namba moja tuu
Senior Member
- May 4, 2017
- 162
- 142
Ni takribani wiki sasa inapita napatwa na dalili hizi
1. Muwasho sehemu za siri kwenye uume na pumbu zinapata zinapata vipele flani havijai maji ila nikivikuna vitamu sana nasikia raha sana mpaka natoka michubuko.
2. Muwasho matakoni karibia na msingi najikuna sana mpaka matako yamechubuka.
3. Muwasho baadhi ya sehemu za mwili sehemu hizi nikijikuna nasikia raha pia ila zinatengeneza wekundu kama damu kuivilia au nimetembelewa na mdudu.
Historia kimatibabu.
Nimepima magonjwa ya zinaa, HIV vyote sina nikatumia dawa BBE ya kupaka ya ukurutu ilipungua kiasi ila muwasho uliobaki ndo kama huo nilioeleza hapo juu naombeni msaada wenu wana jamvi madaktari najikuna mpako uume unachumbuka.
Nawasilisha kutoka kwa mdau.
1. Muwasho sehemu za siri kwenye uume na pumbu zinapata zinapata vipele flani havijai maji ila nikivikuna vitamu sana nasikia raha sana mpaka natoka michubuko.
2. Muwasho matakoni karibia na msingi najikuna sana mpaka matako yamechubuka.
3. Muwasho baadhi ya sehemu za mwili sehemu hizi nikijikuna nasikia raha pia ila zinatengeneza wekundu kama damu kuivilia au nimetembelewa na mdudu.
Historia kimatibabu.
Nimepima magonjwa ya zinaa, HIV vyote sina nikatumia dawa BBE ya kupaka ya ukurutu ilipungua kiasi ila muwasho uliobaki ndo kama huo nilioeleza hapo juu naombeni msaada wenu wana jamvi madaktari najikuna mpako uume unachumbuka.
Nawasilisha kutoka kwa mdau.