Mimi ni miongoni mwa mashabiki wenu,Mara ya kwanza nimewaona mwaka 1992,ktk ukumbi wa Urambo hotel-urambo kiingilio kikiwa tsh.500 watoto na tsh1000 wakubwa,Kopa ulikuwepo hata hayati kapt Komba...
"INFORMATION IS POWER"
"KNOWLEDGE IS POWER"
"POWER IS POWER"
Kwa nyakati tofauti nimeskia watu tofauti wakitafsiri maana ya "POWER" na nimebaki nikiwaza Yupi yuko sahihi zaidi ukizangatia...
Maprofessor hupatikana baada ya msomi kuwa na shahada ya kwanza,ya pili na uzanifu,pia huteuliwa na bodi ya maprofessor kuwa professor baada ya kuandika marejeo kadhaa
Ila kuna uhaba wa...
UHUSIANO ULIOPO KATI YA BINADAMU NA MAJINI, UNAJUA VITABU VYA DINI VINAWAZUNGUMZIAJE MAJINI?
VIUMBE MAJINI NI NINI?NA WANAFANYA NINI?VIPI MAHUSIANO KATI YA MAJINI NA BINADAMU? VITABU VITAKATIFU...
Baadhi ya Wataalamu wa Conspiracy Theory wamekuwa wakionyesha kuwa, Dunia ni hollow (Tundu) ambalo lina mwanga (Jua dogo) kwa ndani na kuwa kuna viumbe (Aliens) wanaoishi ndani yake wakiwa na...
Umaarufu hufanya kupendwa na wanaume wengi..hivyo si rahisi na sio utu kutembea na kila mwanaume sababu mwanamke akiwa nyota kila mwanaume atampenda,ili kuweka mambo sawa atavaa vimini kuridhisha...
Neno umefungwa haimanishi upo gerezani ila Ni jinsi gani fikra zako hazitoki njee ya (unayoyaamini) kutokana na sababu flani. Sababu hizo hueza pelekea kuwa mshabiki pekee bila kuhoji au kuhitaji...
Neno umefungwa haimanishi upo gerezani ila Ni jinsi gani fikra zako hazitoki njee ya (unayoyaamini) kutokana na sababu flani. Sababu hizo hueza pelekea kuwa mshabiki pekee bila kuhoji au kuhitaji...
Je! Umewahi kufikiri kwamba rangi inaweza kutumika kama njia ya mateso? Inaonekana, ni. Ukatili wa Chumba cha cheupe unachukuliwa kuwa mojawapo ya aina nyingi za hatari za akili. Ingawa njia hii...
Heko kwenu wadau,
Wakati fulani nilipokuwa nasoma kitabu cha THINK LIKE A CHAMPION kilichoandikwa na Raisi Donald J. Trump nilisoma mahali fulani ambapo aliitaja hii namba 1.6180339887 kama...
Sun Tzu alikuwa kamanda wa jeshi na Mwanafalsafa wa kichina enzi hizo china inatawaliwa na maemperor.
Siku moja Sun Tzu akamwambia mtawala (tumwite mfalme) kuwa, mtu yoyote anaweza kuwa...
Katika bibilia Mungu amendika kwa Vidole vyake mwenyewe Mara nne.
1: Alipoandika Amri Kumi kwa mara ya kwanza.
2: Musa alipozivunja zile mbao, Mungu Alizirudia tena na kwa mara ya pili.
3...
Habari jf..nimekua nikiona maandiko mbalimbali kuhusu Hawa viumbe wanaosadikika kwa jina la aliens..Na nikiwa najiuliza je ni kweli Wana exist??? Kama wapo ni ndan au nje ya Dunia?? Najiuliza pia...
1 light year(distance) = 1 year time
Kama umbali kutoka Galaxy moja hadi nyingine ni 65 light years, kwahyo Aliens waliopo kule wakiangalia duniani bado wanaona Dinosaurs walioishi miaka million...
Kusema kweli serikali inapoteza mapato ktk mitañdao ya kijamii,kwa nini isichukue mia moja au mia mbili ili tuchangie madawa,maji na huduma zingine.
Tuseme kweli kumbe uchumi mzuri maana...
Udsm in chuo kikubwa na sifa yake kubwa ni kupata bahati ya ukumbi wake maarufu wa lecture Nkruma hall kuwa kama. Nembo ktk noti ya tsh.500
Pia wahitimu wa chuo hicho ni kama uhitimu na kozi ya...
Ukizunguka mjini siku ya Ijumaa Jioni na Jumamosi Utaona sehemu kubwa ya maduka yamefungwa kama sehemu ya imani yao na watu
wengi kukiri waumini hao wamekuwa wengi kuliko walokole ambao siku za...
Habari za majukumu wanajamvi? Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika. Naomba ufafanuzi wa maswali mawili kuhusu mwezi.
1. Kwanini huu mwezi ambao ni duara kuna kipindi huwa unaonekana...
Nikisoma Vitabu Vya Dini Hasa Biblia... Mungu wa Kuanzia Kitabu Cha Mwanzo Au Vitabu Vya Kale Ni Tofauti Sana kitabia na Mungu wa Agano Jipya.
Tabia za KiMungu Alizokuwa nazo Katika agano la Kale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.