Sijui Kwa nini simuamini Ayatollah

Sijui Kwa nini simuamini Ayatollah

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,524
Reaction score
4,603
Kiongozi mkuu wa Iran the supreme leader Ayatollah huenda ni Mossad Tena double agent aliyekubuhu.

Simuamini Kabisa tangu Yule general Suleiman kuuliwa Iraq, Rais wao Ebrahim Raisi afe kwenye helicopter kwenye mazingira tatanishi, na boss wa Hamas Ismail haniyeh kufa kambini, na Nasrallah kufa ni wazi Ayatollah aliwachoma Tu Kwa Mossad.

Angalia sasa hivi viongozi wa ngazi za juu Iran wanavyouliwa itakuwa tu Ayatollah anawachoma Kwa Mossad.

Na sasa hivi hajali kabisa kwasababu umri umeenda na ni mgonjwa hana cha kupotezea.

Yani haya ni mawazo yangu tu Kwa tafiti za kufikiria.

Simuamini Kabisa Ayatollah.

Mungu wabariki raia wa Iran kwenye ukombozi wao ambao wataupata Karibuni.
 
Kiongozi mkuu wa Iran the supreme leader Ayatollah huenda ni Mossad Tena double agent aliyekubuhu.

Simuamini Kabisa tangu Yule Rais wao Ebrahim Raisi afe kwenye helicopter kwenye mazingira tatanishi, na boss wa Hamas Ismail haniyeh kufa kambini, na Nasrallah kufa ni wazi Ayatollah aliwachoma Tu Kwa Mossad.

Angalia sasa hivi viongozi wa ngazi za juu Iran wanavyouliwa itakuwa tu Ayatollah anawachoma Kwa Mossad.

Na sasa hivi hajali kabisa kwasababu umri umeenda na ni mgonjwa hana cha kupotezea.

Yani haya ni mawazo yangu tu Kwa tafiti za kufikiria.

Simuamini Kabisa Ayatollah.

Mungu wabariki raia wa Iran kwenye ukombozi wao ambao wataupata Karibuni.
Amewauza ma general wake woote.
 
saa 5 tunarusha vimondo, vituo ni Haifa na Tel Aviv
Kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali atafanikisha na Qauli thabeet za kutosha tutapata. Mcheki mwamba hapo chin.
Screenshot_2025-06-16-22-59-55-83_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg
 
Kiongozi mkuu wa Iran the supreme leader Ayatollah huenda ni Mossad Tena double agent aliyekubuhu.

Simuamini Kabisa tangu Yule Rais wao Ebrahim Raisi afe kwenye helicopter kwenye mazingira tatanishi, na boss wa Hamas Ismail haniyeh kufa kambini, na Nasrallah kufa ni wazi Ayatollah aliwachoma Tu Kwa Mossad.

Angalia sasa hivi viongozi wa ngazi za juu Iran wanavyouliwa itakuwa tu Ayatollah anawachoma Kwa Mossad.

Na sasa hivi hajali kabisa kwasababu umri umeenda na ni mgonjwa hana cha kupotezea.

Yani haya ni mawazo yangu tu Kwa tafiti za kufikiria.

Simuamini Kabisa Ayatollah.

Mungu wabariki raia wa Iran kwenye ukombozi wao ambao wataupata Karibuni.
Tafuta pesa kende weeee
 
Kiongozi mkuu wa Iran the supreme leader Ayatollah huenda ni Mossad Tena double agent aliyekubuhu.

Simuamini Kabisa tangu Yule Rais wao Ebrahim Raisi afe kwenye helicopter kwenye mazingira tatanishi, na boss wa Hamas Ismail haniyeh kufa kambini, na Nasrallah kufa ni wazi Ayatollah aliwachoma Tu Kwa Mossad.

Angalia sasa hivi viongozi wa ngazi za juu Iran wanavyouliwa itakuwa tu Ayatollah anawachoma Kwa Mossad.

Na sasa hivi hajali kabisa kwasababu umri umeenda na ni mgonjwa hana cha kupotezea.

Yani haya ni mawazo yangu tu Kwa tafiti za kufikiria.

Simuamini Kabisa Ayatollah.

Mungu wabariki raia wa Iran kwenye ukombozi wao ambao wataupata Karibuni.
Unahisi Kuna Faida gan Kwa Israel kupiga Iran, ikiwa Ayatollah ni Mossad ??.
 
Back
Top Bottom