Jumanne, Machi 31, 2026, mnamo saa 3:23 usiku (9:23 PM)
“Ndugu zangu, wananchi wa Israel, katika mkesha wa Sikukuu ya Uhuru, Israel iko imara kuliko wakati wowote. Dunia nzima inasikia sauti yetu...
Benjamin Netanyahu katika taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu Iran, Hapa kuna mambo MUHIMU ZAIDI:
-"Natumai naweza kukuambia kuhusu miungano muhimu hivi karibuni".
-"Utawala wa Iran unatarajiwa...
Mapema wiki hii (Jumatano), magaidi wa Hezbollah waliokuwa na silaha waliwakaribia wanajeshi wa IDF wa Kitengo cha 91 na wakaangamizwa. Zaidi ya hayo, wanajeshi walipata silaha nyingi, ikiwa ni...
Siku mbili zilizopita, gaidi wa Hezbollah Abbas Awala alionekana katika moja ya video za Hezbollah akiendesha kifaa cha kurusha roketi huku akiwa amevaa sanda ya mazishi, tayari kwa kifo chake...
Anaandika Gideon Rachman (Myahudi), Mhariri mkuu wa masuala ya nje wa jarida kubwa duniani, The Financial Times kwamba:
Endapo malengo ya Marekani hayatatimia, basi hii vita ikiisha nchi ya Iran...
Iran imetangaza kuanza kushambulia makampuni binafsi ya raia wa Marekani ambayo yana ofsi ukanda wa mashariki ya kati,kampuni hizi ni kama Microsoft, Google, Nvidia, Tesla, n.k.
Wameshindwa...
Jenerali Mohammad Ali Fath Alizadeh kamanda wa kitengo maalum cha vikosi vya Al-Fatehin wa vikosi vya Basij, aliuawa katika shambulio la Israeli. Alizadeh pia alikuwa naibu kamanda wa vikosi vya...
Habari za wakati huu Wana-JF,
Kufuatia mabadiliko ya bei za nishati duniani, Serikali ya Zambia imechukua hatua za dharura kunusuru uchumi wake. Kuanzia tarehe 1 Aprili, 2026, serikali hiyo...
Waziri wa Ulinzi wa Israeli Katz: amesema;
"Wakazi 600,000 wa kusini mwa Lebanon ambao wamehamishwa hawataruhusiwa kurudi hadi usalama wa wakazi wa kaskazini mwa Israeli utakapohakikishwa. Nyumba...
Mjumbe hauwawi,
General James Mattis amekiri kwamba Marekani ina nguvu sana kijeshi. Huu ni ukweli usipingika.
Lakini kasema kulipua shabaha zaidi ya 15,000 bila kutimiza malengo ya vita au...
Serikali ya Ghana imepiga hatua kubwa katika teknolojia baada ya kuunganisha mfumo wa pochi ya kielektroniki (Digital Wallet) kwenye Kitambulisho cha Taifa (Ghana Card), hatua inayomwezesha...
Maandamano makubwa dhidi ya utawala wa Trump yamefanyika katika miji mbalimbali kote Marekani, yakionyesha duru ya tatu ya maandamano ya “No Kings” ambayo hapo awali yalivutia mamilioni ya watu...
Public hearings on Zimbabwe’s Constitution Amendment Bill No. 3 (CAB3), which proposes fundamental changes to presidential terms and electoral processes, have been marred by violence...
‼️WAZIRI MKUU NETANYAHU AAHIDI USHIRIKIANO WA MOJA KWA MOJA NA SAUDI ARABIA NA NCHI ZINGINE ZA KIARABU!!!!!
Netanyahu: Mipango ya baada ya vita inajumuisha ushirikiano wa nishati na kiuchumi na...
https://youtu.be/aVbfiVTauiM?si=abCE4bBfVPTI561e
Ujumbe ndio huo swali hapa Atafanya kitu gani akingia vita hahaha ikiwa USA na Israel wamemshindwa Iran iwe Saud Arabia.
Walicho kipika USA na...
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa anafikiria kwa kina kuiondoa Marekani kutoka kwa Muungano wa NATO baada ya washirika wa muungano huo kushindwa kuunga mkono hatua ya kijeshi za Marekani...
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba ameeleza namna Serikali kupitia wizara zake kuandaa mikakati itakayowezesha wajasiriamali kunufaika na Mashindano ya AFCON...
Serikali ya Namibia kupitia Waziri wa Nishati na Madini, Modestus Amutse wamepunguza kodi ya Mafuta kwa asilimia 50 ili Makampuni yasipandishe bei ambapo itaumiza Wananchi, Amutse ametoa tangazo...
Vyombo vya habari nchini Israel, vikinukuu afisa mmoja wa serikali, vimeripoti kuwa Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Alireza Tangsiri ambaye...
Biden alianza kwa kuizua Russia kutumia Swift payment system ilikua ni sawa na Marekani kuikalia kisu Sasa iv Iran kaikataa Dola kwenye biashara yake ya mafuta anataka Yuan hapo Marekani imekalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.