Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Jeff Bezos alifanikiwa kumpiku tajiri namba moja wa muda mrefu Bill Gates baada ya thamani ya utajiri wake kufikia dola bilioni 90.08. Hizi zimekuwa habari mpya na za kushangaza kwa wengi kwa kuwa...
27 Reactions
27 Replies
15K Views
katika nchi yetu kuna mgawanyo wa majeshi yetu. kuna jeshi la anga, la nchi kavu na jeshi la majini. hiki kikosi maalumu cha majini makao makuu yake kipo kigamboni hapa Dar es salaam. hivi kazi...
33 Reactions
82 Replies
12K Views
Tawala za kijamaa zilianguka kote duniani , lakini Castro aliendelea kupeperusha bendera nyekundu karibu na maadui wake wakubwa, Marekani. Kiongozi huyo mwenye utata alisifiwa na wafuasi wake...
9 Reactions
28 Replies
4K Views
Greetings! "..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na...
6 Reactions
54 Replies
8K Views
Salaam kwa wote, Binadamu tumekuwa tukijihusisha na kufanya maombi kwa namna mbalimbali yenye malengo tofauti kutokana na mahitaji ya muhusika. "Kuna kitu mahala hapo" nje ya uwezo wetu na namna...
13 Reactions
39 Replies
7K Views
Hii iña maana ya kuiongoza dunia kama Serikari moja ña kuwa na rais mmoja tu dunia nzima. Hukutanikia Roma Vatican,Kiongozi mmoja mmoja wa kidunia yaani marais hudhulu Roma ikiwemo marais wa...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
1.Anna Chapman maarufu kama Anna Kushchenko Umri miaka 31 Alikuwa jasusi wa Russia akitafuta habari mbalimbali dhidi ya Marekani hususani shirika la ujasusi la Marekani (CIA) ambalo ofisa wake...
9 Reactions
55 Replies
14K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nasikia tu hawa viumbe wanaitwa Aliens wanalivyo na uwezo mkubwa wa Akili na inasemekana kuwa mataifa makubwa hasa Marekani na Urusi kuwa wana vituo vikubwa kwa ajili ya...
5 Reactions
162 Replies
33K Views
Habarini Wote, Ninashiriki nanyi tafsiri hii kutoka kwenye kitabu 'The Art of Dying' cha OSHO, sura ya kwanza: Know How to Live (Jua namna ya Kuishi); nikiwa na imani ya kwamba kufanya hivi...
9 Reactions
41 Replies
12K Views
Inavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi). Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi...
8 Reactions
255 Replies
86K Views
Check out @PressTV's Tweet:
1 Reactions
162 Replies
21K Views
Wanabodi salaam! Neno uzalendo limekuwa likizungumzwa sana hasa na wanasiasa lakini hatupaswi tu kuwaachia watu wa tabaka moja kuzungumzia Jambo hili.Uzalendo NI zaidi ya UTAIFA,Kila Mtu ataungana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
June 9, 2013 mkurugenzi mkuu wa Nationa Security Agency (NSA) James Clapper akiwa kwenye kikao cha siri na maafisa wa juu wa usalama wa Marekani alifungua kinywa chake na kusema "His crazy...
14 Reactions
39 Replies
9K Views
Sidhani kama huu uongo na upotoshaji bado unafundishwa kwenye shule zetu kwenye somo la historia.... Sisi tulifundishwa na kuaminishwa kuwa asili ya mwanadamu ni mnyama nyani.... Ni katika...
27 Reactions
136 Replies
17K Views
Rastafari inatilia mkazo Afrika, na Afrika ya ughaibuni ambayo wanaamini kuwa inanyanyaswa ndani ya jamii ya Magharibi, au "Babeli". Marasta wengi wanasisitiza wito kwa Waafrika walioko nchi za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natumaini wote wazima humu jamvini Bila kuchelewa naona niende moja kwa moja kwenye mada husika Kwanza kabisa nianzie hapa kutokana na matukio mengi ya kigaidi yanayofanywa na vikundi vya...
7 Reactions
62 Replies
10K Views
Hiyo hapo juu ni picha ya inayosadikiwa kuwa ya mnara wa babel ambao Nimrod kwa kushirikiana na watu wengine waliujenga kwasababu ambazo ni za kishetani kwa mujibu wa maandiko na Mungu alivuruga...
29 Reactions
527 Replies
75K Views
Habari wakuu!! Mimi ni Mkristo. Tena si yule Mkristo wa kufuata miujiza au wa kufuata mkumbo. Ni mkristo ninayefuata misingi ya maandiko matakatifu kama yanavyosema bila kujali ni nini naamini...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Aliye mbele yako inabidi umsikilize Kwa makini ukiwa unamazungumzo nae haijalishi kama ni mtoto,mlevi au mtu mzima au wahubiri wa dini maana Mungu humuingia yeyote ktk nafsi na kuongea kupitia...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Salaaam.. Kwanza kabisa naomba niweke msimamo wangu kiimani, mimi naamini mungu yupo na ndie muweza wa yote. Turudi kwenye mada..nacho jua mimi adhabu huwa inatolewa ili iwe funzo kwa mkosaji...
38 Reactions
335 Replies
36K Views
Back
Top Bottom