18 February 2025
Katika mahojiano na msemaji wa AFC /M23 Bw. Lawrence Kanyuka amewataka ujumbe wa EAC na SADC watembelee maeneo yaliyokombolewa na waasi
Lawrence Kanyuka
View: https://m.youtube.com/watch?v=FwWbbi-Ybms
ili kujionea ukweli wa masuala ya utawala bora, usalama na ulinzi ulivyodumishwa baada ya M23 kuchukua maeneo kutoka majeshi ya FARDC, na maeneo ambayo bado yapo chini ya serikali ya Tshisekedi ni mbaya kwa kuwa utawala Kinshasa unaendekeza ukabila, uporaji na mauaji amesema msemaji huyo wa AFC / M23
An exclusive interview with AFC/M23 Spokesperson Lawrence Kanyuka
In an Interview with The New Times in Bukavu, AFC/M23 Spokesperson Lawrence Kanyuka said the rebel group has integrated government soldiers who surrendered in North Kivu into its army.Kanyuka also asked EAC and SADC countries to "come and see what's happening on the ground" in eastern DR Congo and "to see how Tshisekedi is killing this country."
Katika mahojiano na msemaji wa AFC /M23 Bw. Lawrence Kanyuka amewataka ujumbe wa EAC na SADC watembelee maeneo yaliyokombolewa na waasi
Lawrence Kanyuka
View: https://m.youtube.com/watch?v=FwWbbi-Ybms
ili kujionea ukweli wa masuala ya utawala bora, usalama na ulinzi ulivyodumishwa baada ya M23 kuchukua maeneo kutoka majeshi ya FARDC, na maeneo ambayo bado yapo chini ya serikali ya Tshisekedi ni mbaya kwa kuwa utawala Kinshasa unaendekeza ukabila, uporaji na mauaji amesema msemaji huyo wa AFC / M23
An exclusive interview with AFC/M23 Spokesperson Lawrence Kanyuka
In an Interview with The New Times in Bukavu, AFC/M23 Spokesperson Lawrence Kanyuka said the rebel group has integrated government soldiers who surrendered in North Kivu into its army.Kanyuka also asked EAC and SADC countries to "come and see what's happening on the ground" in eastern DR Congo and "to see how Tshisekedi is killing this country."