Alien's troops....kwanini jimbo la washington DC ambapo ndio ipo ikulu ya marekaniii kumetawaliwa na majengo mafupi mafupi ukilinganishaa na miji mingine kama calfornia ,las vergas ambayo nature ya majengo ya maeneo haya ni marefu
Mi nilijua pengine ungeweka wazo lako hapaa kwa uhalisia wa nchi yako ikulu ya Tz imezungwukwa na majengo malefu kwanini ya marekanii mji mzima umetawaliwa na majengo mafupiii...............Buana waswahili na ubesho hawana mwisho duh Washington dc na California....kwanini usituletee mada ya kwanini Dodoma mji mkuu wa Tz hauna stedi ya ma basi wakati aSigida na Moro zina stedi za ma basi zakimatsifa? Unataka kutuaminisha kwamba unajua miji ya Marikani kuliko kwenu Bukoba au Mwanza?
kwa mawazo yangu mimi nilifikiria ni kwa sababu ya usalama wa raisi majasusi snipers, rada kuweza kudetect mabomu kwa urahisi ambayo yangeweza kurusha kuelekea state house.................ndio mana nikaleta huu uzi hapaa watu waweze kudadavua vizurii kutokana na ufahamu waoMi nilijua pengine ungeweka wazo lako hapaa kwa uhalisia wa nchi yako ikulu ya Tz imezungwukwa na majengo malefu kwanini ya marekanii mji mzima umetawaliwa na majengo mafupiii...............
Unaongelea Singida na Moro, hivi umefika Mpanda (kwa Pinda) ukaona bonge la stendi la kisasa?...Buana waswahili na ubesho hawana mwisho duh Washington dc na California....kwanini usituletee mada ya kwanini Dodoma mji mkuu wa Tz hauna stedi ya ma basi wakati aSigida na Moro zina stedi za ma basi zakimatsifa? Unataka kutuaminisha kwamba unajua miji ya Marikani kuliko kwenu Bukoba au Mwanza?
NI Kama ilivyo Dodoma, huruhusiwi kujenga jengo lenye zaidi ya ghorofa kumi...Hii ni sheria ya jiji tangu enzi kuwa na limit ya urefu wa majengo na yasizidi hapo
Hiyo sheria ni ya mwaka 1910 na haijabadilishwa nadhani
Umeandika ujinga, ujinga kwelikweli.Buana waswahili na ubesho hawana mwisho duh Washington dc na California....kwanini usituletee mada ya kwanini Dodoma mji mkuu wa Tz hauna stedi ya ma basi wakati aSigida na Moro zina stedi za ma basi zakimatsifa? Unataka kutuaminisha kwamba unajua miji ya Marikani kuliko kwenu Bukoba au Mwanza?
Father AliensAlien's troops....
Ni utaratibu mzuri sanaNI Kama ilivyo Dodoma, huruhusiwi kujenga jengo lenye zaidi ya ghorofa kumi...
Weka pichaUnaongelea Sindida na Moro, hivi umefika Mpanda (kwa Pinda) ukaona bonge la stendi la kisasa?...
Weka picha