mwili wa binadamu umeumbwa kwa umeme,hivyo huvutana,mnaweza kusana na MTU na cheche kutokea au mwale wa shoti hill halina ubishi,hivyo kupiga mwayo ni kuapudetiwa kwenye gridi yake Mungu ili...
Habari zenu wakuu.
Kumekuwa na kilio kikuu sana cha namna ya kuacha tabia mbovu katika maisha hususani MASTURBATION, UVUTAJI WA SIGARA, KUPENDA MAGOMVI, HASIRA KALI, TAMAA YA NGONO ILIYOPINDUKIA...
Nilipomuona ndege tausi anachanua mkia kwa Mara ya kwanza ndipo nilipo dhibitisha ukuu wa Mungu kwa uzuri wa ndege huyo,haonyweshwi vizuri ktk video au Picha hapo wameshindwawachukua video,pia...
Vyama sijui Hutumia mbinu gani kuwafanya watu wanafurahia maisha,ndugu Polepole tukitaka kujiunga tunaanzaje maana nachojua ktk chama watu wote ni sawa ila naona wengine wanapewa kadi ya chama na...
UN f believable
huvi mnaweza kuamini kuwa UPANGA properties sasa hivi zinaenda kwa $1.5 million? na OBAY/MASAKI hakuna anayeyaka kuishi nako properties zinaenda at $1.1 million japo hakuna...
Namjua mtumishi tangu nikiwa na miaka Tisa mpaka Leo hana idara maalumu,mara arudi teller au awe customer. Service pamoia na uzoefu wote alionao na ni mchapa kazi,
Kwanini asiwe hata loan...
Kozi kama uhandisi yaani engineering(umeme,usanifu majengo,udaktari wa binamu,na zingine nyingi kama kozi za ualimu inapaswa wawe wananikumbushia mara kwa Mara kwa kuangalia Lectures walizowahi...
Hii hutokea sababu ya hisia pale mtu anapokuwa haamini macho yake anapofanyiwa surprise,anapowaza yeye nani hadi spate hadhi kubwa na si mwingine mwenye sifa kama yeye,dhamana na kahalika.
Sasa...
There are multitudes of human beings who are afflicted with various degrees of problems in their waking life because they have had a sexual encounter or more in their dream with a spirit spouse...
Gari limeharibika likapelekwa kwa fundi fundi alipoliona akawaambia walolileta lirudisheni kule lilikoharibikia itawezekana kulirekebisha
*Hii ni ndoto/maono nimeona*
Sent using Jamii Forums...
Habari wana JF, nafahamu fika kuwa hapa ndio nyumbani kwa ma great thinker.
Mara nyingi zaidi nimekuwa nikipendelea kutembelea majukwaa mawili tu hapa JF nayo ni Jamii intelligence na lile la...
Inaumiza sana wazazi,walezi na wafadhiri kugharamikia nauli na malazi pindi MTU aitwapo interview inapaswa makampuni na taasisi za serikali zijipange pindi zinapotaka kuajili na sio kuzirudisha...
Wakuu mmeamkaje? Kama kichwa kilivyoeleza mwanzo, ndio hoja yangu nitascreenshot hili SWALI nilimuuliza mtu kashindwa kunijibu sasa nalileta hapa ili mnisaidie maana utaalamu na ujuzi kwa ngazi...
Ugaidi wa kujitoa mhanga umekuwa janga kwa robo karne sasa. Shambuliz lakujitoa mhanga kwenye kambi ya U.S marine katika mji wa Beirut, ulimfanya raisi Ronald Rogan kuondoa jeshi lake la kulinda...
mgunduzi wa simu aliye keti: Alexander Graham Bell.
Mnamo mwaka 1876 tarehe 11 mwezi march bwana Alexander Graham Bell alifanikiwa kutengeneza simu ya kwanza kabisa. alizaliwa mnamo mwezi March...
Salamu kwenu. Je, ni nini maana hasa ya neno mwisho wa dunia?
Leo muda fulani nilikuwa naangalia tv documentary moja niliona ikielezea kuwa mwisho wa dunia ni mahali fulani katika bara lililo...
Wapendwa habarini za majukumu? Pia kwa ndugu zetu waislamu nipende kuwatakia maadhimisho mema ya Eid Mubarak.
Napenda nifahamishwe kwa wale wenye ufahamu kuhusu historia ya Yoseph mfanyakazi ama...
habari wana jf ninajambo napenda kufaham je mfano mtu umeajiriwa na serikali kwa maana kwamba umepewa barua ya ajira tarehe 17/07/2018 na ikafika mwezi tarehe 25/07/2018 ukawa hujapata mshahara...
Ulimwengu tuishimo na vitu vyote vilivyomo umetawaliwa na binadamu. Hata hivyo kutokana na tofauti kubwa ya binadamu kuna ambao wameitawala "nature" lakini wengine bado hiyo "asili" imewatawala...
Mwaka ulikuwa ni 1945, usiku wa kabla ya Christmass huko Fayetteville, West Virginia, ambapo Bwana Goerge Sodder na mkewe Jennie pamoja na watoto wao tisa kwa ujumla walikuwa wamelala wakati moto...