Hivi kuna mwingine amenotice hili kama mimi?

BigBro

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
3,192
9,802
Ni hivi, fuatilia kwa makini sana uzungumzaji wa Kiingereza kwa Wamarekani wazungu na wale weusi, kunatofauti kubwa sana katika uzungumzaji wake hasa kwenye slang. Wamarekani wazungu wanazungumza kiingereza kizuri zaidi bila kukata sana maneno tofauti na Wamarekani weusi.
Nimefanya nao kazi wote kwa muda mrefu, lakini kila ninapokutana na Mmarekani mweusi kiingereza chake ni tofauti na kabisa na Mzungu.
Hata kama ni mfuatiliaji mzuri wa hotuba za Marais wa Marekani, msikilize kwa makini rais wa zamani, Barack Obama, halafu msikilize tena kwa makini rais wa zamani, George W. Bush, then msikilize rais wa sasa, Donald Trump, utasikia tofauti kubwa mno ya utamkwaji wa maneno. Bush na Trump slang yao inafafana, lakini Obama slang yake ni kama wale Wamarekani weusi.
Hata kwa wale wapenzi wa muzi za Hollywood, wasikilize wachezaji muvi weusi na wazungu, utaona pia wanasungumza kiingereza chenye slang tofauti kabisa.
Nimekuwa najiuliza nimeshindwa kupata jibu, kwa sababu kama Weusi wamezaliwa katika ya Wazungu wa Marekani kwanini slang yao inatofautiana?
 
Anza kushangaa hapa kwetu kwanza mhindi kazaliwa dar kakulia dar lakini kiswahili chake kama anajifunza. Tafauti na muarabu kiswahili chake hakitupani na weusi wa dar.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ni hivi, fuatilia kwa makini sana uzungumzaji wa Kiingereza kwa Wamarekani wazungu na wale weusi, kunatofauti kubwa sana katika uzungumzaji wake hasa kwenye slang. Wamarekani wazungu wanazungumza kiingereza kizuri zaidi bila kukata sana maneno tofauti na Wamarekani weusi.
Nimefanya nao kazi wote kwa muda mrefu, lakini kila ninapokutana na Mmarekani mweusi kiingereza chake ni tofauti na kabisa na Mzungu.
Hata kama ni mfuatiliaji mzuri wa hotuba za Marais wa Marekani, msikilize kwa makini rais wa zamani, Barack Obama, halafu msikilize tena kwa makini rais wa zamani, George W. Bush, then msikilize rais wa sasa, Donald Trump, utasikia tofauti kubwa mno ya utamkwaji wa maneno. Bush na Trump slang yao inafafana, lakini Obama slang yake ni kama wale Wamarekani weusi.
Hata kwa wale wapenzi wa muzi za Hollywood, wasikilize wachezaji muvi weusi na wazungu, utaona pia wanasungumza kiingereza chenye slang tofauti kabisa.
Nimekuwa najiuliza nimeshindwa kupata jibu, kwa sababu kama Weusi wamezaliwa katika ya Wazungu wa Marekani kwanini slang yao inatofautiana?
Ushawahi kukaa na Juma Nature au Mwana FA? Wote hawa wana slang tofauti ya lugha hii ya kiswahili.
 
HKL na HGL wataushangaa huu uzi wa mleta uzi, maana wao walishayasoma haya tangu sekondari
ahahahahhahahahha KAMA UMENIZOOM!
BigBro ni kawaida.
Lugha ni kiashiria cha uwepo wa matabaka katika jamii!
Watu wa matabaka Fulani,aina Fulani ya maisha, eneo Fulani la asili huwa na misamiati,matamshi na matumizi ya lugha yanayofanana na yanayowatofautisha na watumiaji wengine wa lugha hiyo hiyo.
Inaitwa DIALECT!
kwa kifupi dialect ni matumizi tofauti ya lugha moja kutokana na mazingira,eneo,nafasi ya kiuchumi,elimu, ajira na historia ya makundi fulani kwenye jamii moja!.
 
Back
Top Bottom