Kulingana na shirika la habari la Kan (shirika la umma la Israel) na vyanzo vya Jordan vilivyo karibu na wafanya maamuzi, Mfalme Abdullah alikataa ombi la hivi karibuni la Netanyahu baada ya Amman...
Utawala wa Trump unalenga kuhakikisha kuwa nchi washirika ambazo ni tajiri na zinafaidika moja kwa moja na usalama wa njia za biashara na nishati, zinachukua wajibu wa moja kwa moja wa kugharamia...
Bunge la Knesset la Israeli lapigia Kura kuidhinisha Adhabu ya Kifo kwa Magaidi
Licha ya wasiwasi mkubwa kutoka kwa maafisa wa usalama na ukosoaji mkali kutoka Ulaya, Knesset jioni ya leo...
Muhoozi Kainerugaba, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, alisema kuwa jeshi lake linaweza kuiteka Tehran ndani ya wiki mbili — hata akapendekeza kwamba brigade moja tu ingetosha kwa operesheni...
Maelezo ya Marekani kushindwa katika vita ilivyoingizwa mkenge na Israel yametolewa na wabunge kadhaa wa majimbo tofatuti ya nchi hiyo
Katika hali hiyo Marekani chini ya raisi Trump imelazimisha...
Mkazi mmoja wa Maryland nchini Marekani anadaiwa kusubiri hadi wafanyakazi wahamiaji walipowasili kuanza ukarabati wa nyumba yake kabla ya kuwapigia simu maafisa wa Uhamiaji na Forodha (ICE)...
Jeshi la Iran limekanusha taarifa za kuwepo kwa mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran, na kuibua mashaka kuhusu mpango wa amani wenye vipengele 15 unaodaiwa kuwasilishwa na Ikulu ya...
Makamanda wanne wa IRGC wauawa huko Lebanon walijifanya waandishi wa habari kumbe ni magaidi kutoka Iran. Walikuwa huko kuwasaidia magaidi wa Hezboullah.
Niaje waungwana
Baada ya wazungu kufanikiwa kuwaweka watu wao pale mashariki ya kati (Palestina + Israel), Plan ya pili ilikuwa ni kuwasaidia watu hao kujitanua kutoka nchi moja kwenda nchi...
Wadau hizo ni tetesi kwa mujibu wa vyanzo kadhaa tuvute subira tuone hatima. Mhusika ni mhafidhina mkubwa aliyeamua kubadili gia angani baada ya kuona fursa Mchakato umesalia mdogo kabla ya...
Wapiganaji wa Hezbollah wameonesha uwezo mkubwa kwenye uwanja wa vita. KiryatShmona imekwenda na maji
Hezbollah takes the town of Kiryat Shmona in ISRAEL
This is the first time in its history...
Katika Hali iliyotarajiwa ya kulipa kisasi baada ya marekani na Israel kushambulia viwanda vya chuma huko Iran. Muda mfupi uliopita Iran imefanya shambulizi na kulenga eneo la viwanda kusini mwa...
Katika uvamizi uliolengwa na vikosi vya Shayetet 13, vinavyofanya kazi kama sehemu ya kikosi kazi cha Givati Brigade, mamia ya silaha zapatikana ndani ya shule katika kijiji kusini mwa Lebanon...
Iran imethibitisha kifo cha kamanda wa Jeshi la Wanamapinduzi wa Kiislamu (IRGC) kitengo cha wanamaji, Alireza Tangsiri.
Katika taarifa iliyotolewa na IRGC na kurushwa na shirika la habari la...
Wanajeshi wa IDF wamefika Mto Litani nchini Lebanon kama sehemu ya kampeni inayoendelea dhidi ya Hezbollah. Katika baadhi ya maeneo, wanajeshi walisonga mbele kilomita nane hadi kumi ndani kabisa...
04 February 2024
Dakar, Senegal
RAIS WA SENEGAL AFANYA MAPINDUZI YA 'KIKATIBA' KWA KUFUTA UCHAGUZI MKUU
Rais wa nchi tulivu iliyokwepa Mapinduzi ya kijeshi ya Africa Magharibi ya Senegal imeigia...
Public hearings on the proposed Constitution of Zimbabwe Amendment No. 3 Bill have commenced across Zimbabwe, opening a critical phase in what is shaping up to be one of the most far-reaching...
Ndoto ya “Israel Kubwa”: Kutoka Gaza Hadi Nchi Nne za Kiarabu
Kwa muda mrefu, baadhi ya watu walidhani kuwa uvamizi wa Israel dhidi ya Gaza ulikuwa ni operesheni ya kijeshi yenye malengo ya muda...
Wadukuzi wa kundi lijulikanalo kwa jina la "Handala Hack Team" wamefungua akaunit binafsi ya barua pepe ya mkurugenzi wa FBI bwana Kash Patel na kuianika barua pepe yake pamoja na picha zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.