International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

If war is what the U.S. wants, be it a tariff war, a trade war or any other type of war, we’re ready to fight till the end...
9 Reactions
56 Replies
3K Views
Amani ya ulaya Sasa kulindwa na ulaya pasipo wahuni kutoka Marekani. Viongozi wa ulaya wamekutana kujadili namna ya kuimarisha ulinzi na majirani zao Ukraine pasipo kuwaalika Marekani. Hii ni njia...
11 Reactions
72 Replies
4K Views
Mikutano Miwili Mikubwa ya China, ambayo ni Mkutano wa Bunge la Umma la China na Mkutano wa Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la China inafanyika hapa Beijing, na wajumbe zaidi ya 5,000 wanakutana...
1 Reactions
2 Replies
298 Views
Israel bila Marekani, si kitu huko Mashariki ya Kati. Taiwan bila Marekani, si kitu mbele ya China. Korea Kusini bila Marekani, si kitu mbele ya Kim Jong Un. Na Ukraine bila msaada wa Marekani...
26 Reactions
81 Replies
4K Views
Kwa kuwa amesema kubwa la wakubwa huenda this time around Wakapata amani ya kudumu. ---- Marekani imehimiza Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kuzingatia kuchukua hatua za...
6 Reactions
81 Replies
5K Views
Trump ni mfanyabishara makubwa, siasa zake ni siasa za kibiashara zaidi, anaifahamu kuwa Urusi ni taifa lenye mali, nguvu na technology kubwa ya Kila kitu. Anajua kuwa Urusi ni kikwazo kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hakuna nchi inayoitwa Palestina na wala haitakuwepo. Wafia dini endeleeni kushupaza mafuvu yenu na kujikombakomba kwa waarabu. ============ Mwanaume Mwarabu kutoka Saudi Arabia katika ujumbe kwa...
0 Reactions
5 Replies
504 Views
Kuna malalamiko ambao mfanyakazi kutokuwa na hatia lakini wameamua kumnyonga ambaye ambaye hata familia yenyewe imelalamika kuwa sio yeye. Imani ya wa isalamu ndio inatajawa kuwa imani yenye...
0 Reactions
5 Replies
549 Views
Viongozi wa nchi za kiarabu waliokutana huko Cairo wamesema Gaza itajengwa kwa plani nzuri waliyokwisha kuibuni wakati wapalestina hao wakiwa humo humo ndani. Raisi Elsisi ambaye mara nyingi...
2 Reactions
17 Replies
840 Views
Wakuu, Polisi wamesema shambulio hilo lilitokea katika kituo cha basi na treni siku ya Jumatatu, ambapo "mshukiwa alidungwa risasi na mlinzi wa usalama na raia aliyekuwepo eneo hilo." Taarifa ya...
7 Reactions
113 Replies
4K Views
Wakuu, kwa miaka mingi tuliambiwa maamuzi yoyote pale USA ni ya taasisi na si mtu mmoja. Kwamba katiba yao ndio inaamua, kwamba hata akija Rais kichaa anaongoza maana yeye si mtoa maamuzi pekeake...
30 Reactions
106 Replies
4K Views
Wanaukumbi Maelfu ya waandamanaji katika miji mbalimbali ya Israeli wametaka usitishaji mapigano kati ya Israel na Hamas uendelee na mateka zaidi waachiliwe. Kadiri hatua ya kwanza ya...
4 Reactions
88 Replies
3K Views
Wakuu, Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi. Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro...
12 Reactions
112 Replies
5K Views
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu jana wakati analihutubia bunge la KNESSET alitoa kalipio kali kwa magaidi wa Hamas na akasisitiza kuwa wasicheze na moto maana watapata kipigo ambacho...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Waziri wa Ulinzi Israel Katz: "Licha ya shirika la kigaidi la Hamas kukiuka mara kwa mara na kukataa kwake mipango uliotolewa na mjumbe maalum wa Rais Trump katika Mashariki ya Kati Witkoff...
2 Reactions
8 Replies
595 Views
Ili kuwa Muisrael njia kuu na ya Uhakika zaidi kwanza ni wewe kuwa Myahudi. Kuna njia kuu mbili za kuwa Myahudi 1) Kutokana na uzao, yaani Mama yako awe myahudi. Haijalishi wewe ni atheist, au...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Rais wa Marekani, Donald Trump amehutubia Congress na amesema Rais wa Ukraine, Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy amemuandikia barua na kukubali kurudi kwenye meza ya mazungumzo kuhusu kusaini...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
04 March 2025 Kigali, Rwanda Marekani yamfukuza mfungwa wa Mauaji ya Kimbari ya Rwanda Ahmed Napoleon Mbonyunkiza 2025-03-04 Mamlaka ya Kitaifa ya Mashtaka ya Umma (NPPA) nchini Rwanda mnamo...
2 Reactions
9 Replies
941 Views
Nilikuwa namsikiliza new German chancellor akizungumza baada ya kuchaguliwa alisema "It's high time european nations should get indepence from us" Najiuliza. Je, wataweza?
2 Reactions
9 Replies
674 Views
UTANGULIZI: Mwaka 2003 Marekani ilivamia Iraq kimabavu na kumuondoa raisi wa nchi hiyo. Mataifa mengi ya Ulaya yalimuunga mkono Marekani kwamba anapambana na serikali dhalimu inayohifadhi magaidi...
14 Reactions
41 Replies
2K Views
Back
Top Bottom