Kama njia ya kulipiza kisasi kwa kitendo cha Iran kuzuia meli za baadhi ya mataifa kupita kwenye mkondo wa bahari wa Hormuz, tangu jana majira ya saa 4 asubuhi, Jeshi la Marekani limeweka zuio la...
Rais wa Marekani Donald Trump alifanya mkutano wa usalama wa faragha leo na Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi wa Pamoja, Jenerali Dan Caine na Katibu wa Vita, Pete Hegseth.
Chanzo cha habari cha...
Seneta Lindsey Graham alisifu vizuizi hivyo kwa kuidhoofisha uchumi wa Iran na akataja mashambulizi ya IRGC dhidi ya meli kuwa ishara ya kukata tamaa. Alimtaka Rais Trump achukue udhibiti wa...
Irani ipo kwenye migogoro kwa Viongozi wao wakuu na kusababisha kutoelewana kwa Viongozi
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amekuwa akitaka utulivu na kutaka makubaliano yafanyike hataki vita kwa...
Wakati wa mazoezi ya sherehe ya kuwasha mwenge wa Siku ya Uhuru, Rais wa Argentina akiimba kwenye onyesho la zoezi hilo.
Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuwashwa na Rais huyo wa Argentina siku ya...
Meli zinazotaka kupita Hormuz masharti ni ziwe kutoka nchi rafiki ambazo hazikuiunga mkono Marekani au Israel dhidi ya Iran.
Na ni lazima zilipe ada kwa sarafu ya Kichina (Yuan) au crypto kabla...
Ziara ya angani kutumia Drone huko Bint Jbeil -Lebanon kusini. ngome ya Hezbollah huko Lebanon, inaonyesha mji huo baada ya IDF kufanya Ukarabati mdogo huko.
Kifaru cha IDF kinaweza kuonekana...
Kwa muda mrefu Papa mkuu wa kabisa katoliki duniani "Pope Leo" ambaye ni Mmarekani amekuwa mstari mbele kukemea mauaji na vita mbalimbali zinaondelea duniani mfano Gaza alikemea Hamas, mauaji...
Wanaukumbi.
Marekani imekubali kuachilia mali za Iran zilizozuiliwa zilizoshikiliwa Qatar na benki zingine za kigeni, chanzo kikuu cha Iran kiliambia Reuters Jumamosi, kikielezea hatua hiyo kama...
Nafuatilia hali ya Iran, sidhani kama Iranian regime inaweza ika survive kwa masaa 48 yajayo kutoka sasa.
Police wa Iran wamegoma kupokea orders za IRGC.
Reza Pahlavi, ambaye ni crown prince wa...
Uingereza imesisitiza hivyo baada ya Iran kuomba mazungumzo kuwa wabadilishane meli kila pande iliyoteka,
"We are not going to barter: if people or nations have detained UK-flagged illegally then...
Iranian navy took a British ship named STENA IMPERO as hostage. I'm seeing her with my eyes, she's 12 miles away from me. I'm hearing whole conversations in VHF between Iranian navy and British...
IRAN WAR - THE MOST POWERFUL BUSINESS EMPIRE IN THE WORLD WAS BUILT UNDER SANCTIONS
(You'll love reading this, don't miss it.)
In 1979, a revolution happened in Iran.
The new government needed...
Rais Donald Trump amesema hatua za Iran katika Mlango-Bahari wa Hormuz ni 'ukiukaji kamili' wa usitishaji vita, akiongeza kuwa wajumbe wa Marekani wanaelekea Pakistan kwa mazungumzo na kuonya...
Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa...
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will.
Hii ilikuwa zaidi...
Naona haijaanza kutumia yale makombora yake ya masafa marefu mpaka sasa. Inasubiri nini? Marekani imeharibu sana Iran.
Iran ya sasa inatembea kwa magongo, inachechemea. Siyo Iran ya miezi 10...
Wakati vita inaendelea kuna mchezo hajaangizwa macho vya kutosha. Na kupitia mchezo huu baada ya vita mashariki ya kati itabadilika.
Ni miaka kadhaa pamekuwepo na mbinu za Israel kuziaminisha...
Esmaeil Qa'ani, kamanda wa Kikosi cha Quds cha Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, amewasili Baghdad na amepangwa kukutana usiku wa leo na viongozi wa makundi ya Washia kujadili kutatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.