Katika muda wa saa 24 zilizopita, watu wasiojulikana waliingia kwenye kaburi la Hafez al-Assad, babake Rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad, katika mji wa Al Qardahah, walifungua kaburi lake...
IDF imetangaza kwa watu nchini Lebanon kuhama majengo fulani huko Beirut ambayo yatashambuliwa na Drone kutoka angani ambazo zinazunguka juu ya Beirut.
Binafsi Siwezi kuvumilia tunapomwonya adui...
Yanayoelekea kutokea karibuni hatusemi ni ushujaa wa Hamas pekee bali ni mipango ya Mungu ambayo kibinadamu haina majibu.
Waziri wa ulinzi wa Israel aitwaye Israel Katz ni mmoja ya watu 4...
Mbunge wa Lebanon kwa Hezbollah: Toa silaha zako au utuache na uende kuanzisha nchi yako
Biar Abu Aassi, Mbunge wa Lebanon kutoka chama cha Vikosi vya Lebanon:
"Tunasisitiza kwamba Hezbollah...
27 Aprili 2025
Vancouer, Canada
https://m.youtube.com/watch?v=KzeegXPn-OU
Watu waliokuwa katika sherehe za siku ya Lapu Lapu tarehe 26 Aprili 2025 katika mtaa moja wa mji wa Vancouver Canada...
Mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama nchini Burkinafaso (ANR) Oumarou Yabre ameweka tahadhari kadhaa na kupitia watu wake ndani na nje ya Jeshi na idara wamefanikiwa kugundua chai iliyokuwa apewe...
Katika zama hizi za mabadiliko makubwa duniani, bara la Afrika linashuhudia kuibuka kwa viongozi vijana wanaojaribu kuvunja minyororo ya ukoloni mamboleo na kuchochea ari ya kizalendo. Miongoni...
Hali ya Maisha Cuba ni ngumu. Kuna uhaba wa chakula, mgao wa umeme na maji.
Hata sanitary pads za wanawake ni shida.
Mamia ya wa Cuba waliorudishwa Kwa nguvu kutoka Marekani hasa Jimbo la...
Imam Mkuu wa Al-Azhar, Ahmed El-Tayeb, ambaye pia aliwahi kuwa Mufti Mkuu wa Misri, ni msomi mashuhuri wa dini ya Kiislamu, mwenye elimu, ujuzi, na uelewa mkubwa wa masuala ya dini na dunia kwa...
Iran bado mpaka asubuhi ya leo Inahangaika kuzima moto uliosababishwa na mlipuko mkubwa amabao Iran wenyewe wameshindwa kujua umetokana na nini na wanataka kuhaha kusingizia kuwa kuna mkono wa...
Vita baina ya India na Pakistan vimetabiriwa kutoepukika kufuatia mauwaji ya kigaidi yaliyofanywa Kashmir.
Aina ya watu wanaoitwa watalii waliouliwa na muda na namna tukio lilivyotokea limeelezwa...
Mvutano kati ya Saudi Arabia, UAE, na Iran unakuwepo licha ya mataifa haya kufuata falsafa za pamoja za dini ya Kiislamu lakini utofauti wa kikabila, kijeshi, na kiitikadi unafanya mataifa haya...
Maafisa wakuu wa IDF wanazidi kuishauri Serikali iwaachie waiangamize Gaza, na walitoa taarifa ifuatayo mwishoni mwa wiki:
“Toka vita vianze Gaza tulikuwa tumeichukua lakini Serikali wakaingia...
Vita baina ya India na Pakistan vimetabiriwa kutoepukika kufuatia mauwaji ya kigaidi yaliyofanywa Kashmir.
Aina ya watu wanaoitwa watalii waliouliwa na muda na namna tukio lilivyotokea limeelezwa...
BREAKING: Mlipuko mkubwa wa ajabu ulitikisa bandari ya Shahid Rajaee ya Iran - ardhi ilitikisika na Kusik Ikea maili nyingi kutoka hapo.
Utawala wa Ayatollah haujatoa taarifa yoyote kuhusu...
Ukifika pale Italia, kuna sehemu ndogo ya nchi, inaitwa Vatican. Hapo ndipo yalipo makao makuu ya Kanisa la Roman Catholic ambapo mkuu wa kanisani hilo ni Papa.
Pale Italia wana pesa yao, ila...
Kwa vile Marekani haiwezi kuwa na askari wa upelelezi ndaniy ardhi ya Yemen inalazimika kutumia droni kwa kazi hiyo.Droni zinazoaminiwa na jeshi ni aina ya MQR-9 na matoleo yanayofanana nayo...
Raisi Trump kuona kila mtu anamkosoa kwa vita vya kibiasahara na IMF kumtahadharisha kuwa uchumi wa US unakufa kwa kasi amebadili msimamo ghafla.
Ameipigia magoti China akisema ataipunguzia kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.