Nimeishi maisha yangu nikijua kua
Mtawala wa mashariki ya kati kiuchumi na kijeshi ni Irani..
Jeshi lenye nguvu la mashababi na viongozi wa kijeshi mashababi ni irani
Sasa hiki ni nini mngu...
Katika miongo ya karibuni, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejitokeza kama moja ya mataifa yanayoendeleza teknolojia ya makombora kwa kasi na kwa nguvu kubwa. Miongoni mwa silaha zake zinazozua...
Yanayomtokea Iran salsa hivi siamini Kabisa Urusi na China wamekaa kimya mshirika wao akishambuliiwa na Israel Yani hata kutoa kauli TU za ukali hawatoi.
Angalau Pakistan kaonesha wazi Yuko...
Waziri wa usafirishaji Bi.Miri regev ametangaza leo kuwa ni marufuku kwa raia kuondoka nchini humo kufuatia janga hili la vita kutokana na maelfu ya raia kukimbilia nchi za ulaya na Marekani...
Wadau hamjamboni nyote, Iran yapiga marufuku maafisa kutumia vifaa vilivyounganishwa kwenye mtandao Leo, saa 2:00 usiku Mamlaka ya usalama wa mtandao ya Iran imepiga marufuku maafisa kutumia...
dakika 27 zilizopita BREAKING NEWS Waziri wa ulinzi wa Israel asema mashambulizi makubwa nchini Iran yanakaribia Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz alisema Jumanne kwamba Israel inajiandaa...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema hataki kusitisha mapigano na Iran, bali anataka "mwisho halisi" wa suala la nyuklia la Iran, akimaanisha kwamba Iran inapaswa kuachana kabisa na silaha za...
Kilichokua kinajadiliwa ilikua Iran ipunguze nyuklia au madini ya uranium, na kubaki na ya matumizi ya nishati tu, ila sasa inashurutishwa iache kabisa mawazo ya nyuklia, na mpaka sasa anga ya...
Sio siri, Iran inapigika haswa, uongozi wa kijeshi umefutwa, wanasayansi wamefagiwa, makambi ya kijeshi yamesambaratishwa, Israel imeteka anga, ndege zake zinaruka huku na ule zikipiga popote...
Kama Israel inashinda hii vita na kweli inazuia mashambulizi dhidi ya Iran, Kwanini inazuia media kutoa taarifa?
Hadi channel za YouTube zimezuiliwa kurusha matangazo upande wa Israel.
Hii...
Ubalozi wa China nchini Israel umewataka raia wake kuondoka nchini humo haraka iwezekanavyo, katika tangazo lake la leo Jumanne.
Taarifa ya ubalozi wa China nchini Israel, ilichapishwa kupitia...
Wadau hamjamboni nyote. Kumekucha kumekucha. June 13, 2025
Iran’s new Guards chief says ‘gates of hell’ will open on Israel
Kamanda mpya aliyeapishwa wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu...
Kiki za kwenye mitandao huwa zina muda mfupi wa uhai!
Yule jamaa yenu wa Burkina Faso naona kiki zake zimeshaishiwa gesi sasa.
Siku hizi hasikiki tena baada ya watu kama mimi kuwafumbua macho...
21 minutes ago
Iran says Israeli strike hit hospital in Kermanshah, calls it a war crime
Iranian Foreign Ministry spokesman Esmaeil Baghaei said Monday that Israeli forces targeted Farabi...
Wakuu,
Hivi nini kinaendelea kwnye hili shirika la Air India? Hili ni tukio la 3 lisilo la kawaida linaripotiwa kutokea kwenye ndege za Shirika hili
===
Ndege ya Air India (AI‑159) iliyokuwa...
Kwa makobazi wa kike na wa kiume, hii ni ngumu kumeza.
Sasa ni dhahiri shahiri kuwa hakuna kiongozi wa Iran asiyegusika.
Hiyo ni pamoja na Ayatollah pamoja na Rais wa Iran.
Sitoshangaa Israel...
Mimi mwenyewe ninaogopa kushuhudia kile kinataka kutokea, labda mwezi huu wa October. Kweli kabisa Iran ina nguvu za Kijeshi: kibaya zaidi kwa sasa inapata support kubwa toka Urusi na Uturuki...
Hii Dunia ina unafiki mwingi sana. Leo Israel analalamika Iran anashambulia wanawake na watoto wakati yenyewe hapo jirani Gaza imewaua maelfu ya wanawake na watoto wasiyo na hatia.
Nasema hivi...
Taarifa ya wizara ya mambo ya nje ya Ujerumani baada ya mashambulizi ya Israel katika nchi ya Iran.
Taarifa ikiishutumu Iran kwa kuishambulia Israel.
Inaonekana Ujerumani inateswa na historia...
Hamna namna hadi Ayatollah atie saini kuacha mawazo ya nyuklia, kwa sasa amesazwa na lile gauni lake ila wengine wote wanafagiwa....
Israel imefanya maangamizi makubwa sana mpaka hapo, Marekani...