Ngoja tusubili wataalam wajeHabari za humu wataalam,
kwa muda mrefu ninasumbuliwa na maumivu eneo la moyo(kifuani upande wa kushoto) yakielekea upande wa nyuma kwenye bega.Maumivu hayo sasahivi yanafika hadi shingoni.
Asante Sana lakini nina miaka minne na hili tatizo.1. Heart Attack (blockage of blood flow)
2. Angina (mzunguko wa damu kuelekea kwenye moyo ume slow down)
Nenda hospitali, 80% ya dalili kama hizo ni heart related problems. Wahi hospitali ukafanye vipimo fasta. Sio ya kuzembea hiyo
Hata Mimi ilikaa mda sikwenda hospital, hadi presha ilipopanda nikawa siwezi kuongea wala kutembea nikakimbizwa hospital. Wahi hospital tafadhali mkuu, Mimi hadi ndani ya miguu kwenye mfupa nilikuwa naskia maumivu kama yanatembea.Asante Sana lakini nina miaka minne na hili tatizo
Ulitumia kwa muda gani Hadi ukaponaHata Mimi ilikaa mda sikwenda hospital, hadi presha ilipopanda nikawa siwezi kuongea wala kutembea nikakimbizwa hospital. Wahi hospital tafadhali mkuu,Mimi hadi ndani ya miguu kwenye mfupa nilikuwa naskia maumivu kama yanatembea
Heart AttackHabari za humu wataalam,
kwa muda mrefu ninasumbuliwa na maumivu eneo la moyo(kifuani upande wa kushoto) yakielekea upande wa nyuma kwenye bega.
Maumivu hayo sasahivi yanafika hadi shingoni.
Ni vidonda vya tumbo na si moyo.Nasikia hata vidonda vya tumbo vina dalili kama hizi,
Mkuu sjapona, niliumwa december mwaka juzi hadi sasa nahisi sipo kwenye 18.Ulitumia kwa muda gani Hadi ukapona
Mkuu nenda hospitali niliwahi kusumbuliwa na maumivu kama hayo kwenda hospitali nikakutwa ni tatizo la vidonda vya tumbo kwa juu.Asante Sana lakini nina miaka minne na hili tatizo
Duu yaan two years hujapona? Je, nafuu umepata, na hakuadhiri kwenye kazi zako?Mkuu sjapona, niliumwa december mwaka juzi hadi sasa nahisi sipo kwenye 18.
Duu yaan two years hujapona?? Je nafuu umepata, na hakuadhiri kwenye kazi zako???