Tunaishi katika kizazi kilicho na:
Simu zenye akili kuliko watumiaji wake.
Mitandao ya kijamii yenye ushawishi kuliko wazazi, walimu, au viongozi wa dini.
Maarifa mengi, lakini hekima haba.
Je...
Wanajamvi:
Niwieni radhi nilibanwa na majukumu ya kuisadia nchi yetu kusonga mbele.Nilikosa kabisa muda wa kuweza kuendelea kuleta humu mijadala ambayo inahusisha mambo ambayo bado yanabeba...
Nimeangalia documentary moja nzito YouTube, ambayo inazungumzia hofu inayoongezeka Ulaya kuhusu ongezeko la watu kutoka Afrika, hususan kusini mwa Jangwa la Sahara.
Mwandishi mmoja mwenye IQ ya...
Katika kueleza makundi haya mawili ya waamini wa imani ijulikanayo kama Wakristo (maana yake wafuasi wa Yesu) kumekua bado na mzozo mkubwa hadi leo hii kuhusu mambo Muhimu sana kuhusu imani au...
GAZA MARINE; CHANZO CHA GAZA KUWA CONCENTRATION CAMPS.
Uvamizi wa Israel "Gaza" ni mpango wa siku nyingi, sio jambo la Bahati mbaya, Kinachofanyika Gaza kina Sura mbili.... Moja mkakati wa...
Kabla ya mwili na nafsi ya Mwanadamu kuumbwa kwanza iliumbwa roho ya mtu.
Mwanadamu ni kiumbe cha kiroho chenye mwili. Mwanadamu anaishi ulimwengu wa roho (Spiritual realm) na ulimwengu wa mwili...
Naam , Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Chanzo cha maarifa haya ni sheikh Sharifu Sultan, akiwa katika mfululizo wa vipindi vyake katika chaneli ya moja kwa moja ya Manara...
Kama umewahi kujiuliza Ufunguo Mdogo wa Sulemani ulionekanaje, hizi hapa ni kurasa za uchanganuzi wa mojawapo ya matoleo ya maandishi ya kitabu. Kama unavyoona hapa, matoleo ya awali yalikuwa hati...
jamani naoma mnipe data zaidi ya huyu jamaa anayejiita mwanamboka maana mm namuona ona tu sijui anafanya shghuli gani ila nasikia kuwa ni mmoja kati ya matajiri sana tz ss kama kuna mtu anamjua...
Habari gani wakuu?
Kama kinavyo jieleza kichwa Cha uzi hapo juu kwamba...
Kama ilivyo kwa gali mpya uinunuapo Basi lazima utapewa tool box ambayo itakuwa na vifaa vyote mhimu kwa ajili ya...
In Christendom ,many Christians have been believing that Jesus whom they call Christ was a historical figure and was the Son of Man.my discussion aims at exploring into the hidden identity of...
Kwanza nimekuja jukwaa hili bila shaka ndipo munapopatikana.
Kwaiyo nimekuja ili nipate elimu ya kutosha kutoka kwenu.
Bi maana binafsi najijua kuwa;
1; Mimi ni binaadam.
2; Nimetokana na Adam...
Niwaslimu ndugu zangu na tuendelee kuuipa akili kazi.
Kuna TOFAUTI kati ya jibu na jawabu ,jibu ni maoni ya MTU kwa KADRI ya taarifa alizonazo na JAWABU ni uhalisia wa mambo bila kujali hali au...
"Usaliti, umbeya, hujuma, na dhuluma ni moto wa ndani unaowasha kiu ya malipizo katika nafsi za walioumizwa, si kwa sababu wanapenda kulipiza, bali kwa sababu maumivu yao yamepuuzwa kwa muda...
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.
Unakuta anaelezea maeneo ya ndani...
watu wengi hawajui kifo ni nini lakini watu wengi hawajui kuwa sasa hivi unaweza ukawa mwanaume ukafa
katika re birth ukawa mwanamke au kuku ,au jiwe au kitu chochote kile samahani kama hujui usi...
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Kila kitu nikiuliza kwa Masheikh na mapadri na wachungaji na hata katika forum mbalimbali mnanifungulia KITABU,
Ina maana Mungu alikosa njia zote za kujieleza...
Tarehe 26-May ni siku ambayo Wayahudi wanasherekea kuukomboa mji wa Yerusalem Mashariki ya kati, Wale wayahudi wenye itikadi kali hutumia siku hii kupita katika Nyumba, maduka ya Waarabu na...
Hii vita ya Urusi na Ukraine na Sasa Iran na Israel imenifanya niwaze baadhi ya mitizamo (siyo misimamo) ya wasioamini kuwa kuna Mungu.
Kwa mfano kinachowafanya wasioamini kuwa kuna Mungu...
Salaam, Shalom!!
Imeandikwa katika siku za mwisho, kutainuka ufalme/ utawala uliofananishwa na CHUMA kilichojaribu kushikamana na udongo, lakini ilishindikana kuchanganyika na kushikamana...