Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Habari za ckukuu wakuu. Kwa muda mrefu nimekuwa mpenzi wa filamu za mpelelezi wa kiingereza James Bond. Kitu nachijiuliza kila cku ni je huyu jamaa alikuwa kweli ni agent wa #m16 au ni story tu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
HUWEZI hata kidogo kutenganisha maisha ya mwanadamu na elimu ya saikolojia, elimu ambayo katika ulimwengu wa sasa wengi wanaisikia lakini ni wachache wanaotambua umuhimu wake, achilia mbali...
9 Reactions
40 Replies
32K Views
Kuna maswali huwa najiuliza ndg zangu kuhusu hz movies hasa za hollyood tunazoangalia hv yale matukio ya miliko mikubwa,maghorofa marefu kunguka,watu uchinjwa utumbo,maini na damu nyingi kumwaika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Economy Nigeria has the largest population in Sub-Saharan Africa (158.4 million people) and accounts for 19% of the continent's total population. South Africa's and Nigeria's GDP in...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
The Tanzanian People's Defence Force Air Wing has received into service the Seabird SB7L-360 Seeker intelligence, surveillance, and reconnaissance (ISR) aircraft, a music video posted on the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkuu wa Usalama Marekani ajiuzulu. Mkuu wa Idara ya Usalama nchini Marekani, aliyekuwa na jukumu la kumlinda Rais Barack Obama, amejiuzulu kufuatia matukio yenye kuhatarisha usalama wa taifa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
There's a trending tweet that on the presence of one confirmed Ebola case in Bukoba. Can authoritative members within our JF authenticate this information? " A tweet from one marwaj7: reads"A...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Kwa umbo la Dunia jinsi lilivyo, hapo uliposimama wewe, muelekeo wa kichwa chako ndio unapaita juu, na muelekeo wa miguu yako ndio unapaita chini. Lakini, kwa alie upande wa pili wa dunia, kule...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
wakuu nipo kwa mody physics nimesikia hii chogi sasa hv, kitu chochote mfano assume tembo akitembea kwa speed ya light(=3×10^8m/s) ataweza kupenya kweny kioo! Hv ni kweli?
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Kama unajua tafadhali nielimishe, nimeijiwa tu na hili wazo from nowhere nikiwaza ingekuwaje siku ingekuwa na saa 48 kwa mfano; ningeweza kuwa na muda zaidi? Si nadra siku kuisha ukiwa na...
1 Reactions
84 Replies
21K Views
Mark Zuckerberg grew up in white plains, New YORK in Jewish family. But he is not so into it and not surprisingly, according to facebook update, Zuckerberg consider himself as an atheist. In...
2 Reactions
318 Replies
25K Views
Habari gani wandugu! Ningependa kujua kipi muhimu cha kufanya unapokuwa kwwnye kanisa la kiroho ili kuweza kupata delivarance kutoka katika uchawi na majini machafu!? Maana kuna watu hawapati...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Hello Wadau, Kwa siku za hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa la waendesha pikipiki aka bodaboda. Hatukatai ni ajira ambayo imewawezesha vijana wengi kujiajiri. Ila tutambue ya kwamba kitu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisaidie mbinu mbalimbali ili niweze kujua kingereza kwa ufasaha..
0 Reactions
30 Replies
12K Views
Adhabu ya kifoni mauaji ya mwanadamu yanayotekelezwa na serikalibaada ya mahakamaimetoa hukumu ya mauti kulingana na sheria ya nchi. Kwa kawaida adhabu hii inatolewa kwa jinai nzito sana. Sababu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana jamii intelligence Bahati sio neno jipya tumezoea kusikia misemo kadha wa kadha kuhusu bahati mfano ana bahati nzuri ana bahati mbaya nk Napata maswali mengi kuhusu hii bahati 1. bahati...
3 Reactions
63 Replies
12K Views
Wana jamvi Nilipata kusikia habari za "STARGATES" kama kifaa kinachoweza kukusafirisha kwa haraka kwenda sayari nyingine ama katika vyombo wanapoishi alliens kulingana na namba utakazodial Pia...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kama Wiki moja ina siku 7, mwezi mmoja una wiki 4, kwa maana hiyo mwezi mmoja una siku 28. Swali langu ni hili: kwanini miezi mingi ina 30 na 31 days? na kama mwezi mmoja una siku 28, basi mwaka...
0 Reactions
15 Replies
15K Views
THE world is awash with conspiracy theories: Malaysia Airlines flight 17 was diverted by the CIA; drug companies are preventing the release of natural cures for cancer; Queen Elizabeth is part of...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Back
Top Bottom