Hili ni anguko la kwanza la Hezbollah baada ya Serikali za mitaa huko Beirut kuamua kusiwepo kabisa bendera zilizotundikwa Katika jiji, Hatua ya pili Wanatakiwa wasalimishe silaha zao kwa jeshi la...
Ni wazi vita ya Russia na Ukraine ni vita ya Russia na marekani na ndo maana marekani anatoa misaada sana Ukraine nadhani ndo taifa la kwanza linaloongoza kupewa pesa nyingi ikifuatiwa na Israeli...
Magaidi wa Houth huko Yemen wanaendelea kupata kipondo cha kufa mtu kutoka majeshi ya Marekani baada ya vituo vyao vya kuhifadhia mafuta kuangamizwa na majeshi ya Marekani usiku wa kuamkia leo...
245% U.S. TARIFFS ON CHINA
This is not policy...this is punishment.
Here’s the raw truth:
1. Death Blow to Chinese Exporters:
A 245% tariff means most Chinese products become unsellable in the...
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu visited northern Gaza on Tuesday, accompanied by the country's defense minister, head of the military and other senior officials, his office said.
A...
Baada ya magaidi kupata kipondo cha kufa mtu baada ya hifadhi zao za mafuta kuangamizwa Wahouth wa kaamua kumali Zia hasira zao kwa kurusha makombola ya Ballistic kwa israel ambayo nayo yote...
Mchina amefikia hatua ya kutishia uchumi wa Marekani kwa jambo dogo sana la kutumia akili ambalo wazungu wanashindwa kulifanya
Mchina kitu kilichomtajirisha kwa Haraka ni mfumo wake na ajenda...
Mabomu makubwa kuliko yote yanayomilikiwa na jeshi la Marekani kabla ya yale ya nyuklia ni aina ya GBU-57/B Massive Ordnance Penetrator (MOP).
Baadhi ya maafisa wa jeshi la Marekani...
Marekani ilitangaza kutoza “ushuru sawia” kwa washirika wake wote wa kibiashara ikiwemo China kwa visingizio mbalimbali, jambo ambalo limeharibu mfumo wa biashara wa pande nyingi duniani. Kutokana...
“Let me issue and control a nation’s money and I care not who writes the laws.” - Mayer Amschel Rothschild
Central Bank Digital Currency (CBDC) will end human freedom. Don’t fall for the...
Maonyo ya kuwa Israel haipigani tena na Hamas bali ni dhidi ya wapalestina wote yalitolewa zamani na taasi za umoja wa mataifa na taasisi nenginezo za kijamii
Uthibitisho huo sasa umepatikana kwa...
Marekani imeongeza ushuru kwa baadhi ya bidhaa kutoka China hadi kufikia asilimia 245. Hii ni kutokana na ushuru wa kulipiza kisasi, ushuru wa bidhaa zinazohusiana na fentanyl, pamoja na ushuru wa...
Boti ya mbao yenye injini iliyokuwa na abiria wapatao 400 imeshika moto na kupinduka kwenye Mto Congo karibu na mji wa Mbandaka Kaskazini Magharibi mwa nchi ya Congo, na kusababisha vifo vya watu...
Katika dunia ya ushindani – iwe ni kwenye siasa, biashara, au hata maisha ya kila siku – vitabu viwili maarufu vinatajwa mara kwa mara kama nguzo za mafanikio:
1. The Art of War – na Sun Tzu...
Mazungumzo na Iran yanayotarajiwa kufanyika kesho kama yatashindikana basi kipondo kwa Iran kitafuatia kabla ya hapo Israel atashirikishwa kikamilifu ili kuondoka kitisho kinachoikabili dunia kwa...
Msimamo wa Hamas na dua zao pamoja na wanaowahurumia karibuni vitalipa baada ya maguvu makubwa ya jeshi la Israel na Marekani kushindwa kufikia malengo waliyojiwekea.
Upinzani wa vita kutoka...
Huyu kijana wa Namibia kwa jina la SIMON PETEUS amegundua simu isiyohitaji mfumo wa SIM (yaani kibongobogo laini za simu)
Je unadhani hili lina madhara gani kwa watu wa kawaida na kwa wamiliki wa...
Harvard mara zote ilikuwa ishara ya ukuu. Sasa hivi chuo hicho ni aibu tupu imekuwa sehemu ya wapiga propaganda
Mwanafunzi wa chuo cha Harvard sasa hivi haiwezi kupata ujasiri wa kusimama dhidi...
Mashirika mengi ya kusafirisha mizigo yameanza kukatisha kuagiza na kupokea mizigo Marekani .
Bandari ya Long Beach huko kusini ya California imesema kuendelea kwa vita vya kibiashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.