Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

karibu tufanye biashara.
1 Reactions
7 Replies
287 Views
Habarini wapendwa, naombeni msaada wenu, kipindi cha nyuma mimi niliwahi kusumbuliwa na tatizo la umeng'enyaji chakula, nilikuwa najisaidia choo kigumu sana, nikaambiwa na doctor kuwa nina tatizo...
5 Reactions
51 Replies
5K Views
If you’re bothered by how much you sweat, you’ve likely tried many different brands of deodorant with no success. Excessive underarm sweating can be uncomfortable, but it doesn’t have to be...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari, Nimeleta huu mjadala kwa kuwa hofu imejengeka miongoni mwetu hasa linapokuja suala la kunywa mchanganyiko wa asali na limao. Wakati nina kua nilipata kusikia haya na ilifika wakati nikila...
1 Reactions
12 Replies
868 Views
Jana nilienda hospitali moja kubwa hapa jijini Dar.Nilikuwa nasumbuliwa na homa ikiambatana na maumivu ya mara kwa mara ya tumbo.Kwa maelezo ya Dr. ilibidi aniandikie kipimo flani hivi kinaitwa...
13 Reactions
100 Replies
30K Views
Habari za humu wataalam, kwa muda mrefu ninasumbuliwa na maumivu eneo la moyo(kifuani upande wa kushoto) yakielekea upande wa nyuma kwenye bega. Maumivu hayo sasahivi yanafika hadi shingoni.
7 Reactions
78 Replies
41K Views
Nimeshuhudia mwenyewe initial costs nearing 900,000 Tsh. Bado vikoromboizo vingine. Kweli "wanyonge" wa magufuli wataweza? Main bussiness ni kukaa madarakani na Tupo Mlimani city kutakatisha...
0 Reactions
3 Replies
327 Views
Habari wakuu Mzee wangu umri miaka65,alianza kuuma sana korodani zote na nyonga na mapaja,korodani moja limejaa limevimba ukubwa wa ngumi Sasa baada yakumfikisha hospital imeonekana vipimo...
5 Reactions
3 Replies
393 Views
Ndugu Zanguni Poleni Na Majukumu . Nimekuja hapa kwa ajili ya ushauri wenu ,atakaenibeza Mungu amsamehe . Nimewahi kuwa kwenye mahusiano na dada mmoja mzuri . Siku ya kwanza wakati nashiriki...
6 Reactions
61 Replies
3K Views
Natoa Sadaka kwa maexpert wangu,mwenye kusumbuliwa na UTI Sugu achukue mahindi mabichi akatekate achanganye na limao lililo katwa katwa kisha achemshe Ukipoa huo mchanganyiko aweke kwenye chupa...
8 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu, Zipo kampuni nyingi zinazotoa huduma za Bima ya Afya nchini lakini zote zina mazuri na kasoro zake. Mjadala huu unalenga kuzichambua kampuni hizo na kuangalia packages walizo nazo...
0 Reactions
180 Replies
67K Views
Habari wana Jf, naombeni msaada nina mtoto wa miezi saba na nilisafiri nje ya nchi kwa siku tano yeye nilimuacha sababu nilimkamulia alikua na stock ya maziwa ya kumtosha hizi siku zote. Ila toka...
4 Reactions
22 Replies
951 Views
Ni takribani wiki sasa inapita napatwa na dalili hizi 1. Muwasho sehemu za siri kwenye uume na pumbu zinapata zinapata vipele flani havijai maji ila nikivikuna vitamu sana nasikia raha sana mpaka...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama unapambana na uzito mkubwa au unataka kulinda mwili wako usiongezeke, kuna njia rahisi na salama unayoweza kuanza leo. Soma kwa makini maelezo haya, hasa kama unataka kuondoa kitambi na...
0 Reactions
0 Replies
435 Views
Mtoto kuzaliwa na korodani moja ni hali ambapo mtoto ana korodani moja tu iliyoshuka kwenye mfuko wa korodani (scrotum), wakati korodani nyingine inaweza kuwa haijashuka (undescended), haipo, au...
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Wakuu habari, nilienda hospitali, Ila doctor nilivomuelezea kuwa nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo , walifanya x ray, ila haoni kitu, nikapewa dawa za maumivu nitatumia 2 weeks, akasema...
5 Reactions
74 Replies
4K Views
Wasalaam Sana wajumbe. Kumekuwa na dhana iliyojengeka miongoni mwa wanajamii kuhusu ugonjwa wa Urinary Track Infection UTI ambao unawakumba watu wengi nyakati hizi bila kujali umri wala mazingira...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Kwa takribani miezi miwili sasa nimekuwa nikijihisi tofauti. Mapigo ya moyo wangu yamekuwa yakienda kwa kasi. Leo nikaamua kwenda hospitali kupima. MAJIBU:- * Blood Pressure = 165/110 * Uzito...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari, kama Kuna mtu anafahamu hospital nzuri Mbeya yenye wataalam wa magonjwa ya ngozi au kama unamfahamu dermatologist hapa Mbeya unisaidie kuniunganisha nae. Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
490 Views
Habari zenu, Naomba mnisaidie hili wakuu, mtoto kukojoa mara kwa mara kidogo kidogo inaweza kuwa tatizo ni nini?
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Back
Top Bottom