International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Polisi wa Kiislamu katika jimbo la Kano, kaskazini mwa Nigeria wamewakamata Waislamu 20 waliokutwa wakila mchana hadharani wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo pia Watu watano wamekamatwa...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa taarifa ya TV ya waislamu MNTV, ni kwamba China ililazimisha watu hilo jamii ndogo la waislamu huko kwamba wasifunge ramadhani na watume video kila siku kuonyesha wanakula, ni nchi...
8 Reactions
52 Replies
3K Views
Iran ‘lazima iachane kabisa na mpango wake wa urutubishaji wa nyuklia, asema mjumbe wa Marekani Witkoff. Mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff amesema kuwa Tehran "lazima isimamishe na...
0 Reactions
0 Replies
364 Views
George Soros ni jina lenye uzito mkubwa na utata duniani. Kwa baadhi ya watu, ni mfadhili wa haki na demokrasia; kwa wengine, ni mkoloni wa kisasa anayefadhili vurugu kwa kutumia NGO na pesa. 1...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Tukio hilo lilitokea mwaka 1999 / 2000 wakati Rwanda na Uganda walipovamia DRC. Zimbabwe, Angola, na Namibia, walituma askari kupitia umoja wa SADC kumsaidia Rais Laurent Kabila. Katika...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Gaza haikuwa gereza kama wajinga na wapumbavu walivyokuwa wanaaminisha watu. Gaza ilikuwa ni johari. Watu waliishi vizuri zaidi kuliko katika nchi nyingi duniani, Lakini Hamas kwa ujinga wao na...
2 Reactions
14 Replies
693 Views
https://www.instagram.com/p/DH3KEkaCXDN/?igsh=NW16cTdtZzR5dHE3 My Take Kama China wameanza kuamini uwepo wa Mungu ,wale wanasemaga hawaaminu watasimama nani?
2 Reactions
17 Replies
825 Views
Kisingizio kikubwa cha Marekani kutaka kuipiga Iran ni kwamba eti lazima iingie makubaliano mapya nayo katika muda uliowekwa na Marekani ili ipokee masharti mapya au ikishindwa ipigwe. Iran...
1 Reactions
6 Replies
567 Views
Wazingatie katika kuijenga Palestina, sio kuiangamiza Israel Wakubaliane na haki ya uwepo wa Israeli. Wafanye amani na majirani zao. Wafanya diplomacy na Saudi Arabia na UAE baada ya...
2 Reactions
13 Replies
615 Views
Mwaka jana, kampuni ya Indiana Resources ilifikia mafanikio makubwa baada ya Serikali ya Tanzania kukubali kulipa fidia ya Dola za Kimarekani milioni 90 (sawa na Dola za Australia milioni 137)...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Ukraine akirusha drone na kuleta madhara hawatangazi ila Russia akijibu mapigo wanatangaza juzi Kuna kitu kizito pale sumy Ukraine kimerushwa hahaha huko kelele TU sasa hivi
3 Reactions
4 Replies
633 Views
Katika kipindi hiki cha Pasaka huko Jerusalem Israel jamaa mmoja jana alienda Hekaluni akiwa na kondoo kwa nia ya kwenda kutoa sadaka ya kuteketezwa baadaye Alikamatwa na polisi walieko kwenye...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Rasi Donald Trump wa Marekani anajaribu kadri iwezekanavyo bidhaa kutoka nje ziwe ghali kiasi kwamba wananchi wake wasizipate kwa urahisi ijapokuwa kwake hazipo.Na kinyume chake. Mu'az...
8 Reactions
78 Replies
2K Views
Kutoka kwenye barabara nyembamba, tanuri za kufinyanga udongo, na karakana zenye kelele za Fustat, Ibrahim Said alizaliwa mwaka wa 1976. Fustat ni eneo la Cairo, Misri ambalo limejikita katika...
5 Reactions
136 Replies
3K Views
Kampuni ya teknolojia ya Meta, inayomilikiwa na bilionea Mark Zuckerberg, huenda ikalazimika kuuza Instagram na WhatsApp kufuatia kesi ya ukiritimba (antitrust) inayosikilizwa nchini Marekani...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Utabiri wa hali ya hewa ni fani inayohitaji uweledi sana ambapo TMA wanatakiwa kujinoa zaidi. Nchini China kimbunga kikali chenye kasi ya 150kph kinatarajiwa kupiga kwenye miji ya Beijing na...
11 Reactions
16 Replies
1K Views
Ni uhakika kuwa nguvu kubwa ya jeshi la Israel ipo kwenye mapigano ya angani kwa kutumia ndege za teknolojia za kisiasa kuwapiga inaoamini ni maadui zake. Jumla ya marubani wa ndege hizo wengi wao...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
RAIA WOTE wa kigeni nchini Marekani wanatakiwa kujisajiri ndani ya siku 30 “Ama sivyo, utakamatwa, utatozwa faini, utafukuzwa, hautarudi tena nchini kwetu." Wafanya fujo kutoka nchi za kiarabu...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Trump hikes China tariffs to 30% and then 84% China reciprocates Trump hikes tariffs to 145% China reciprocates Trump announces that he wants Xi to call him China does nothing Trump announces he...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Naona wapigania haki feki wamejipata kwa mara nyingine tena, wataishia kununua milipuko kutoka urusi na iran alafu wana gaza waendelee kuwa masikini then kesho mje na nyuzi za kusema Israel...
5 Reactions
30 Replies
921 Views
Back
Top Bottom