Wakati wa utawala wa Bush, ndani ya Nigeria kulianzishwa kile kilicho fahamika kama ACRI, yaani Africa Response Initiative, lakini taasisi hii ilikuwa kama msimamizi wa taasisi nyingine...
Gary Leon Ridgway
Mimi nitaeleza kidogo kwa namna ninavojua juu ya huyu serial killer.
Gary alizaliwa 18 February 1949, eneo moja linaitwa SALT LAKE CITY, UTAH. Wazazi wake ni Thomas na Mary...
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko...
What is this Meremeta thing? Mara ni chombo cha Jeshi mara ni mali ya Benki Kuu.
Since when jeshi became a mining company?
Was it part of compromise by Serikali kuu to make sure that...
Jaji jasiri aliyebatilisha uchaguzi wa urais Kenya
2 Septemba 2017
Haki miliki ya picha EPA Image caption Jaji wa makama ya juu David Maraga na wenzake wanne wameweka historia kwa...
How much lower will Barrick Gold and Acacia Mining stoop down to try manipulate their way to extra profits? And right in the face of the President of Tanzania?
Firstly, a few words of background...
Kama ulibahatika kusoma shule za mchanganyikeni utagundua kwamba mara nyingi wanawake miandiko yao inafanana sana,tofauti kidogo na wanaume wanakuwa na handwritting tofauti tofauti.
Unaweza...
Wapendwa mwanajf, nawasalimia kwa heshima zote!
Wote tuliopo hai duniani leo hii Dini zote tulizikuta zipo baadaye tukaaminishwa na kuamini tulichoambiwa!
Thread hii haitafuti dini IPI bora wala...
Nimekumbuka kisa cha mfalme mmoja wa nchi iliyo chini ya jua ambaye alipenda sana kuvaa na kusifiwa kwa mavazi aliyokuwa akivaa. mfalme alitengenezewa mavazi yenye rangi mbalimbali kama vile...
Wana bodi salam !
Kwa wale waliopata kusimuliwa habari mbalimbali za zamani hasa enzi za Ukoloni
kuna hili suala la Rupia na aina mbalimbali
ya fedha zinatajwa kuwa ni sarafu.
Wengi wa...
Kuna kitu kinanitatiza sana Wakuu?
Kuhusu hili swala la ulimwengu wa roho.
Je ulimwengu huo upo? Una utawala Kama ulimwengu huu?
Je unaweza kwenda na kurudi Huku?
Je ulimwengu huu ni wa mtu...
Ndugu wanajf wenzangu
Wapenzi wa jukwa la intelligence
Nimekua msomaji wa mambo mengi mtandaoni ni nimekua nikijifunza mengi na kufahamu pia
Leo nawaulizia hawa rockfeller family ambao inasemekana...
Inaonekana binadamu ana uwezo mkubwa sana lakini bado hajautumia.Niliwahi kusoma utafiti mmoja na ikagundulika kwenye utafiti ule kuwa mwanadamu anatumia uwezo wake wa akili au kufikiri kwa...
This is what IMMMA Advocates had to say in regards to MwanaHalisi's publications including its article published on Wednesday, March 5th.This was according to the DAILY NEWS, Monday, March 10...
Jamani,mimi naamini kujifunza hakukuishia darasani,na sipendi kufanya mambo kimazoea.Kuna hii kitu nimekua nikisikia tangu mdogo,AKILI.Je ni nini?Je ni ufahamu?Inapimwaje?Shule kwa mfano,yule...
KUTOKA SOMALIA MBAKA KENYA 2
Baada ya serikali ya Kenya na vikosi vyake vya usalama kuendelea kushikilia msimamo wao kwamba mauaji hayo yalikua yanatekelezwa na viongoz wa siasa nchini humo...
How a Ragtag Gang of Retirees Pulled Off the Biggest Jewel Heist in British History
The police and public gasped at the audacity of the Great Hatton Garden heist of 2015, where millions in cash...
Kila kitu huwa kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake :
Kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa,
Wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa,
Wakati wa kuua na wakati...