Habari za jumapili wana jamvi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Moja ya habari kubwa iliyotawala vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifafa mwanzoni mwa wiki hii ni uzinduzi wa sanamu...
Hii ni moja kati dini changa zaidi Duniani kwa sasa.
Dini ilianza karne ya 19 huko Iran ikiwa imechupikia toka dhehebu la Shia.
Waanzilishi wa dini hii ni Bab na Bahaullah!
Dini hii inaamini...
Ni Ali Abdoul Saoud Mohamed alikuwa double agent wa CIA na EIJ( Egyptian islamic jihad) ambayo ndio ilipelekea kuundwa kwa ALQAEDA huku yeye akiwa mwendesha mafunzo wa mbinu za kivita na kijasusi...
Mashushushu hawa ndio wenye mafanikio makubwa kuliko wote Duniani.
Njama 638 za mauaji aliyoepuka Fidel Castro.(Chini ya mashushushu wenye ustadi wa hali ya juu sana(skillful)
Njama ya kutumia...
Amani iwe nanyi
Katika kuwaza jinsi ya kuingia kwenye Ufalme wa Mungu kuna mambo mengi nimekuwa nikijiuliza ikiwepo akina nani kutokana na nature ya kazi zao wana nafasi nzuri ya kufika Paradiso...
Tunataka Serikali ya CCM ielewe kwamba kama ikiendelea na viini macho dhidi ya watanzania then watanzania wote tulioko nje tutazishinikiza serikali za magharibi kujaribu kuhakikisha kwamba this...
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao...
Ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya tele wakuu!
Katika tafakari zangu za huku na kule ktk masuala ya imani ya dini, inaonekana ni Mwenyezi Mungu pekee ndiye mkamilifu kwa maana ya kuwa...
Habari wana JF. naomba kufahamishwa kuhusu Yesu Mtoto wa Mariam. Je Imani ya Wasabato, Waroma na Madhehebu mengine wanamchukulia kama Nani? Je ni Mungu? Mwana wa Mungu ama Mtume wa Mungu? Asanteni.
Wanasema ilianzia kwenye video ya wimbo wa ‘BLACK OR WHITE’
Ujumbe wa siri unao patikana kwenye wimbo huo ni kwamba Michael Jackson anawaambia Illuminati wao na yeye sasa ni basi.
Katika wimbo...
Tangu kuteuliwa kwake nilikataa kusema lolote juu ya Pinda na nakumbuka niliandika kuwa nampa benefit of the doubt ili aniconvince yeye si mmoja wao. Niliamini kwamba kila mtu ahukumiwe kwa...
:angry:
Nimeona nitumie kiswahili ili aibu hii ya Biashara ya Ulanguzi kwa watoto na Biashara ya Madanguro tuisome na kuichangia kitanzaniatanzania Maana Kwa kiingereza nimeona nitakuwa...
Habari...
Nimejaribu kuuliza na kufatilia kwa kiasi fulani kuhusu hii kitu lakini nikaambiwa ni sayansi tu. Lakini mimi naona kama kuna nguvu za giza zinatumika hivi.
Kama ni sayansi kwanini...
Eda ni kipindi anachokaa mwanamke aliyeachika au aliyefiwa na mumewe, na baada ya kipindi hicho ndoa yake huwa halali. Na imeitwa eda kwa jina hili kutokana na jina la kiarabu ‘iddah’ kwa...
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.
How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la...
Maana halisi ya neno RASTAFARIAN: ni imani ya mtu mweusi au mweupe inayotetea UTU wa MTU MWEUSI. MPIGANIA HAKI YA MTU MWEUSI huitwa RASTAMAN au RASTAWOMAN na kwa WATOTO wao huitwa RASTABABY...
Usiku wa kuamkia Leo nimeota bibi yangu ambaye ni mama mdogo wa baba yangu anakufa na msiba analetwa maenoe ya nyumbani.
Sinaelewa iyo ndoto imetokana na nini maana hata uyo bibi hatukuwa na...
Wana jf naomba kujulishwa kifo husababishwa na nini, mwanzoni nilifikiri kuwa kifo hutokea pale moyo unapoacha kufanya kazi , lakini nikaja gundua hali hii ikitokea kunamashine ya kusukuma damu...
JINA LAKE
Ameitwa JINNI kwa sababu ya kutokuonekana kwake na watu, na hii ni kwa sababu kila kisichoonekana kwa jicho la binadamu katika lugha ya kiarabu jina lake hutokana (hutoholewa) na herufi...
Wasalaamu,
Kwa muda wa takribani miaka 12 nimekuwa nikiota ndoto baada ya muda mfupi hutokea tukio halisi likiashiria ndoto niliyoota.
Mfano, mwaka 2006 nilikuwa najisomea usiku, tena nilikua na...