Habari wana jukwaa.....
Naomba nichukue nafasi hii kumsihi kila mtu kwa dini yake kwamba uh cyo uzi uliyolenga kuleta mjadala wa kidini kwamba ipi n bora au ipi cyo bora .
Nimelenga kusikia...
Great thinkers naomba ufafanuzi juu ya haya maswali machache kuhusu biblia takatifu.
1. Hesabu 23:19 "inasema Mungu si mtu, aseme uongo, wala si mwanadamu ajute Iwapo amesema hatalitenda? Iwapo...
Habari za Viumbe wenzangu, poleni kwa kadhia mbalimbali. Wale mnaoteswa na mapenzi, siasa na uchumi, tambueni ya kuwa hamko peke yenu.
Naomba nianze na swali. Unafikiria picha aina maana yoyote...
1. Mwenge wa Huru;
Huwa zinatolewa sababu nyingi za uwepo wake na pia hutengewa bilioni za pesa kuukimbiza.
2.Hati "original" ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.
Hii imekuwa na maswali...
Wakuu.
Mimi swali ni hilo kuwa hivo vitabu vilitoka mbinguni kweli au viliandikwa hapahapa duniani ndio tukaanza kuvisoma na kuvifuata?
Maana utasikia hiki kitabu cha Allah wengine utasikia...
Ili maiti aweze kuoshwa vizuri hatua zifuatazo ziweze kupitiwa:
1. Maiti awekwe kwenye kitanda chenye tobo katikati kwa ajili ya kupitisha uchafu utokao tumboni kama upo.
2. Lichimbwe shimo...
Wote wanatuambia Mungu ni "Omnipresent" yaani yuko mahali popote mda wowote,
Yuko hapa, yuko pale, na kule kwa mda mmoja yuko sehemu zote; hakuna sehemu ambako hayupo, kila sehemu yupo.!
Sasa hii...
Plaza de la Revolución: Jela za siri, ndogo na zilizotisha chini ya jengo la wanamapinduzi wa kweli. It's now Cuba's Ministry of the Interior.
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa...
Kiasili Ukraine ndio Mama wa Russia, Russia imetokana na Ukraine.
Ukraine ya sasa huko kale iliitwa Kievan, baadae ikaitwa Kievan-Rus (hili nimewahi kulieleza kwa kina huko nyuma).
Sasa leo...
Habari za jioni wana JF, ni muda mrefu kidogo sijaweka mada humu ila leo tupate wasaa kidogo tukumbushane mambo machache kuhusu Bible.
NB: Angalizo hii mada ni purely objective tusiiweke kidini...
Wakuu kwanza heri ya mwaka2022,nimekua nikifuatilia elimu mbalimbali kuhusiana mda ,kiukweli mda ndio kila kitu kwenye maisha ya kila kiumbe ,ila kama huna ujuzi wa kuutawala mda ,wewe si...
Wakuu naombeni mnifungue akili katika hili limenifikirisha mno, imewezekana vipi. Future iwe ndio hiyohiyo past, future ndio inajijengea past, palipo na future ndipo miguu ya past ilipo hapohapo...
Ambapo picha ilichukuliwa katika miaka ya 1982 kwa kutumia chombo cha umoja wa kisoviet kabla ya kuvunjika kwake katika miaka ya mwanzoni ya 90's.
Chombo cha venera-14 kiliweza kutumia jumla ya...
Ushauri kwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya, Wizara ya michezo, TFF pamoja na BMT
Serikali na TRA, mnaweza kuwezesha utoaji wa risiti za VAT kwa njia ya mobile SMS. I stand to be...
Kama akipatikana mtu anayeweza kukuelezea kwa usahihi tarahe,muda na namna ambayo utakufa. Na ukahakikisha kabisa kutokana na watu 1000 plus ambao aliwatabiria na ikwa kweli kwa asilimia 100...
Uwingi wa nyota na sayari zisizo na idadi zapelekea watu wa kalumu kuhisi uwezekano juu ya uwepo wa Uhai katika sayari hizo mbali na hii sayari yetu EARTH. Kumekuwepo matukio mengi...
Inafahamika kwamba wazazi hasa wa Kiafrika huwa na mitazamo juu ya maisha ya watoto wao kuanzia elimu mpaka makuzi ya watoto wao ndio hutoa taswira ya maisha ya mtoto.
Lakini kwa upande mwingine...
Hellow wanajf za muda mrefu jamvini. Nimewamiss kweli. Sema
nini nilimiss kuandika kwelikweli. Si unajua tena kitaaluma mimi ni mwandishi. Nisipoandika napata homa. Ha ha natania.
Haya turudi...
Kila nikitafakari changamoto ambazo baadhi ya watu wanapitia huwa naishia kusema ningekuwa Mungu nisingeiumba dunia hii jinsi ilivyo sasa.
Hapa ninamaanisha ningeiumba bila uwezekano wa kuishia...