Msaada kufika hospital ya KIBAHA ya serikali

Msaada kufika hospital ya KIBAHA ya serikali

delako

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
3,039
Reaction score
2,125
Habari za Asubuhi

Naomba anayefahamu namna ya kufika KIBAHA hospital.

Ni hospital ya serikali na kwa maelezo machache pia Ina madaktari wazuri wa macho.

Binafsi natokea Tabata Kinyerezi na mpaka muda huu nimeshaanza safari now nipo Malamba Mawili so Maelekezo yaanzie Mbezi Stand

Naomba kuwasilisha
 
Habari za Asubuhi

Naomba anayefahamu namna ya kufika KIBAHA hospital.

Ni hospital ya serikali na kwa maelezo machache pia Ina madaktari wazuri wa macho.

Binafsi natokea Tabata Kinyerezi na mpaka muda huu nimeshaanza safari now nipo Malamba Mawili so Maelekezo yaanzie Mbezi Stand

Naomba kuwasilisha
Hapo mbezi kuna daladala zinafika mpaka hospitali inaitwa Tumbi panda hizo
 
Hapo mbezi kuna daladala zinafika mpaka hospitali inaitwa Tumbi panda hizo
Thanks mkuu, kumbe nilikosea hospital ni ya binafsi na inaitwa MEDEWELL ni Maarufu kwa jina LA hospital ya Macho KIBAHA..
Nimeshafika Nashukuru sana
 
MEDEWELL au WIPERS ukifika Kiluvya Madukani ukiulizia utaelekezwa ilipo.
 
Thanks mkuu, kumbe nilikosea hospital ni ya binafsi na inaitwa MEDEWELL ni Maarufu kwa jina LA hospital ya Macho KIBAHA..
Nimeshafika Nashukuru sana
Mbona umeacha hospital hapo Tandika ya macho, ndugu wa hao medwell
 
Back
Top Bottom