Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

🩺 Elimu ya Afya Leo: Usawa wa Homoni kwa Mwanamke – Hatua ya Maisha na Afya ya Mzunguko wa Hedhi 📲 IG: @hillary_officialtz ❓ Ni Nini Hormonal Imbalance? Ni hali ambapo kiwango cha homoni mwilini...
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Barani Afrika, dawa za saratani zimegundulika kuwa duni au bandia, hali inayomaanisha kuwa wagonjwa wanapewa dawa ambazo ama hazifanyi kazi au zinaweza hata kuwadhuru. Takwimu mpya zinaonyesha...
0 Reactions
3 Replies
975 Views
Watu wengi huvumilia mkojo kwa muda mrefu kutokana na sababu mbalimbali. Baadhi wanaweza wakawa katika eneo ambalo hawezi kwenda haja ndogo lakini wengine ni uzembe ambapo wengi utakuta anaangalia...
1 Reactions
11 Replies
8K Views
Habari za Asubuhi Naomba anayefahamu namna ya kufika KIBAHA hospital. Ni hospital ya serikali na kwa maelezo machache pia Ina madaktari wazuri wa macho. Binafsi natokea Tabata Kinyerezi na...
0 Reactions
5 Replies
443 Views
Una experience yoyote ya mgonjwa aliyeshawahi patwa na huo ugonjwa? Nishasikia hadithi za kusikitisha na kukatisha tamaa jinsi wakunga wetu Bongo walivyo wazembe kuwasaidia kina mama wanaoshikwa...
1 Reactions
95 Replies
81K Views
Preeclampsia ni nini? Preeclampsia ni tatizo kubwa la ujauzito ambalo linaweza kusababishwa na matatizo kadhaa madogo madogo kutokea yote kwa wakati mmoja. Unaweza kupata shinikizo la damu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wavulana wengi wamekuwa wakiathirika sana na tatizo hili la kujichua, hasa wanapokuwa katika shule na vyuo, mchezo huu wa kujichua wamekuwa wakiutumia sana. Sababu kuu inayopelekea kujichua ni...
10 Reactions
96 Replies
9K Views
Wakuu Jana nimekutana na dem yupo bleed, Maswali 1. Je naweza kupata risk gani kwa zile damu zake ? 2. Anaweza kupata mimba akiwa kwenye hali ya ku bleed? 3. Vipi kuhusu possibility ya kupata...
3 Reactions
25 Replies
852 Views
Audio: UKIMWI: Hali na Tahadhari Chanzo: Aise wakuu UKIMWI ni noma Habari Wakuu. Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story...
4 Reactions
12 Replies
804 Views
ULTRASOUND NI NINI ? : Imeandaliwa na: Hillary Francis Ndeng'aso | Radiology Technologist | Mtaalamu wa Mionzi | Health Educator | Elimu muhimu kuhusu Ultrasound teknolojia salama na isiyo na...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Habar wakuu nauliza.. je Kuna madhara yoyote kwa mtoto wa miaka9 kufanya x ray ya mgongo mara mbili ndani ya siku mbili katika hospital tofaut kama mzazi unataka kuhakikisha maradhi ya mtoto...
1 Reactions
6 Replies
675 Views
Wakuu habari!,nimehamia makazi mapya huku mbezi, lkn toka niingie kwenye hii nyumba tabu tupu, karibu kila Siku lazima tuue tandu. Msaada wenu wadau kwa ajili ya tahadhari. Nasikia mdudu tandu...
1 Reactions
40 Replies
53K Views
Wadau: Kila siku asubuhi nikiamka mgegedo wangu huwa unasimama hadi unakuwa mgumu sana halafu unauma sana, Hali hiyo hudumu kwa takribani dakika arobaini hivi halafu inaondoka, dawa Yake ni...
0 Reactions
77 Replies
15K Views
Ni ulemavu unaotokana na mabadiliko ya vinasaba (DNA code) ambapo baadhi ya code au nitrogenous bases zinaundoshwa na kuwekwa zingine hii kwa ulibinism husababishwa na vichocheo kushidwa kusapot...
0 Reactions
1 Replies
275 Views
Mwayo ni tendo la kufungua mdomo kwa mapana na kuvuta pumzi ndefu polepole, mara nyingi likifuatwa na kutoa sauti ya kawaida. Ni tendo la hiari au lisilo la hiari ambalo hutokea kwa watu na hata...
1 Reactions
4 Replies
349 Views
Hello wanajukwaa, nimekuja ndugu yenu ninahitaji msaada wenu. Mume wangu anasumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa miaka sasa na ameshatumia dawa za kila aina. Changamoto ya sasa anasema anapata...
0 Reactions
6 Replies
753 Views
Chafya ni mfumo wa ulinzi wa mwili kusaidia kuweka njia ya hewa safi. Tunapiga chafya kwa sababu mwili unajaribu kuondoa vitu visivyotakiwa kwenye pua au njia ya hewa, kama vile: 1. Vumbi...
0 Reactions
4 Replies
477 Views
Wakuu Ni Wiki 2 Sasa Koo Langu Liko Ambushed Kwa Fangasi Msaada Kwa Wale Wahanga Na Wazoefu Wa Yale Mambo!...... Mnatumiaga Mbinu Gani Kurecover?
1 Reactions
57 Replies
35K Views
..
1 Reactions
5 Replies
323 Views
Wakuu habari ya wakati huu. Naombeni ushauri au anayejua tiba ya uume kusinyaa kabla ya tendo la ndoa. Limekuwa tatizo ambalo linanipa mawazo sana. Msaada tafadhali
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…