Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Tunaishi katika kizazi kilicho na: Simu zenye akili kuliko watumiaji wake. Mitandao ya kijamii yenye ushawishi kuliko wazazi, walimu, au viongozi wa dini. Maarifa mengi, lakini hekima haba. Je...
22 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanajamvi: Niwieni radhi nilibanwa na majukumu ya kuisadia nchi yetu kusonga mbele.Nilikosa kabisa muda wa kuweza kuendelea kuleta humu mijadala ambayo inahusisha mambo ambayo bado yanabeba...
9 Reactions
226 Replies
32K Views
Nimeangalia documentary moja nzito YouTube, ambayo inazungumzia hofu inayoongezeka Ulaya kuhusu ongezeko la watu kutoka Afrika, hususan kusini mwa Jangwa la Sahara. Mwandishi mmoja mwenye IQ ya...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Katika kueleza makundi haya mawili ya waamini wa imani ijulikanayo kama Wakristo (maana yake wafuasi wa Yesu) kumekua bado na mzozo mkubwa hadi leo hii kuhusu mambo Muhimu sana kuhusu imani au...
1 Reactions
77 Replies
2K Views
GAZA MARINE; CHANZO CHA GAZA KUWA CONCENTRATION CAMPS. Uvamizi wa Israel "Gaza" ni mpango wa siku nyingi, sio jambo la Bahati mbaya, Kinachofanyika Gaza kina Sura mbili.... Moja mkakati wa...
2 Reactions
6 Replies
508 Views
Kabla ya mwili na nafsi ya Mwanadamu kuumbwa kwanza iliumbwa roho ya mtu. Mwanadamu ni kiumbe cha kiroho chenye mwili. Mwanadamu anaishi ulimwengu wa roho (Spiritual realm) na ulimwengu wa mwili...
8 Reactions
7 Replies
2K Views
Naam , Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Chanzo cha maarifa haya ni sheikh Sharifu Sultan, akiwa katika mfululizo wa vipindi vyake katika chaneli ya moja kwa moja ya Manara...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Kama umewahi kujiuliza Ufunguo Mdogo wa Sulemani ulionekanaje, hizi hapa ni kurasa za uchanganuzi wa mojawapo ya matoleo ya maandishi ya kitabu. Kama unavyoona hapa, matoleo ya awali yalikuwa hati...
7 Reactions
96 Replies
12K Views
jamani naoma mnipe data zaidi ya huyu jamaa anayejiita mwanamboka maana mm namuona ona tu sijui anafanya shghuli gani ila nasikia kuwa ni mmoja kati ya matajiri sana tz ss kama kuna mtu anamjua...
0 Reactions
32 Replies
17K Views
Habari gani wakuu? Kama kinavyo jieleza kichwa Cha uzi hapo juu kwamba... Kama ilivyo kwa gali mpya uinunuapo Basi lazima utapewa tool box ambayo itakuwa na vifaa vyote mhimu kwa ajili ya...
9 Reactions
39 Replies
1K Views
In Christendom ,many Christians have been believing that Jesus whom they call Christ was a historical figure and was the Son of Man.my discussion aims at exploring into the hidden identity of...
0 Reactions
119 Replies
5K Views
Kwanza nimekuja jukwaa hili bila shaka ndipo munapopatikana. Kwaiyo nimekuja ili nipate elimu ya kutosha kutoka kwenu. Bi maana binafsi najijua kuwa; 1; Mimi ni binaadam. 2; Nimetokana na Adam...
5 Reactions
50 Replies
2K Views
Niwaslimu ndugu zangu na tuendelee kuuipa akili kazi. Kuna TOFAUTI kati ya jibu na jawabu ,jibu ni maoni ya MTU kwa KADRI ya taarifa alizonazo na JAWABU ni uhalisia wa mambo bila kujali hali au...
2 Reactions
1 Replies
250 Views
"Usaliti, umbeya, hujuma, na dhuluma ni moto wa ndani unaowasha kiu ya malipizo katika nafsi za walioumizwa, si kwa sababu wanapenda kulipiza, bali kwa sababu maumivu yao yamepuuzwa kwa muda...
2 Reactions
0 Replies
233 Views
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania. Unakuta anaelezea maeneo ya ndani...
8 Reactions
112 Replies
10K Views
watu wengi hawajui kifo ni nini lakini watu wengi hawajui kuwa sasa hivi unaweza ukawa mwanaume ukafa katika re birth ukawa mwanamke au kuku ,au jiwe au kitu chochote kile samahani kama hujui usi...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️ Kila kitu nikiuliza kwa Masheikh na mapadri na wachungaji na hata katika forum mbalimbali mnanifungulia KITABU, Ina maana Mungu alikosa njia zote za kujieleza...
2 Reactions
13 Replies
975 Views
Tarehe 26-May ni siku ambayo Wayahudi wanasherekea kuukomboa mji wa Yerusalem Mashariki ya kati, Wale wayahudi wenye itikadi kali hutumia siku hii kupita katika Nyumba, maduka ya Waarabu na...
3 Reactions
10 Replies
804 Views
Hii vita ya Urusi na Ukraine na Sasa Iran na Israel imenifanya niwaze baadhi ya mitizamo (siyo misimamo) ya wasioamini kuwa kuna Mungu. Kwa mfano kinachowafanya wasioamini kuwa kuna Mungu...
5 Reactions
64 Replies
1K Views
Salaam, Shalom!! Imeandikwa katika siku za mwisho, kutainuka ufalme/ utawala uliofananishwa na CHUMA kilichojaribu kushikamana na udongo, lakini ilishindikana kuchanganyika na kushikamana...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…