Niamini Mimi si mchawi,wala jini, atakae kuwa amekuchanja Bali Mungu mwenyewe,
Hapo yakupaswa kuwa mvumilivu maana utapitia mambo makuu na baadae kufuzu kwa ajili ya kuitumikia jamii
Niamini...
Pia kuna nchi zinaitwa latin america lakini ukiangalia ramani nchi inayoitwa Latin haionekani naombeni kujuzwa kuhusu hili wadau mana lugha yao ni moja ya lugha maarufu duniani na vitu vingi...
Naomba kujua zaidi ya nijuavyo maana ya kitu VETTING,naomba nijue zaidi kama vettingi inatoa majibu sahihi kwa Tanzania.
Wanasemaga vetting ni kumchunguza mtu kwa ajili ya kuajiliwa kushika nafasi...
Masiku kadhaa yamepita nikiwaza kuandika au kuhoji jambo hili,lakini nikawa nasita. Ila leo hii imenibidi nifanye hivyo,sababu masiku nayo yanazidi kupita.
Sayansi imepewa uwezo mkubwa kuliko...
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha.
Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni...
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha.
Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni...
Habari za mchana wana JF natumaini wote humu wazima basi moja kwa moja niende kwenye mada husika.
UTANGULIZI
Wakati nasoma biblia nikakutana na mstari huu ambao ulinipa maswali sana
Mwanzo 1
6...
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha.
Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni...
Naitwa MISHALY SUMARY naishi Kibaha Maili moja, nilikuwa nikifanya kazi katika Hospitali ya Burere kama Muuguzi kuanzia mwaka 2008 mpaka tarehe 26/12/2011 siku ambayo sitaweza kuisahau katika...
Habari wakuu!!
Mimi ni Mkristo. Tena si yule Mkristo wa kufuata miujiza au wa kufuata mkumbo. Ni mkristo ninayefuata misingi ya maandiko matakatifu kama yanavyosema bila kujali ni nini naamini...
Habari wakuu!!
Mimi ni Mkristo. Tena si yule Mkristo wa kufuata miujiza au wa kufuata mkumbo. Ni mkristo ninayefuata misingi ya maandiko matakatifu kama yanavyosema bila kujali ni nini naamini...
Mh.rais tunaomba upeleke wahubiri wa kimataifa ktk kisiwa cha Solomoni Islands, watu Kule wanateseka kwa maagano na mila mbaya,waweza fuatilia mazungumzo yangu kwa njia ya ujumbe na Dada msomi wa...
Nafikiria kuwa haya magonjwa kama ukimwi na ebola ni biological weapons kwa ajili ya kupunguza tabaka la waafrica na waasia ili chi tajiri duniani ziwe huru naziondokane na threat ya uwepo wa watu...
Hapa najua kuna watu wakubwa mno, wenye ufahamu sana, nimeamua kujitupa uku nijifunze zaidi.
Je mtu ana mwili na nafsi au mwili nafsi na roho?
Naamini kwa hakika hili ni swali la msingi sana kwa...
Nimekua nikijiuliza hili swali siku nyingi sana, ni kitu gani kinachofanya uwezo wa akili utofautiane kati ya mtu mmoja na mtu mwingine?
Je, kuna mahusiano yoyote kati ya race/jamii ya watu...
Wanajamvi habarini wote.
Mimi ninaswali ambalo linanitatiza kiimani, kama kichwa cha habari kinavyo uliza.
Hivi kusudi la mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa ni 1. Nikufanya kazi au 2. Kumwadundu...
Awali ya yote niwashukuru wale wote wafuatiliao makala zangu. Mwanipa moyo. Kila ntakapokuwa napata wasaa basi nitashiriki nanyi kwa moyo wote.
Ebu tuanze...
Mwaka ni 1876 huko mji wa Poiters...
*Tanzania and other three countries to lead Africa into SPACE*
African countries have not yet announced sending anyone into space, but reports from Pretoria, South Africa, indicate the African...
Mwanafalsafa na mwanahisabati wa Uyunani ya kale Paithogorasi alipoulizwa muda ni nini ? alijibu "Muda ni pumzi ya ulimwengu " nakubaliana na majibu yake .
Neno pumzi Kiyunani hujulikana kama...
Hapendi rushwa,kwahiyo kwakuwa hajawahi vaa Vazi hill tukufu na kibagalashia angefurahi sana
Mwisho mliorudishwa hamjawahi kushukuru popote kwanini kama mlivyokuwa mnadai kabla au waandishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.