Nina imani kwamba wengi wanakubaliana kwamba jua ndio ipo Kati na kila sayari ikiwemo dunia katika mfumo wetu wa jua inaizunguka jua. Lakini sasa mtu ni ngumu kuashiria kwamba dunia inaizunguka...
Hong Kong (CNN) The search for alien life just got bigger. A lot bigger.
The world's largest telescope will be completed this week in China and it has scientists very, very excited.
With a...
Kama una malengo Fulani katika maisha na unapenda kufahamu ni nini kinachopelekea wengi kushindwa kutimiza malengo yao ili kuhakikisha unaepuka kurudia makosa, hii mada inakuhusu. Mada hii...
Ndugu wanajamvi,
Kwa kuwa kazi ya TISS ndiyo kazi ambayo Mimi navutiwa nayo sanaa katika maisha mathalani ukiachilia shughuli zangu za hapa na pale ata itikadi zangu kisiasa. Ni maoni yangu kuwa...
Mojawapo wa Ushahidi Kuwa Jambo, Kiumbe au hali fulani Ipo Ni kwa Kila Kabila na Lugha za Dunia yote Kuwa Na jina la Kiumbe, Jambo au hali hiyo.
Mfano Sisi Kule Rombo Nilikozaliwa, Nimekuta Watu...
Naomba kuelimishwa juu ya hiki kitu kufa.
Tukisema mtu kafa kinachokufa ni nini? Je, kutopumua ni kufa? Brain kutofanya kazi ni kufa? Mapigo ya moyo yakiacha kufanya kazi ndio kufa au roho...
Nimeamini kuwa watoto wachanga katika umri wao uona mengi sana ikiwa ni pamoja na kuwaona malaika na kucheka nao,ilikua hivi miezi mi 2 iliyopita Mungu kamjalia best yangu na kupata mtoto wa kike...
Kuna dhana mbalimbali za kuhusiana na sababu zinazosababisha uhalifu wa jinai na kuibuka kwa makundi ya kihalifu na ugaidi. Baadhi ya dhana hizo zinajadiliwa kama ifuatavyo:-
Sababu za...
I did warn you this was/is a rant. Now that being said, i am also very much curious.
Mimi nimtanzania! At the age of 12 i moved to the US. Bado nina kumbukumbu nyingi nzuri za Tanzania, since...
Katika utafiti wa jiografia huko marekani,imegundulika kuwa katika sayari ya jupiter pia huishi binadamu kama sayari yetu hii ya dunia,Tofauti yetu na wao ni kwamba sisi twazaliwa kwa kupitia mama...
"Imezoeleka" kwamba mtoto anapozaliwa anahesabiwa kuwa na umri sifuri (zero/dash) na mzalishaji ndio huamua ni mda gani mtoto huyu alianza kuhesabiwa milisecond ya kwanza. Ni kama kusema...
Mafundisho ya dini hutueleza kuwa tumeumbwa kwa mfano wa mungu. Swali langu ni kama sisi sote ni mfano wa mungu inakuaje kuna mwanamke na mwanaume? Inakuaje mwanaume anakuwa mfano wa mungu hapo...
Mpo salama waungwana?
Swali hili ningependa haswa kulipeleka katika pande mbili (2) kwenye sayansi na wanaoamini uwepo wa Mungu.
Katika sayansi ningependa kuhoji hivi je, ni kivipi nguvu inaweza...
For so long we have been thinking that negative and positive are the two reverse polarities ruling nature. What if the true controversy exists between being and non-being, presence and absence or...
Mungu kaumba ulimwengu na walimwengu, katupa ruhusa ya kuvuta pumzi na kuenda sawia au tofauti na amri zake, hapa nimefikiri bila ukomo kwake Mungu na amri zake kwetu viumbe wake, je...
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Na alifikaje afrika kutoka bustani ya edeni?
Na ilikuwaje hadi mzungu mwarabu walikuja kumwambia muafrika mungu yupo wakati huo wote walitoka sehemu moja?
Na ilikuwaje mungu kila mtu anamuita...
Al-Muhajiroun’s Muhajirah 1st Stab on Terrorism in Kenya
Al-Muhajiroun’s Muhajirah 1st Stab on Terrorism in Kenya
On Sunday 11th of September 2016 at approximately 1000hrs EAT, Tasnim Yakub...
Nilizaliwa nikiwa sielewi chochote kuhusu huu ulimwengu na maisha kwa ujumla, kadri nilivyozidi kukua nilifundishwa mambo mengi. Dini ni miongoni mwa yale ambayo nilifundishwa wakati nakua, lakini...
Mimi nadhani Maneno ya kiswahili hayajitoshelezi.. Hivyo naona ni vyema MTU anaposoma biblia awenazo 2 hasa kwa lugha ya kiingereza na kiswahili kwani anapotumia ya kiswahili pekee atabaki na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.