Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Nianze na salamu za mwaka huu wa 2024 kwa wanajukwaa wote,nilibanwa kidogo na shughuli nyingi mwaka huu ila sasa nimerudi tena jukwaani. Tunaanza; Tambua kuwa nafsi ndiyo sehemu ya mtu iliyobeba...
65 Reactions
457 Replies
46K Views
CHIMBUKO LA FREEMASONRY KEMET. Ujuzi ni nguvu, maarifa ni nguvu na yanawakilisha kiasi kilicho patikana cha kujifunza, ambacho wa Kemet wa kale walikuwa wamefikia katika uwezo wa kutumia...
1 Reactions
3 Replies
619 Views
Habari za jioni wana JF natumaini wote humu ni wazima. Nlipokuwa naipitia uzi huu Mjue Yoabu - Jenerali Mkuu wa Mfalme Daudi, Katili na asiyeogopa chochote! - JamiiForums Mkuu Elungata aliibua...
36 Reactions
480 Replies
66K Views
natumaini wote wazima ndugu zangu wa jf intelligence, bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa husika cha mada kwanza kabisa naomba kujua kwanini injili ya barnaba...
10 Reactions
221 Replies
39K Views
I still have questions that I believe need scientific answers to prove that black people are truly humans created in the image of God the creator of the universe. The level of barbarism among...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Kuna masuala ambayo kila mara lazima ujiulize maswali mengi, Kwa upande wangu nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya dini sana , mpaka nikawa mkristo mahili sana , lakin kadri muda ulivyokuwa...
21 Reactions
265 Replies
37K Views
Inaitwa Heshima, na “Resets” Zimeifuta Nililelewa katika dunia ambapo heshima haikuwa hiari, ilikuwa ndiyo msingi. Haikuwa kitu cha kuonesha pale tu unapohitaji kitu. Haikuwa hila ya...
1 Reactions
2 Replies
324 Views
SIFURI ILIYOZAA MIUNGU Hakuna mungu atakayekuokoa. Wewe ndiye chanzo chao wote. Kile ulicho hakiwezi kuokolewa. Kinachoweza kufanyika ni kukikumbuka tu. Ukweli huu hauendi kwa sauti ya...
3 Reactions
4 Replies
427 Views
Money Vs Education choose your side Money is Better Than Education or Education Is Better than Money Pesa Vs Elimu Je wewe unaona Pesa ni bora kuliko elimu Je Elimu ni bora kuliko Pesa?
0 Reactions
8 Replies
446 Views
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na...
30 Reactions
2K Replies
53K Views
Upinzani Unaodhibitiwa Mstari wa Mwisho wa Udanganyifu --- Adui Hatari Zaidi Tusiyeona Kamwe --- Wakati pazia linaanza kuinuliwa, unapaanza kuuliza maswali kuhusu mfumo, kuona kupitia...
2 Reactions
1 Replies
368 Views
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine. Mfano 'tail bone' /...
28 Reactions
428 Replies
39K Views
Mungu, Nafsi, na Uumbaji Tafsiri Mpya ya "Aliyeitwa" “Mungu” Ni Nani? Neno "Mungu", kwa kiingereza "God", linatokana na chimbuko la Kijerumani la kale, likimaanisha "aliyeitwa" au "the invoked."...
2 Reactions
4 Replies
521 Views
Mengi, This Day wamjibu Mahalu, Wasisitiza si mwaminifu, pia alidanganya. Waeleza alivyoweka fedha akaunti tofauti. Wasema kavuliwa ubalozi, ilibainika Dar na Mwandishi Wetu. MWENYEKITI Mtendaji...
1 Reactions
215 Replies
41K Views
Salute comrades NB: bandiko hili nimetumia maandiko ya biblia hata kama unaona haikuhusu nakusihi endelea kusoma unaweza pata kitu. Katika dunia yetu hii tumeona ni sentensi ya maneno kadhaa tu...
145 Reactions
432 Replies
59K Views
Kuna habari mbalimbali kuhusu huyu bwana hususan hata kuhusiana na wanyama waliotoroshwa na biashara ya wanyama kwa ujumla. Lakini sidhani kama ni miongoni mwa watu waliofikishwa mahakamani...
10 Reactions
155 Replies
32K Views
Wadau poleni na majukumu. Nimekuwa nikisoma makala mbalimbali zinazoonesha maswali kwamba, ni nani hasa mjenzi wa majengo ya Piramidi ambayo yapo kwenye nchi ya Misri. Lakini pia baadhi ya nchi...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Magofu ya Uwanja wa Baalbek, Lebanon Nchini Lebanon, eneo la Baalbek, kuna magofu ya Uwanja mkubwa wa Ndege ambao wajenzi wake hawafhamiki. Hata hivyo, hudhaniwa kuwa, ni Uwanja uliokuwa...
26 Reactions
455 Replies
77K Views
Wana wa Mungu walilala na mabinti wa wanadamu. Kulingana na Biblia, wanadamu walipoongezeka duniani, Wana wa Mungu waliona mabinti wazuri na kuwachukua kuwafanya wake zao na kuzaa nao watoto. Huo...
7 Reactions
45 Replies
17K Views
We all want to improve. We dream of becoming better, stronger, and more successful. But when it’s time to 𝐬𝐭𝐞𝐩 𝐨𝐮𝐭 𝐨𝐟 𝐨𝐮𝐫 𝐜𝐨𝐦𝐟𝐨𝐫𝐭 𝐳𝐨𝐧𝐞𝐬, we hesitate. - We want to be healthy, but we don’t want...
16 Reactions
28 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…