Satan
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 1,188
- 1,714
Habari...
Nimejaribu kuuliza na kufatilia kwa kiasi fulani kuhusu hii kitu lakini nikaambiwa ni sayansi tu. Lakini mimi naona kama kuna nguvu za giza zinatumika hivi.
Kama ni sayansi kwanini isitumike ipasavyo kwenye maswala mbalimbali kama mapenzi, ajira, michezo n.k na ikafundishwa mashuleni ili kupunguza matatizo yasiyo na ulazima.
Na kama ni nguvu za giza zinatumika kwanini isifundishwe kwa siri kama uchawi au freemasonry?.
Wakuu hili swala mnalionaje?
Nimejaribu kuuliza na kufatilia kwa kiasi fulani kuhusu hii kitu lakini nikaambiwa ni sayansi tu. Lakini mimi naona kama kuna nguvu za giza zinatumika hivi.
Kama ni sayansi kwanini isitumike ipasavyo kwenye maswala mbalimbali kama mapenzi, ajira, michezo n.k na ikafundishwa mashuleni ili kupunguza matatizo yasiyo na ulazima.
Na kama ni nguvu za giza zinatumika kwanini isifundishwe kwa siri kama uchawi au freemasonry?.
Wakuu hili swala mnalionaje?