Salute Comrades
Intro
Mnamo mwaka 1969 mwanamuziki aitwae Jim Sullivan alirekodi albamu aliyoipa jina la U.F.O, ndani ya albamu hiyo kuna mistari anaimba kua ..aliacha familia yake akawa ametekwa...
Taarifa nilizozipata punde toka chanzo cha ndani kabisa kwa maana ya mtumishi wa TRL makao makuu ni kuwa wale vibosile wa TRL ambao ni wahindi wametoweka na kiasi kubwa cha fedha na kubakiwa...
Salaam wakuu
Nimesoma sehemu tofauti humuhumu jukwaani kuwa sisi binadamu uwezo wetu wa kiakili tunarithi kutoka kwa mama yaani maana yake km mama yako ana uwezo mdogo basi hata watoto...
Hii ni sehemu ya pili katika muendelezo wa makala inayohusu uhusiano baina ya taifa tajiri na lenye nguvu duniani, Marekani na moja kati ya mataifa masikini duniani, Tanzania. Katika makala...
KUTOROKA MWAMBANI - kinachokuzuia si kuta ndefu, bali akili yako.
Awali ya yote nashkuru sana kwa watu wote ambao wamekuwa wakifuatilia simulizi zangu na hata mikasa mbalimbali ambayo narusha...
Inashauriwa hata ukiwa ndani ya nyumba na unatumia kisu pale utakapotaka kutoka sehemu moja kwenda nyingine labda jikoni to sebuleni basi kibebe kisu kwa kukining'ing'iza badala ya kukielekeza kwa...
Kwema ndugu....
Mnamo mwaka 1970 tarehe 5-8 watalii kutoka nchi Ujerumani waliingia nchi Tanzania Donald Morison na mkewe Abe kufanya utalii binafsi jijini Tanga wakiwa na mbwa wao kama wazungu...
Shalom na Assalam aleykum
Zamani nilivyokuwa na miaka saba nilikuwa nafurahi ninapo sikia mtu ana jina zuri liwe la kizungu au kiarabu au la kikabila bila ya kujua maana ya jina hilo lakini kwa...
Wakuu salaam,ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo.
Kuna genge la watumishi wasio waadilifu ndani ya DAWASA ambao kazi yao ni kudhurumu fidia za waathirika wa miradi ya maji.Mimi binafsi Mama...
Kwa sababu ninavyofahamu kwa elimu ya shule ya msingi,Mawingu pale yalipo ni mvuke ulioganda,ambao ukijisikia unatoa mvua,tunalima na tunavuna.Sasa je,kwanini mvua ikitaka kunyesha hainyeshi...
HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.
habari za wakati huu ...
Bila kupoteza muda nanze hapa kwenye muda,
maana harisi ya kisayansi ya muda kwa Maelezo ni...
kwanini jimbo la washington DC ambapo ndio ipo ikulu ya marekaniii kumetawaliwa na majengo mafupi mafupi ukilinganishaa na miji mingine kama calfornia ,las vergas ambayo nature ya majengo ya...
Are there any dangers of meditation?
Today I found myself googling ‘dangers of meditation’. I’m not sure why; I guess, I just wanted to know if anyone else thought there were any negative side...
It is philosophically impracticable to be a non theist; since to be a non theist you must have adequate lowdown in order to know that there is no God and or no deity exist, inter-alia, to be sure...
NI HERI KUFA KATIKA FIKRA ZINAZOISHI KULIKO KUISHI KATIKA FIKRA ZILIZOKUFA
Kutoka ndani ya blog
ANGUKO LA MARCUS GARVEY KIELELEZO CHA MTU MWEUSI KUTOJITAMBUA
Katika kuiweka falsafa yake...
Huyu kila kukicha yuko Movenpik na jamaa wanalalamika alivyojeuri na kibri...tena anadai kuwa viongozi wote Tanzania kawatia mfukoni.
Hivi kuna mtu anajua huyu jamaa ana michongo gani na bongo...
1.Hutchson Gilford Progeria
Ni ugonjwa adimu zaidi ambao uwezekano wake wa kutokea ni kwa mtu mmoja miongoni mwa million 8 waliozaliwa. Huu ugojwa ni wa vinasaba(genetic) na mgonjwa wake huwa...
Sote twajua kuwa Katiba ndiyo muhimili wa Taifa ( Muongozo) .Lakini Kunakitu kinaitwa Elimu Ambayo ndiyo msingi wa Mambo yote.
.Africa Imejikuta inashindwa kuendelea sababu ya Kuwekeza katika...
BARRICK GOLD SHARES
July 2016 - around US$ 22.30
August 2018. - around US$ 09.80
ACACIA MINING SHARES
August 2016 - around GB£ 600.00
August 2018 - around GB£ 109.00...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.