FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Inashauriwa hata ukiwa ndani ya nyumba na unatumia kisu pale utakapotaka kutoka sehemu moja kwenda nyingine labda jikoni to sebuleni basi kibebe kisu kwa kukining'ing'iza badala ya kukielekeza kwa mbele sababu anaweza tokea mtoto anacheza akikimbia kuelekea upande wako labda kuna kona mkavaana au hata mtu mzima
Wamasai wapo makini sana ktk uwekaji wa visu na ubebaji,ni mfano wa kuigwa
Hivyo hivyo ktk silaha za moto ukibeba kwa kumuelekezea mtu inaweza kulipuka kwa gafla
idhaa ya Kiswahili ya BBC iliwahi kuwaonyesha askari wa Burundi waliotumwa kuzima uasi mjini Bunjura wakiwa ktk mistari wakielekea Bunjumbura kufurusha waasi ila ubebaji wao silaha ulikuwa kimakosa kwani zilikuwa mgongoni ila zilielekezwa kwa watu na sio juu au chini
instagram:kaukwaju
Wamasai wapo makini sana ktk uwekaji wa visu na ubebaji,ni mfano wa kuigwa
Hivyo hivyo ktk silaha za moto ukibeba kwa kumuelekezea mtu inaweza kulipuka kwa gafla
idhaa ya Kiswahili ya BBC iliwahi kuwaonyesha askari wa Burundi waliotumwa kuzima uasi mjini Bunjura wakiwa ktk mistari wakielekea Bunjumbura kufurusha waasi ila ubebaji wao silaha ulikuwa kimakosa kwani zilikuwa mgongoni ila zilielekezwa kwa watu na sio juu au chini
instagram:kaukwaju