International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Wadau hamjamboni nyote? Mteule huyo aliyekuwa amestaafu ni rubani wa ndege za kijeshi na amewahi kukaimu nafasi ya mkurugenzi Mkuu CIA Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Today, I am...
2 Reactions
1 Replies
437 Views
Wadau hamjamboni nyote? Jenerali CQ Brown muda wake wa kuhudumu akiwa Mkuu wa.majeshi unaisha mwaka 2027 Ametumbuliwa akiwa kwenye ziara ya kikazi kusini mwa marekani na taarifa amezipata...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Baadhi ya MAGAIDI walioachiwa hivi karibuni kutoka kwenye magereza ya Israel leo waliweza na kufanikiwa kupachika vilipuzi kwenye mabasi 5 ambayo yalikuwa yamepark katika sehemu mbalimbali nchini...
13 Reactions
58 Replies
3K Views
Mheshimiwa Kagame ameitaka SADC (yenye wanachama 16 ikiwamo Afrika Kusini) ikae mbali na DRC maana hayawahusu. **Kagame anaongea Kama Nani? Msemaji wa DRC? -- FOLLOWING a recent threat of...
4 Reactions
68 Replies
5K Views
Chuo kikuu kikongwe zaidi duniani ambacho kinaendelea kutoa elimu ni kile kilichopo barani Afrika, nchini Morocco na ambacho kilianza msikitini(masjid) na kuendeshwa kwa mfumo wa madrasa. Chuo...
12 Reactions
144 Replies
6K Views
Baada ya Viongozi wa Africa kufanya vikao vyao vya kunywa kahawa Dar es Salaam na Zimbabwe huku wakipiga picha kwa mbwembwe bila kuupatia suluhisho la kudumu Mgogoro wa Congo naona wazungu...
1 Reactions
4 Replies
631 Views
Mara baada ya kuapishwa alitishia kuimiki Green Land na mfereji wa Panama huku akiwatishia amani Canada na Mexico zinazopakana na Marekani. Kwa upande wa Palestina amewatishia amani vibaya...
0 Reactions
2 Replies
319 Views
Trump calls Zelensky a 'dictator' as he hits back at 'disinformation' criticism Watch live Advertisement Summary Donald Trump launches a fresh attack on Ukrainian President Volodymyr Zelensky...
5 Reactions
92 Replies
5K Views
Trump baba unajua, unajua sana. Hongera zako! Kaza hivyo hivyo mpaka tuseme! Mwenye email ya Trump aiweke kwenye comment, kuna jambo nataka nimwambie. 🥱 Uzi tayari!
18 Reactions
67 Replies
3K Views
Pichani, ni magari ya kivita na siraha nzito. Zilitelekezwa na jeshi la Congo, na kwa sasa ni mali ya M23. Hakika na serikali ya DRC ni mmoja wa wafadhili wakubwa wa M23. Pamoja na vifaa hivyo...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
.. ..maiti wamekuwa wengi mno, askari wa vyeo vya chini wanazikwa katika mass graves huko DRC. ..miili ya maofisa inayorudishwa Rwanda ina hali mbaya ya kutisha, familia zinalazimishwa kuzika...
22 Reactions
187 Replies
12K Views
Toka kiongozi mpya wa Marekani aingie madarakani, ameonyesha ulafi wa rasilimali za nchi zingine / Lakini si kwa namna hii. ---------- The White House says Pres. Trump is "very frustrated" with...
0 Reactions
7 Replies
726 Views
Musk, DOGE yake na Trump wanatimua kazi wafanyakazi wa umma mpaka wanasahau wanapitiliza inabidi wawatafute kurudi kazini tena🤣!
2 Reactions
4 Replies
556 Views
Africa is increasingly becoming a dumping ground for the European Union’s over 200 banned pesticides. Despite being prohibited in Europe, these toxic pesticides are still exported, with 10%of them...
2 Reactions
3 Replies
673 Views
Bado nasimamia kwamba Trump na Netanyahu wamechanganyikiwa kuhusiana na wapalestina na hasa Hamas. Wanapenda na wangetamani vita vingekwisha na kutangaza ushindi.Jambo hilo ni gumu kwa sasa na...
5 Reactions
8 Replies
737 Views
Common sense has finally prevailed. Diplomatic ties restored between the US and Russia Hal Turner World Russian President Vladimir Putin has announced the restoration of Diplomatic Ties between...
0 Reactions
6 Replies
589 Views
Wiki ya kwanza tu baada ya kurejea Ikulu, Rais wa Marekani Donald Trump aliharakisha usafirishaji wa shehena ya mabomu 1,800 aina ya MK-84, kila moja likiwa na uzito wa tani moja, mabomu hayo...
7 Reactions
57 Replies
3K Views
Kushabikia Wayahudi au Waislam katika vita hivi ni matokeo ya ujinga wa maarifa. Wayahudi na waislam wote hawamjui Yesu. Wananyozidi kuuana wanaongeza idadi ya watu wa jehanam. Mkristo unatakiwa...
7 Reactions
66 Replies
3K Views
18 February 2025 Katika mahojiano na msemaji wa AFC /M23 Bw. Lawrence Kanyuka amewataka ujumbe wa EAC na SADC watembelee maeneo yaliyokombolewa na waasi Lawrence Kanyuka...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Pichani, ni aliekuwa kiongozi wa kundi la wapiganaji TWIRWANEHO(TUJIRINDE), la wanyamulenge huko Kivu kusini. Ameuwawa akiwa na wenzie wa 5,wanaosemekana kuwa walinzi wake, katika shambulio la...
8 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom