Jeff Bezos alifanikiwa kumpiku tajiri namba moja wa muda mrefu Bill Gates baada ya thamani ya utajiri wake kufikia dola bilioni 90.08. Hizi zimekuwa habari mpya na za kushangaza kwa wengi kwa kuwa...
katika nchi yetu kuna mgawanyo wa majeshi yetu. kuna jeshi la anga, la nchi kavu na jeshi la majini.
hiki kikosi maalumu cha majini makao makuu yake kipo kigamboni hapa Dar es salaam.
hivi kazi...
Tawala za kijamaa zilianguka kote duniani , lakini Castro aliendelea kupeperusha bendera nyekundu karibu na maadui wake wakubwa, Marekani.
Kiongozi huyo mwenye utata alisifiwa na wafuasi wake...
Greetings!
"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na...
Salaam kwa wote,
Binadamu tumekuwa tukijihusisha na kufanya maombi kwa namna mbalimbali yenye malengo tofauti kutokana na mahitaji ya muhusika.
"Kuna kitu mahala hapo" nje ya uwezo wetu na namna...
Hii iña maana ya kuiongoza dunia kama Serikari moja ña kuwa na rais mmoja tu dunia nzima.
Hukutanikia Roma Vatican,Kiongozi mmoja mmoja wa kidunia yaani marais hudhulu Roma ikiwemo marais wa...
1.Anna Chapman maarufu kama Anna Kushchenko
Umri miaka 31
Alikuwa jasusi wa Russia akitafuta habari mbalimbali dhidi ya Marekani hususani shirika la ujasusi la Marekani (CIA) ambalo ofisa wake...
Kwa muda mrefu nimekuwa nasikia tu hawa viumbe wanaitwa Aliens wanalivyo na uwezo mkubwa wa Akili na inasemekana kuwa mataifa makubwa hasa Marekani na Urusi kuwa wana vituo vikubwa kwa ajili ya...
Habarini Wote,
Ninashiriki nanyi tafsiri hii kutoka kwenye kitabu 'The Art of Dying' cha OSHO, sura ya kwanza: Know How to Live (Jua namna ya Kuishi); nikiwa na imani ya kwamba kufanya hivi...
Inavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi).
Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi...
Wanabodi salaam! Neno uzalendo limekuwa likizungumzwa sana hasa na wanasiasa lakini hatupaswi tu kuwaachia watu wa tabaka moja kuzungumzia Jambo hili.Uzalendo NI zaidi ya UTAIFA,Kila Mtu ataungana...
June 9, 2013 mkurugenzi mkuu wa Nationa Security Agency (NSA) James Clapper akiwa kwenye kikao cha siri na maafisa wa juu wa usalama wa Marekani alifungua kinywa chake na kusema "His crazy...
Sidhani kama huu uongo na upotoshaji bado unafundishwa kwenye shule zetu kwenye somo la historia....
Sisi tulifundishwa na kuaminishwa kuwa asili ya mwanadamu ni mnyama nyani.... Ni katika...
Rastafari inatilia mkazo Afrika, na Afrika ya ughaibuni ambayo wanaamini kuwa inanyanyaswa ndani ya jamii ya Magharibi, au "Babeli". Marasta wengi wanasisitiza wito kwa Waafrika walioko nchi za...
Natumaini wote wazima humu jamvini
Bila kuchelewa naona niende moja kwa moja kwenye mada husika
Kwanza kabisa nianzie hapa kutokana na matukio mengi ya kigaidi yanayofanywa na vikundi vya...
Hiyo hapo juu ni picha ya inayosadikiwa kuwa ya mnara wa babel ambao Nimrod kwa kushirikiana na watu wengine waliujenga kwasababu ambazo ni za kishetani kwa mujibu wa maandiko na Mungu alivuruga...
Habari wakuu!!
Mimi ni Mkristo. Tena si yule Mkristo wa kufuata miujiza au wa kufuata mkumbo. Ni mkristo ninayefuata misingi ya maandiko matakatifu kama yanavyosema bila kujali ni nini naamini...
Aliye mbele yako inabidi umsikilize Kwa makini ukiwa unamazungumzo nae haijalishi kama ni mtoto,mlevi au mtu mzima au wahubiri wa dini maana Mungu humuingia yeyote ktk nafsi na kuongea kupitia...
Salaaam..
Kwanza kabisa naomba niweke msimamo wangu kiimani, mimi naamini mungu yupo na ndie muweza wa yote.
Turudi kwenye mada..nacho jua mimi adhabu huwa inatolewa ili iwe funzo kwa mkosaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.