International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Kutengeneza kitu kinachoitwa, A strong union and in order to do something with that solidarity, huwenda ndilo jambo gumu sana hapa Dunian Nimeshindwa kuielewa Dunia, hasa kwenye jambo hili, pale...
1 Reactions
16 Replies
686 Views
Kampuni ya akili mnemba ya Kimarekani OpenAI yaitaka serikali ya Marekani kuipiga marufuku akili mnemba Deepseek kutoka China ikiita kampuni inayopata usaidizi wa serikali na kudhibitiwa na...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Eli sharabi awafanya wajumbe wa Baraza la Usalama la UN kububujikwa na machozi ya huzuni kubwa akiwaeleza jinsi magaidi ya Hamas walivyokuwa wakiwatesa ASEMA ameshuhudoa...
1 Reactions
2 Replies
455 Views
Telegram sasa ina zaidi ya watumiaji bilioni 1 kwa mwezi, na kuwa program ya pili maarufu zaidi ya kutuma ujumbe ulimwenguni (ikiondoa WeChat, ambayo ni maalum kwa China) 🥈 Ushiriki wa watumiaji...
13 Reactions
52 Replies
2K Views
Hungary, chini ya Viktor Orbán, imekuwa ikidhoofisha umoja wa Mataifa ya Magharibi kwa uthabiti, hasa ndani ya Umoja wa Ulaya (EU) na NATO, kwa kujipendekeza kwa Urusi na kuzuia maamuzi ya pamoja...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Nchi tatu za Afrika Magharibi, Mali, Niger na Burkina Faso hivi karibuni kwa nyakati tofauti zimetangaza uamuzi wao wa kujitoa katika Jumuiya ya Francophonie (OIF). Nchi hizo ziliwahi kujulikana...
1 Reactions
2 Replies
478 Views
Hatua ya Marekani imejiri kufuatia tuhuma za ubaguzi dhidi wa Afrikaner uliohusishwa na utawala wa rais Ramaphosa kupitisha marekebisho kwenye sheria za umiliki wa ardhi na kuipa serikali mamlaka...
1 Reactions
2 Replies
334 Views
Askari wa ISRAEL sasa hivi waka katikati ya Gaza tayari kuanza kazi ya kuwanyoosha magaidi wa Hamas kama ilivyo ada askari hao wako huko kwa ajili ya kuwatokomeza Hamas,Kuwarudisha mateka nyumbani...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
IDF imedondosha vipeperushi mashariki mwa Shajaiyah (kaskazini mwa Gaza), ikiwataka wakaazi kuhama: "Uko katika eneo hatari la mapigano Ondoka mara moja na ukae mbali iwezekanavyo."
5 Reactions
23 Replies
839 Views
Waziri wa mambo ya nje wa Iran amesema Marekani na Israel zimechanganyikiwa baada ya kuona nchi za kiarabu zikiungana dhidi yao, Tamko hilo amelitoa baada ya wanajeshi wa Houth kuzishambulia meli...
7 Reactions
36 Replies
2K Views
Jaji Theodore Chuang wa nchini Marekani ameuzuia utawala wa Rais wa nchi hiyo Donald Trump kuchukua hatua zozote za kulifunga Shirika la Misaada la Marekani (USAID) ambapo amesema taratibu za...
1 Reactions
0 Replies
444 Views
Katika mazungumzo Yao hii leo Rais Trump alimdokeza Rais Putin kuwa ajitahidi Iran isiwe katika Hali ya kuiangamiza Israel. Wajuvi wa mambo wanaeleza kuwa hatua hii tayari inaonesha kuwa marekani...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Usiku wa kuamkia leo ving'ora vilisikika ndani ya Israel kuashiria ujio wa kombora hasimu, wateule hao wa mchongo walioonekana kuhaha kutafuta pahala salama pa kujificha. Hata hivyo IDF ilidai...
7 Reactions
53 Replies
2K Views
"Tulikubaliana kusitisha mapigano mara moja kwenye sekta zote za Nishati na Miundombinu, kwa uelewa kwamba tutafanya kazi kwa haraka kufanikisha kwa ukamili kusitisha Mapigano, na hatimaye...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Katika taswira ya ulimwengu wa kisasa, Uingereza bado inajulikana kama taifa lenye historia tajiri ya mafanikio ya kiuchumi. Hata hivyo, chini ya uso wa fahari hiyo, kuna ukweli mchungu: taifa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nchi ya Niger imejitoa rasmi kutoka umoja wa nchi zinazotumia lugha ya kifaransa pamoja na zile zilizokuwa makoloni ya Ufaransa ujulikanao kwa lugha ya kifaransa kama Organisation Internationale...
6 Reactions
62 Replies
2K Views
Ni mkutano ulioitishwa na amim bin Hamad Al Thani kiongozi wa nchi hiyo. Wenyewe wanajua walichokuwa wakikiongelea
7 Reactions
36 Replies
2K Views
Hamas imekuwa ikikataa kuaachia mateka na maiti za waisrael na watu wa mataifa mengine waliowateka 7 October 2023, Israel imetoa onyo kwa kuua viongozi watano wa juu kwenye idara za Hamas...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Itimar Ben Gvir kichaa aliyepewa rungu, Huyo ni mwanasiasa mtata na mwenyemsimamo mkali wa Israeli ambaye aliongoza harakati za kumpinga Netanyahu na kutaka ajiuzulu kwasababu ya kusitisha...
1 Reactions
0 Replies
338 Views
Baadhi ya nchi za Uarabuni zimekuwa zikihusika katika mazungumzo ya amani katika migogoro mbalimbali ya kimataifa mfano Qatar. Kwa mfano, Tshisekedi na Kagame walikuwa wanakimbiana kuanzia Dar...
1 Reactions
8 Replies
526 Views
Back
Top Bottom