Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Niamini Mimi si mchawi,wala jini, atakae kuwa amekuchanja Bali Mungu mwenyewe, Hapo yakupaswa kuwa mvumilivu maana utapitia mambo makuu na baadae kufuzu kwa ajili ya kuitumikia jamii Niamini...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Pia kuna nchi zinaitwa latin america lakini ukiangalia ramani nchi inayoitwa Latin haionekani naombeni kujuzwa kuhusu hili wadau mana lugha yao ni moja ya lugha maarufu duniani na vitu vingi...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Naomba kujua zaidi ya nijuavyo maana ya kitu VETTING,naomba nijue zaidi kama vettingi inatoa majibu sahihi kwa Tanzania. Wanasemaga vetting ni kumchunguza mtu kwa ajili ya kuajiliwa kushika nafasi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Masiku kadhaa yamepita nikiwaza kuandika au kuhoji jambo hili,lakini nikawa nasita. Ila leo hii imenibidi nifanye hivyo,sababu masiku nayo yanazidi kupita. Sayansi imepewa uwezo mkubwa kuliko...
1 Reactions
105 Replies
10K Views
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha. Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha. Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni...
0 Reactions
1 Replies
723 Views
Habari za mchana wana JF natumaini wote humu wazima basi moja kwa moja niende kwenye mada husika. UTANGULIZI Wakati nasoma biblia nikakutana na mstari huu ambao ulinipa maswali sana Mwanzo 1 6...
16 Reactions
87 Replies
9K Views
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha. Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naitwa MISHALY SUMARY naishi Kibaha Maili moja, nilikuwa nikifanya kazi katika Hospitali ya Burere kama Muuguzi kuanzia mwaka 2008 mpaka tarehe 26/12/2011 siku ambayo sitaweza kuisahau katika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu!! Mimi ni Mkristo. Tena si yule Mkristo wa kufuata miujiza au wa kufuata mkumbo. Ni mkristo ninayefuata misingi ya maandiko matakatifu kama yanavyosema bila kujali ni nini naamini...
0 Reactions
2 Replies
741 Views
Habari wakuu!! Mimi ni Mkristo. Tena si yule Mkristo wa kufuata miujiza au wa kufuata mkumbo. Ni mkristo ninayefuata misingi ya maandiko matakatifu kama yanavyosema bila kujali ni nini naamini...
0 Reactions
0 Replies
645 Views
Mh.rais tunaomba upeleke wahubiri wa kimataifa ktk kisiwa cha Solomoni Islands, watu Kule wanateseka kwa maagano na mila mbaya,waweza fuatilia mazungumzo yangu kwa njia ya ujumbe na Dada msomi wa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nafikiria kuwa haya magonjwa kama ukimwi na ebola ni biological weapons kwa ajili ya kupunguza tabaka la waafrica na waasia ili chi tajiri duniani ziwe huru naziondokane na threat ya uwepo wa watu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hapa najua kuna watu wakubwa mno, wenye ufahamu sana, nimeamua kujitupa uku nijifunze zaidi. Je mtu ana mwili na nafsi au mwili nafsi na roho? Naamini kwa hakika hili ni swali la msingi sana kwa...
19 Reactions
83 Replies
16K Views
Nimekua nikijiuliza hili swali siku nyingi sana, ni kitu gani kinachofanya uwezo wa akili utofautiane kati ya mtu mmoja na mtu mwingine? Je, kuna mahusiano yoyote kati ya race/jamii ya watu...
2 Reactions
45 Replies
9K Views
Wanajamvi habarini wote. Mimi ninaswali ambalo linanitatiza kiimani, kama kichwa cha habari kinavyo uliza. Hivi kusudi la mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa ni 1. Nikufanya kazi au 2. Kumwadundu...
4 Reactions
53 Replies
11K Views
Awali ya yote niwashukuru wale wote wafuatiliao makala zangu. Mwanipa moyo. Kila ntakapokuwa napata wasaa basi nitashiriki nanyi kwa moyo wote. Ebu tuanze... Mwaka ni 1876 huko mji wa Poiters...
9 Reactions
60 Replies
6K Views
*Tanzania and other three countries to lead Africa into SPACE* African countries have not yet announced sending anyone into space, but reports from Pretoria, South Africa, indicate the African...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Mwanafalsafa na mwanahisabati wa Uyunani ya kale Paithogorasi alipoulizwa muda ni nini ? alijibu "Muda ni pumzi ya ulimwengu " nakubaliana na majibu yake . Neno pumzi Kiyunani hujulikana kama...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Hapendi rushwa,kwahiyo kwakuwa hajawahi vaa Vazi hill tukufu na kibagalashia angefurahi sana Mwisho mliorudishwa hamjawahi kushukuru popote kwanini kama mlivyokuwa mnadai kabla au waandishi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom