Hii hutokea sababu ya hisia pale mtu anapokuwa haamini macho yake anapofanyiwa surprise,anapowaza yeye nani hadi spate hadhi kubwa na si mwingine mwenye sifa kama yeye,dhamana na kahalika.
Sasa...
There are multitudes of human beings who are afflicted with various degrees of problems in their waking life because they have had a sexual encounter or more in their dream with a spirit spouse...
Gari limeharibika likapelekwa kwa fundi fundi alipoliona akawaambia walolileta lirudisheni kule lilikoharibikia itawezekana kulirekebisha
*Hii ni ndoto/maono nimeona*
Sent using Jamii Forums...
Habari wana JF, nafahamu fika kuwa hapa ndio nyumbani kwa ma great thinker.
Mara nyingi zaidi nimekuwa nikipendelea kutembelea majukwaa mawili tu hapa JF nayo ni Jamii intelligence na lile la...
Wakuu mmeamkaje? Kama kichwa kilivyoeleza mwanzo, ndio hoja yangu nitascreenshot hili SWALI nilimuuliza mtu kashindwa kunijibu sasa nalileta hapa ili mnisaidie maana utaalamu na ujuzi kwa ngazi...
Ugaidi wa kujitoa mhanga umekuwa janga kwa robo karne sasa. Shambuliz lakujitoa mhanga kwenye kambi ya U.S marine katika mji wa Beirut, ulimfanya raisi Ronald Rogan kuondoa jeshi lake la kulinda...
mgunduzi wa simu aliye keti: Alexander Graham Bell.
Mnamo mwaka 1876 tarehe 11 mwezi march bwana Alexander Graham Bell alifanikiwa kutengeneza simu ya kwanza kabisa. alizaliwa mnamo mwezi March...
Salamu kwenu. Je, ni nini maana hasa ya neno mwisho wa dunia?
Leo muda fulani nilikuwa naangalia tv documentary moja niliona ikielezea kuwa mwisho wa dunia ni mahali fulani katika bara lililo...
Wapendwa habarini za majukumu? Pia kwa ndugu zetu waislamu nipende kuwatakia maadhimisho mema ya Eid Mubarak.
Napenda nifahamishwe kwa wale wenye ufahamu kuhusu historia ya Yoseph mfanyakazi ama...
habari wana jf ninajambo napenda kufaham je mfano mtu umeajiriwa na serikali kwa maana kwamba umepewa barua ya ajira tarehe 17/07/2018 na ikafika mwezi tarehe 25/07/2018 ukawa hujapata mshahara...
Ulimwengu tuishimo na vitu vyote vilivyomo umetawaliwa na binadamu. Hata hivyo kutokana na tofauti kubwa ya binadamu kuna ambao wameitawala "nature" lakini wengine bado hiyo "asili" imewatawala...
Mwaka ulikuwa ni 1945, usiku wa kabla ya Christmass huko Fayetteville, West Virginia, ambapo Bwana Goerge Sodder na mkewe Jennie pamoja na watoto wao tisa kwa ujumla walikuwa wamelala wakati moto...
Penzi LA ujanani huwa halisi haliitaji fedha enzi za shule au vyuo,sasa ikitokea umeukwaa ukuu unaweza wasahau kwa kigezo cha kuwa ni Mali ya Wengene au utawasaidia nao waonje ukarimu...
"INFORMATION IS POWER"
"KNOWLEDGE IS POWER"
"POWER IS POWER"
Kwa nyakati tofauti nimeskia watu tofauti wakitafsiri maana ya "POWER" na nimebaki nikiwaza Yupi yuko sahihi zaidi ukizangatia...
UHUSIANO ULIOPO KATI YA BINADAMU NA MAJINI, UNAJUA VITABU VYA DINI VINAWAZUNGUMZIAJE MAJINI?
VIUMBE MAJINI NI NINI?NA WANAFANYA NINI?VIPI MAHUSIANO KATI YA MAJINI NA BINADAMU? VITABU VITAKATIFU...
Baadhi ya Wataalamu wa Conspiracy Theory wamekuwa wakionyesha kuwa, Dunia ni hollow (Tundu) ambalo lina mwanga (Jua dogo) kwa ndani na kuwa kuna viumbe (Aliens) wanaoishi ndani yake wakiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.