni Damu. Hiki ni kiunganishi /uwakilisho mkubwa sana unaotafsiri uhai wa maisha yako. Na ndio mana mchawi akipata sampuli ya damu yako hata uwe marekani na yeye yupo Tanzania anaweza kukufanya chochote kama hauko imara katika ulinzi wa kiroho. Hivyo basi kwa tafsiri fupi Damu ni kitambulisho cha uhai wako.

Jambo lingine ni Jina uliloitwa na wazazi wako, Jina ni roho inayoishi. Mara tu baada ya wewe kuzaliwa na kupewa jina fulani....likisha kaa nafsini mwako linakuwa ni roho kamili na ipo katika utendaji. Na ndio mana ukisikia jina lako likitajwa mahala popote linakupa usikivu wa ndani. Utaacha kufanya chochote kwa muda huo ili kujua dhumuni la kuitwa jina lako.

Hivyo pale ni mawasiliano ya nafsi..na ndio mana Mchawi akikuita usiku na ukaitika anaweza kukuchukua na ukatembea angali umefumba macho mpaka kufika eneo alilokusudia maana jina ni roho kamilifu. Na ndio mana ukiridhishwa jina kuna uwezekano mkubwa wa kufanana kimatendo na aliye fanana jina na wewe...ni rahisi hata laana zake kuhamia kwako.

Sasa kama umefatilia vizuri hapo nimezungumza vitu vitatu muhimu ambavyo ni:-
1.Nafsi
2.Damu
3. Jina

Vitu hivi ndio vitu pekee unavyoweza kuvitumia kufahamu ukomo wa maisha yako ya hapa duniani. Kwa tafsiri nyingine kuona mwisho wa kivuli cha maisha yako hapa duniani.

Ndugu zangu...kwa leo naomba niishie hapo nikirudia nitaeleza ni kwa namna gani unaweza tumia vitu hivyo vitatu kufahamu siri hii nzito

Itaendelea.......

Natanguliza shukrani
 
Habari za muda huu ndugu zangu wana JF. Mungu ni mwema tunaendelea na shuhuda kwa yaliyonitokea juu ya kuifahamu siri ya ukomo wa maisha yako.

Mwishoni nilieleza kwamba mwanadamu kamili anakamilishwa na vitu vitatu ambavyo ni-:

1. Mwili
2. Nafsi na
3. Roho

Kwa hiyo mjumuisho wake ndio unatengeneza uhai kwa mwanadamu wa mwanadamu.

Pia nika ainisha vitu vitatu vinavyo wakilisha ubinafsi wa kila mmoja wetu ambapo kwa kupitia vitu hivyo waweza jua siri hii, ambavyo ni:-

1. Damu
2. Jina
3. Nafsi

Tukianza kuzungumzia Damu ni uwakilisho wa kiumbe kilicho hai....hivyo bila damu hakuna maisha. Hakipo kiumbe chini ya jua kinaweza kuishi pasipo kuwa na damu.

Pili Jina ni tafsiri ya upekee, binadamu ni wengi mno na ndio mana ukaitwa jina ili likusaidie katika kukuainisha/Kutofautisha wewe na mwningine. Hivyo katika ulimwengu wa roho...call ya kitu chochote kinacho kuhusu Jina lako lazima litajwe.

Hata yesu alipokuwa akifufua watu Alimtaja mtu jina, alipokuwa akiponya pia alitaja jina hivyo basi jina ni kitu muhimu katika kujua hatima yako.

Tatu...Nafsi ndio uhai hasaa tunaozungumzia hapa, ikiondoka nafsi imeondoka ile pumzi ambayo Mungu aliweka ndani yako....kiufupi Mwili na roho...ndani yake kuna nafsi ndio inayoamrisha vitu hivyo vifanye kazi. Sasa swali la kujiuliza ni kwa namna gani utatumia vitu hivi katika kufahamu siri hii nzito....

Kabla ya yote nipende kuwaomba kwa wale wenye moyo mdogo na kukosa ujasiri wasije kujaribu jambo hili, watakosa amani pengine hata kukatisha ndoto zao walizokuwa wanazipigania...

Cha kufanya ni hivi, hakikisha unaisubiri kumbu kumbu ya siku yako ya kuzaliwa.
Hii inamaana ni unakamilisha mzunguko/mzingo wa maisha yako. Mfano kama huonavyo mti baada ya kuukata yale maduara ni ishara ya umri wa mti ulivyoishi kabla ya kuukata na kwa minadamu ipo hivyo hivyo.

Pili unapaswa jambo hili lifanyike kwenye ardhi uliyozaliwa, sina maana ya asili yenu kwa maana ya kabila hapana namaanisha ile sehemu mama yako alijifungu...kwa maana kiroho ardhi ina maagano na wewe tangu siku ya kwanza unaingia duniani na ndio mana mtu yoyote akitaka kukuzuru kishirikina lazima afukie kitu chini na akinenee maana ardhi inakufahamu ina inamaagano na wewe tangu unazaliwa.

Tatu hakikisha jambo hili unalifanya sirini pasipo mtu yoyote kujua wala kuhisi kuna kinachoendelea kukuhusu. Maana ni jambo hatari sana kiroho endapo utaenda kinyume ni rahisi sana kuvurugika akili (Mwendawazimu) Kwa maana utakuwa umekaribisha roho chafu ambazo zitakutesa maisha yako yote.

Nne na mwisha Hakikisha una sampuli ya damu yako. Maana hii ni tafsi ya kujua chochote kinachohusu uhai wako.

Baada ya kukamilisha yote haya kunaibada fupi unapaswa kuifanya...kwa sisi wakristo kuna kitu tunakiita Liturgia yani yapo maneno yatakayokupa mwongozo wa nini utamke ili kufikia Lengo.

Ndugu zangu kwa leo naomba niishie hapo tunapoendelea ni pazito kidogo maana ndio penye kiini chenyewe endeleeni kujiandaa kisaikolojia, kiufupi sishauri mwenye roho ndogo kusoma sehemu iyofatia maana itampa hamasa ya kwenda kujaribu na endapo atakosa ujasiri nitakuwa nimemvurugia kabisa maisha yake yaliyobaki hapa duniani.

Mungu awabariki sana.
 
Tunasubiria
Habari za muda huu ndugu zangu wana JF. Mungu ni mwema tunaendelea na shuhuda kwa yaliyonitokea juu ya kuifahamu siri ya ukomo wa maisha yako.

Mwishoni nilieleza kwamba mwanadamu kamili anakamilishwa na vitu vitatu ambavyo ni-:

1. Mwili
2. Nafsi na
3. Roho

Kwa hiyo mjumuisho wake ndio unatengeneza uhai kwa mwanadamu wa mwanadamu.

Pia nika ainisha vitu vitatu vinavyo wakilisha ubinafsi wa kila mmoja wetu ambapo kwa kupitia vitu hivyo waweza jua siri hii, ambavyo ni:-

1. Damu
2. Jina
3. Nafsi

Tukianza kuzungumzia Damu ni uwakilisho wa kiumbe kilicho hai....hivyo bila damu hakuna maisha. Hakipo kiumbe chini ya jua kinaweza kuishi pasipo kuwa na damu.

Pili Jina ni tafsiri ya upekee, binadamu ni wengi mno na ndio mana ukaitwa jina ili likusaidie katika kukuainisha/Kutofautisha wewe na mwningine. Hivyo katika ulimwengu wa roho...call ya kitu chochote kinacho kuhusu Jina lako lazima litajwe.

Hata yesu alipokuwa akifufua watu Alimtaja mtu jina, alipokuwa akiponya pia alitaja jina hivyo basi jina ni kitu muhimu katika kujua hatima yako.

Tatu...Nafsi ndio uhai hasaa tunaozungumzia hapa, ikiondoka nafsi imeondoka ile pumzi ambayo Mungu aliweka ndani yako....kiufupi Mwili na roho...ndani yake kuna nafsi ndio inayoamrisha vitu hivyo vifanye kazi. Sasa swali la kujiuliza ni kwa namna gani utatumia vitu hivi katika kufahamu siri hii nzito....

Kabla ya yote nipende kuwaomba kwa wale wenye moyo mdogo na kukosa ujasiri wasije kujaribu jambo hili, watakosa amani pengine hata kukatisha ndoto zao walizokuwa wanazipigania...

Cha kufanya ni hivi, hakikisha unaisubiri kumbu kumbu ya siku yako ya kuzaliwa.
Hii inamaana ni unakamilisha mzunguko/mzingo wa maisha yako. Mfano kama huonavyo mti baada ya kuukata yale maduara ni ishara ya umri wa mti ulivyoishi kabla ya kuukata na kwa minadamu ipo hivyo hivyo.

Pili unapaswa jambo hili lifanyike kwenye ardhi uliyozaliwa, sina maana ya asili yenu kwa maana ya kabila hapana namaanisha ile sehemu mama yako alijifungu...kwa maana kiroho ardhi ina maagano na wewe tangu siku ya kwanza unaingia duniani na ndio mana mtu yoyote akitaka kukuzuru kishirikina lazima afukie kitu chini na akinenee maana ardhi inakufahamu ina inamaagano na wewe tangu unazaliwa.

Tatu hakikisha jambo hili unalifanya sirini pasipo mtu yoyote kujua wala kuhisi kuna kinachoendelea kukuhusu. Maana ni jambo hatari sana kiroho endapo utaenda kinyume ni rahisi sana kuvurugika akili (Mwendawazimu) Kwa maana utakuwa umekaribisha roho chafu ambazo zitakutesa maisha yako yote.

Nne na mwisha Hakikisha una sampuli ya damu yako. Maana hii ni tafsi ya kujua chochote kinachohusu uhai wako.

Baada ya kukamilisha yote haya kunaibada fupi unapaswa kuifanya...kwa sisi wakristo kuna kitu tunakiita Liturgia yani yapo maneno yatakayokupa mwongozo wa nini utamke ili kufikia Lengo.

Ndugu zangu kwa leo naomba niishie hapo tunapoendelea ni pazito kidogo maana ndio penye kiini chenyewe endeleeni kujiandaa kisaikolojia, kiufupi sishauri mwenye roho ndogo kusoma sehemu iyofatia maana itampa hamasa ya kwenda kujaribu na endapo atakosa ujasiri nitakuwa nimemvurugia kabisa maisha yake yaliyobaki hapa duniani.

Mungu awabariki sana.
 
muendelezo unakua na marudio kwa asilimia 60, content asilimia 10, blah blah asilimia 30
 
Back
Top Bottom