1/2 Heller, fedha iliyotumika Tanganyika (Germany East Africa) wakati wa utawala wa Mjerumani. Neno hela linalotumika sasa limetokana na Heller. Pia ilikuwepo 1 Heller na 5 Heller.
HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita...
Habari wana JF?
Wiki moja iliyopita nilikuwa Moshi, nilikutana na mama amabaye alikuwa jirani yetu miaka ya 80 hadi 90 mwishoni, tulipiga sana story na akanikumbusha tukio la kuonekana Bikira...
Prayer is a mostly religious act, to which is done on an individual basis or group basis between persons, that is believed to stimulate connection and communication between a person and the...
Mwaka 1994 kituo cha utafiti cha Wright lab ambacho kiko chini ya jeshi la anga la Marekani kiliomba dola milioni 7.5 kufanya utafiti wa kutengeneza bomu la usenge!
Ambalo lingewafanya wanajeshi...
Kuna mambo yanatokea huku duniani na pia tunaambiwa kuna watu wanafanya utafiti kuhusu mambo mbali mbali, najiuliza hivi kuna maeneo maalum tu ya kufanyia utafiti au ni kila eneo?
Nauliza swali...
Sijajua serikali imejipangaje katika mpango huu. KITABU cha Takwimu za Dunia kinachotolewa kila mwaka na Jarida la The Economist kimetoka mwaka huu na kuna baadhi ya mambo ambayo yanatakiwa...
kuna mazungumzo mengi kuhusu kurejeshwa kwa mafunzo ya JKT na mara nyingi yamekuwa yakipigiwa debe na Television ya Chama Cha Mapinduzi kila uchao.
ukiwasikiliza watetezi wa hoja ya kurejea kwa...
Kunabaadhi ya siku nikilala huwa nashindwa kuhema nahisi kama nahamishwa mahali kwingine je! hii inasababishwa na nini na ntaepukaje hili jambo pia likinitokea huwa nashindwa hata kuinua mkono au...
Nimetoka kuangalia movie based on a true story inaitwa Kill the messenger. Hii muvie inamuelezea jamaa mmoja anaitwa gary webb aliezaliwa mwaka 1955 nakazi yake kubwa ni investigative journalism...
Nashangaa na kusikitishwa, Baada ya kutafiti historia ya vita na uvamizi kupta kutokea duniani kwa zaidi ya miaka 1,700 iliyopita nimegundua kwamba vita vyote vimeanzishwa na mataifa yanayojiita...
Wakuu, heshima mbele.
Ninaimani kubwa katika jukwaa hili (hususan watu wanaoshiriki mijadal humu ndani).
Mimi sina Chale wala sijawahi kwenda kwa mganga yeyote kutafuta uchawi wala kujiganga...
Wakuu heshima kwenu!
Kwanza nieleze heshima zangu kwa jukwaa hili la kiitelejensia naamini hapa akili hutumika na hakuna jambo hushindikana hapa. Tumesikia majina ya walio iba fedha bank ya...
Kutokana na sperm/mbegu za uzazi
Qur'an 16:4
He has created man from a sperm-drop; and behold this same (man) becomes an open disputer!
Binadamu kaumbwa kwa udongo
Qur'an 15:26
We created man...
Japokuwa Mbwa anatajwa kuwa rafiki kipenzi cha binadamu, unapoamua kufuga mbwa unapambana na tatizo la kuchagua aina ya mbwa. Mbwa wawili ambao ndio kama wababe kwenye ulimwengu wa mbwa ni hawa...
Habari za sahizi wakuu wa JF?
leo asubuhi katika kusoma kwangu biblia nikapata kujiuliza maswali kidogo juu ya mamajusi au magi kwa kiingereza baada ya wao kuona nyota na kugundua kuna mfalme...
Habari wadau wngu wa J/intelijensia.
Awali ya yote ngoja niwape mkasa wa stori nilizozishuhudi kutoka kwa walevi wa pombe... tena pombe za kienyeji kule kijijini. "wapi wewe wabongo ndo tulivyo...
Some people make horrible decisions, others are just bad presidents, a few are bloodthirsty, many are extremists, a couple are warmongers, and all of these guys are a mix. Ten of our political...
NIMEKOPI KUTOKA KWENYE WEBSITE YAO www.tzprivateinvestigationagency.com/
INTRODUCTION
TPSC uses specialist intelligence teams who are able to procure information for private and corporate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.