C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Imesemekana kuwa kuna mwanamke mmoja amekamatwa ambaye anajihusisha na masuala ya madawa ya kulevya, kakamatwa ila ni baada ya msaada wa Barack Obama ambaye aliiambia nchi yetu kuwa kuna mwanamke anaitwa flani bin flani anaishi sehemu flani anajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya kwa nchi si chini ya kumi duniani.
Ndipo baada ya Obama kuwapigia simu jamaa wetu wa usalama na CIA wakakurupuka kwenda kumkamata na kumkuta huyo mama na passport zaidi ya nne. Sasa swali langu nauliza hivi hawa jamaa zetu wa mambo ya usalama walikuwa wapi mpaka mtu anakuwa drug dealer mkubwa na hatujawa na nguvu ya kumkamata mpaka CIA wamgundue na kumuomba rais wao Obama awashinikize watu wetu kumkamata?
Ndipo baada ya Obama kuwapigia simu jamaa wetu wa usalama na CIA wakakurupuka kwenda kumkamata na kumkuta huyo mama na passport zaidi ya nne. Sasa swali langu nauliza hivi hawa jamaa zetu wa mambo ya usalama walikuwa wapi mpaka mtu anakuwa drug dealer mkubwa na hatujawa na nguvu ya kumkamata mpaka CIA wamgundue na kumuomba rais wao Obama awashinikize watu wetu kumkamata?