Strong ladg
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 856
- 2,069
Nchi ya Niger imejitoa rasmi kutoka umoja wa nchi zinazotumia lugha ya kifaransa pamoja na zile zilizokuwa makoloni ya Ufaransa ujulikanao kwa lugha ya kifaransa kama Organisation Internationale de la Francophonie ( OIF).
Taarifa ya kujitoa huko ilitolewa na wizara ya mambo ya nje ya Niger mnamo jumatatu ya tarehe 17 Machi 2025.
Hata hivyo, Niger ilikuwa imesimamishwa uanachama kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika mwaka 2023.
CHANZO: Shirika la habari la Niger ( RTN)
Taarifa ya kujitoa huko ilitolewa na wizara ya mambo ya nje ya Niger mnamo jumatatu ya tarehe 17 Machi 2025.
Hata hivyo, Niger ilikuwa imesimamishwa uanachama kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika mwaka 2023.
CHANZO: Shirika la habari la Niger ( RTN)